Recent content by Mchukia unafiki

  1. M

    UKAWA watikisa Geita

    yaaah!..ilikuwa ni nyuma jirani kabisa na kituo cha polisi Masumbwe Wilaya mpya ya Mbogwe nilikuwepo live. Ukawa wana hoja za msingi tuache ujinga
  2. M

    Dr. Slaa athibitisha kuwa hati ya muungano haipo umoja wa mataifa

    nilikuwepo live ni kweli haipo kwa ushahidi aliousema Dr Slaa na zaidi sana alivujisha mpaka siri za mpango mkakati wa CCM kabla ya kuendelea na Bunge la Katiba kwa kutumia Ipad yake.
  3. M

    Maajabu ya dunia

    habari imejaa maruweruwe hii
  4. M

    TB Joshua kiboko!

    anatabiri majanga tu unabi wa hivyo lazima uchujwe. kwa nini mabaya tuu?
  5. M

    Basi la LEINA TOURS Kufika Kahama saa 12:00 Jioni kutokea DSM je ni halali?

    Kisbo mnaipata????Leina na Kisbo sipandi ni gari zinazoendeshwa Rafu sana unawahi nini?
  6. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo Geita(Mbogwe) idara ya secondary kama nataka kwenda Moshi # yangu ni 0759449706
  7. M

    Binti miaka 16 atoa siri za freemason

    Malkia?...very awkaward stupidy
  8. M

    Hivi Wachaga Hakuna anaefaa ubunge zaidi ya Mrema huko Vunjo

    Najiandaa kwenda kugombea huko karibuni msijali
  9. M

    CCM walibadilishwa na kardinali pengo - serikali 2

    Huu uzi unachefua umekaa kipumbavupumbavu sana.
  10. M

    Walimu wa Irkisongo sekondari wanashurutishwa na viongozi wa elimu Monduli.

    Amueni maamuzi magumu ya kitaaluma huu siyo wakati wa kulalamika tena
  11. M

    Wale wa veta inawahusu

    Wewe unaitwa nani?
Back
Top Bottom