Ngasere45
Senior Member
- Dec 31, 2022
- 149
- 565
wakuu leo kuna rafiki yangu wa kike alisomea unesi leo kapigiwa simu na TAESA wanamshawishi akafanye kazi Saudi Arabia kwani zile nafasi hazijajaaa mpaka leo? Au muamko ni mdogo, kwani walikuwa wanamshawishi kwamba huko hakuna ukatili na kuna mazingira mazuri ya kazi