Ujana,uzee me sijali ninachofahamu nilwamba urais ninafasi ya kuchaguliwa, na katika kuchagua lazima mchaguaji ajiridhishe kwa kile anacho kiona bora zaidi hii biashara ya sijui kwenda disco kuruka fensi kutafuta totoz ni hulka na tabia ya mtu hivyo katiba iangalie usawa na maslah kwa taifa...
Mimi nimelelewa na mama wakambo me sijui kama hawa mama wakambo wanafanya wayafanyayo kwa kupenda au ni nature ya viumbe vyote. Ilinilazimu kusoma nikiwa mtu mzima sababu ya adha za mama wakambo nimeishia darasa la tano mwaka 1991 na sikuendelea hadi mwaka 2007 nilipo anza form 1 na nina subiri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.