"Renew" kwa kiswahili tunasemaje?

"Renew" kwa kiswahili tunasemaje?

Renew=Rejeresha upya.
MAWAZO NI FIKRA ZA KWAKO KICHWAN KWAKO TU, maoni ni mtazamo unaoutoa kwa watu kuhusu jambo fulan.
 
Upyaisha=renew hiyo ni kwamjibu wa kamsi ya kichwa changu sihitaji kushikishwa akili. Na wewe ukiwaza maana tafasili yako kaa nayo mwenyewe.
 
[FONT=arial, helvetica, sans-serif]TUKI ENGLISH-SWAHILI DICTIONARY
KAMUSI YA KIINGEREZA-KISWAHILI
[/FONT]

renew
vt 1 tengeneza/fanya upya, tia
 
Majibu yote hapo juu ni sahihi, una MASWALI mengine? mwisho maswali 50 tu.
 
Yeah ni KUHUISHA au HUISHA hata kwenye Bible ipo ndio official translation ya RENEW
 
kukarabati na au Kukalafati
Asante ila ujue kiingereza kuna baadhi ya tafsiri ngumu sana kwa kiswahili ndio maana inakuwa ngumu kupata neno moja sababu maana inakuwa zaidi ya moja, naomba nikupe mfano wa sentensi yangu hapa chini kisha uniambie

I wish to vacate the apartment because my lease agreement is expired and I will not be renewing it

Je hiyo sentensi niliyoitolea mfano kwa tafsiri niliyoileta siku chache zilizopita haiingii/haifai hapo? Naomba niweke sawa hapo kwenye nyekundu kama nitakuwa nimekosea, kama ujuavyo lugha za watu
 
Back
Top Bottom