Jambo kama shukrani ni tabia ya mtu ya ndani sio kabila wala kikundi cha watu ...sema mimi ni wa kusini watu wa kusini tuna kakiburi flani iv na kwa asili Ka uvivu kamo cha kutaka mtu akubebe kla mahala sema sio wote ila asili ya walio wengi
😍😍Kuchidachi wamakonde wenzangu.
kama huna ushauri wa maana kwa uyu mwanamke usiongee chochote nimekuona hadi kwa idi makengo pole sana ...mpka nakukuta sehemu mbili mtandaoni unaomba msaada wa dhati natamani upate wataalamu wa mahusiano na ushauri wakusaidie swala lako.
ila nitakushauri uzingatie sana AFYA yako ya akili ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.