Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,524
INTERAHAMWE ndiyo wanazidi kudata. Nape na Chemba tumeni wa mabango tena kama mlivyofanya mafinga,naona baada ya kuumbuliwa katka hilo kama kawa na mwenyekiti wenu mmekimbilia policcm ili wazuia mikutano ya UKAWA.Kazi mnayo maana mko very busy kupambana na UKAWA badala ya shughuli zenu.