chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,300
- 45,092
JESUS CHRIST is the MIGHTY CONQUEROR .
"na apigwe tuu"
story ya kutunga hiyo!! eti alienda marekani na nigeria, eti siku za screen machi.. eti alikutana na viongozi wa tanzania na wafanya biashara ambao ni ma-freemason - mwee!!!
Huenda huko alikoenda ndiyo freemasonry ya kweli, piga zuga hapa!Hakuna kitu kama hicho!.Wala hata hana mchango wowote katika masonic,hizo ni juhudi za Wachungaji feki kutrka hisia za watu ili mkatoe sadaka.Mbona hawa huwa wanaandaliwa miez kadhaa kabla ya ushuhuda.SIKU MKIUJUA UKWEL MTAKUWA HURU.
Malkia wa Freemason anakaa Kigogo?
Kwa nini asipewe cheo hicho na ch,an.de?