Vodacom Internet: Nimekosa kifurushi cha kujiunga kabisa

Vodacom Internet: Nimekosa kifurushi cha kujiunga kabisa

Pole sana. Hii inaitwa ya kwako tu na siyo wote wanavyo hivyo vifurushi.
Mm nilijiunga kwa 2000 Gb5 siku 30 wakanipa Gb 4, mwezi iliopita nimejiunga 2000 gb 5 kinaisha tareh 21 mwezi huu baada ya hapo najiunga tena.
N.B
SIyo wote wenye vifurushi km hivi vya 2000 gb5 kwa mwezi
Ya kwako tu napataje hiyo package?Ninayo line ya vodacom Ila natumia kwenye mpesa tu!
 
Kwanza mna Menu complicated ,Pili Garama za vifurushi vyenu vina mnyima kabisa mtu kujiunga .
Mnauza Bundle za Internet Bei gali .
Angalieni na hali jamani ..soon nawahama.. na tupo wengi..
Menu yao ni ngumu sana yaani kama hufuatiii matangazo yao lazima utoke kapa. Mara cheka zogo, mara pinduapindua, mara red rlx etc.
 
Mi
m nimebaki.na.mpesa.2 bando.nilisha hama.sana airtel 500.naongea na.bando.ya mb 500
Mimi mwenyewe natumia Airtel mb 500 dk 10 mitandao yote Na dk za kupiga mtandao wao za kutosha Voda nshahama kitambo...kifurushi cha SAA 24 ndicho natumia hapo airtel
 
VODACOM
2000/= GB 5 mwenzi
sijaona kwingineee

*149*01# ya kwako tu
Kikiisha ujaribu uone kama utakiona. Vinabadirika badirika.
Mimi wananiudhi speed ya internet sio bei ya bundle. Unanunua bando na inashindikana kulitumia.
Hii prepaid inatutesa sana. Ingekuwa unatumia ndo unalipa wangenitafuta kwa torch wezi hawa.
 
Back
Top Bottom