Recent content by Mchekeshaj wa mfalme

  1. Mchekeshaj wa mfalme

    No 1 Remix Yaharibu Mood ya Davido Club

    Hii imetokea katika club mmoja nchini Uganda baada ya Davido kutoka katika club hiyo na kurudi Hotelini.Davido kwa sasa yupo nchini Uganda.Mwenyeji wake ambaye ni Mdogo wa Jose Chamilion amethibitisha Walikatisha Kula raha Club hapo na hatimaye davido kurudi hotelini.Hata hivyo mwenyeji wake...
  2. Mchekeshaj wa mfalme

    Robert Mugabe na Timua timua

    Rais wa Zimbabwe ,Robert Mugabe amemfukuza kazi makamu wake wa Rais pamoja na mawaziri 8 katika serikali yake.
  3. Mchekeshaj wa mfalme

    Kwa nini pesa ya Tanzania haina thamani?

    Itakuwa na thamani vipi tena...wakati ukienda Lushoto katika hotel za kitalii payments zote nikwa foreign currency sembuse huku mjini.....Utashuka zaid na zaid
  4. Mchekeshaj wa mfalme

    Baba mlezi wa taifa

    Naamini hii ni sababu kubwa ya serikali na watendaji wake kuendesha serikali jinsi wapendavyo. Sijasikia baada ya kifo cha Marehemu Baba wa Taifa Mwl.J.K.Nyerere Kama Taifa lilimtangaza mrithi au baba mlezi wa Taifa. Mf,Juzi karika sakata la Escrow nilisikia sauti ya Mama Maria (Mama wa Taifa)...
  5. Mchekeshaj wa mfalme

    Rais tunahitaji hotuba ya mwezi November

    Ameshatoa ya Tezi dume.,unataka ipi tena?????
  6. Mchekeshaj wa mfalme

    Radio inayotanga direct kutoka bungeni

    Jamani tusaidieni tujue redio ipi inatangaza bunge
  7. Mchekeshaj wa mfalme

    Diploma za abe-uk

    Jamani naombeni msaada.Mdau ana diploma ya ABE-Uk ya Travel,Tourism na Hospitality Management anaomba kujua waajiri wa hapa nchini wanazikubali?Msaada jamani katika hili.
  8. Mchekeshaj wa mfalme

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Leo Jumatano, Tarehe 26 Novemba, 2014

    Wakizaa mtoto atakuwa CUF...Ukawa
  9. Mchekeshaj wa mfalme

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Leo Jumatano, Tarehe 26 Novemba, 2014

    Watanzania kwa Ujumla tumesikitishwa na bunge kuahirishwa hadi saa 11 ingali mdaa wa kusomwa Report upo.Nakubaliana na usemi wa Mzee Warioba alioutoa jana katka mjadala wa katiba "KUNA CCM IMARA NA MASLAHI.Sikuona sababu ya mdaa uliobaki kuchezewa kihuni huni tu.Cha ajabu Mwenyekiti zungu...
Back
Top Bottom