Mi sidhani kama kuna mtu anamashaka na anachokiamini ukiwa na mashaka na imani yako tafuta ukweli ukiona mtu anapaparika kutafuta huku na kule maana yake alipo hajatosheka ila waliotosheka wametulia na dini zao tusitafute umaarufu na kuonekana tunahoja kwa kuhoji imani za watu.
Ndoa inamambo mengi sana but level ya ndoto zako kuifanikisha isitofautiane pakubwa na mumeo then itatimia ikiwa beyond either mtaachana au utaiacha ndoto iendelee kuwa ndoto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.