Kuna tatizo la msingi zanzibar na yeyote anaepuuza hili na kuwapeza upande wa pili sio mwanadiplomasia. Kauli ya jana ya Mheshiwa Rais ilikuwa ya hasira na haikuwa ya kidiplomasia. Katika hili kuja jambo la kujifunza Rais Magufuli sio Kikwete hivyo mikakati mpya inahitajika ili kufikia muafaka...
Why on earth you refer on another humanbeing as ""fisi"" and "mizoga"?!! Unaanza anza jeee una wezaje kuwaita binaadamu wenzako fisi au mzoga?! Na kwa kufanya hivyo unategemea kukiuza chama au kukichafua?!!.. Huu upuuzi na upumbavu katika ubora wakee.. tooo low
Marire
Fedha zililetwa hotelini kwa ajili ya kuwalipa wajumbe ili wakamilishe kazi ya kumteua mmoja kati ya wagombea.. Shida ilianza pale mwenye fedha alipogundua jina lake limekatwa akamwagiza muhasibu aondoshe mzigo hotelini, wajumbe wakashtukia movie wakaweka makachero wao wakasema...
Ni jambo zuri kuwa na kikosi cha aina hii. jambo la msingi ni je watanzania wa kawaida ambao ni raia tumejiandaa vipi dhidi ya shambulio kama hili?! je tuna elimu ya kutosha juu nini cha kufanya kukabiliana na tukio kama hili?! je pale linapotokea tunajua nani wa kumpigia simu?! tufanye nini...
very arrogant comment.. ukiwa kiongozi ten msumi uwe na akiba ya maneno... jifunze kutoka kwa yaliyompata Proffesor Anna Tibaijuka na Proffesor Sospeter Muhongo... ni aibuuu kwa viongozi wasomi kuwaa arrogant!!!! Aiibuuuuuuuuuu hata weweweeeeee??!!!!!!?????
Kama sikosei Tanganyika ni kijerumani na hili jina halitufai ndio maana tunataka tubadilishe majina ya mkoa wa Tanga, ziwa Tanganika na hata taasisi zote zenye kutumia jina hili mfano Tanganyika Medical Council... hivi ni vituuu viashiria vya ukoloniii na utumwa
Inamaana zitoo akichaguliwa kuwa mwenyekiti chadema huyu kaka atarudi chadema?! Kama unafuata chama kwa sababu ya mtuu tuuu ni hatariii.. wanasiasa wa nchi hii ni wa ajabu sanaa hawana ideology wala phylosophical standing.. ana haki ya kuhamiaa chama chochote lakini si kwa sababu hizo
LEO DR UMEJICHANGANYA SANAAAA! Unatuasa tushabikie chama na si viongozi, wakati huo huo unau-challange uongozi wa CDM kama una busara ufanye makubaliano na Zitto nje ya mahakama kwani wakimfukuza ataondoka na wanachama wengi wanaomshabiki (yeye kama mtu na si chama)..
Na umtuangaliza ubaya wa...
Hiii tabia imeanza kukua saanaa kipindi cha Mwinyi (mzee wa ruksa) ikapotea wakati wa mkapa (mzee wa ukapa) ikarudi tena kwa kasii kipindi cha JK. Ashakum si matusi Mhe Mwinyi na JK wanashabihiana sanaa wote, ni wapole wacheshii na ni marais ambao hawako seriuos sanaa kwenye utendaji wao wa...
Sitaki kuamini hii ni kauli ya mwenyekiti wa chadema au typing error..., ''vijana wa m4c walikuja''?! M4C ni vuguvugu la mabadiliko 'movement for change'.. hii ni ideology na sio tawi au kitengo au taasisi au ofisi.. M4C inaweza kuwepo CUF, CCM, UMD au CHUONI, shuleni, au kwenye taasisi yeyote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.