Rais tunahitaji hotuba ya mwezi November

Rais tunahitaji hotuba ya mwezi November

kwani nchi hii ina rais? aliyepo ni muigizaji tu wa urais!
 
Na msaidia kutoa hotuba,mijizi yote inayohusika na escrow ikamatwe na ishughulikiwe mara moja.
 
hotuba zake hazina msisimuko zmejaa vijembe na mipasho tu... ngoja atulie auguze prostate cancer yake tu.
 
Hotuba tayari, ilihusu tofauti ya #Busha na #tezidume . Sasa mambo ya Escrow mtajibeba nimeshapga bilioni zangu kadhaa za kustaafia. Au mnataka nistaafu maskini? Kwataarifa yenu muhongo aking'oka namweka Riz1... Mtakoma,werema kafanikisha dili langu,maswi vilevile. Sasa nani kasema niwatose?
 
Nyie wachaga wengine wakuchomwa moto majizi mpaka basi unakaa rombo mashati halafu uwe na akili,siyo rahisi.

wewe wacha kudharau makabila usiyoyajua.
usishangae siku huyo unaemdharau akashika dola na hii nchi ikawa na displine kupita nchi zote africa sijui utasema nini.
 
Ni kawaida kwa rais wetu kuhutubia taifa kila mwisho wa mwezi. kwa kawaida hotuba hii hutolewa kati ya tarehe 30 mpaka 3 ya mwezi unaofuatiwa.

Mpaka leo tarehe 5/12/2014 mh Rais haujahutubia taifa huku wananchi tukiwa katika njia panda katika mambo lukuki.

Hotuba ya mwezi huu vipi ndugu Profesa dr Kikwete. Kwa maneno yako ulisema DR amekuzuia kufanya kazi ngumu, je na hii ya kuhutubia taifa nimojawapo??

hah hah ha ha ha a, chezea escrow weye
 
Mi nafikiri anajipanga atoke na single gani!Maana hii akikurupuka kama kawaida yake,inaweza ikala kwake
 
Kama namuona vile jinsi anavyotamani litokee jambo litakalo teka hisia za watu ili tusahau kuhusu escrow na masalia yake,yaani hapo likitokea jambo lolote linalogusa hisia za watu utamuona atakavyo lichangamkia angalau ku wapoteza watu maboya,likini ili la escrow moto mkali.!!
 
Hotuba ya November ilihusu "tezi dume" na aliishaitoa.
Sasa hivi hataki hata kuona kivuli change anahofia wananchi
 
Unamaanisha rais Kikwete? Hapo hatuna rais ndg tuna kivuli cha rais tu. Rais hajielewi. Nchi imemshinda. Atawaambia nini watz kwa udhaifu wake huu.
 
Ni kawaida kwa rais wetu kuhutubia taifa kila mwisho wa mwezi. kwa kawaida hotuba hii hutolewa kati ya tarehe 30 mpaka 3 ya mwezi unaofuatiwa.

Mpaka leo tarehe 5/12/2014 mh Rais haujahutubia taifa huku wananchi tukiwa katika njia panda katika mambo lukuki.

Hotuba ya mwezi huu vipi ndugu Profesa dr Kikwete. Kwa maneno yako ulisema DR amekuzuia kufanya kazi ngumu, je na hii ya kuhutubia taifa nimojawapo??

Siku ile alivyoeleza ugonjwa wake si ndio hotuba yenyewe?
 
Ni kawaida kwa rais wetu kuhutubia taifa kila mwisho wa mwezi. kwa kawaida hotuba hii hutolewa kati ya tarehe 30 mpaka 3 ya mwezi unaofuatiwa.

Mpaka leo tarehe 5/12/2014 mh Rais haujahutubia taifa huku wananchi tukiwa katika njia panda katika mambo lukuki.

Hotuba ya mwezi huu vipi ndugu Profesa dr Kikwete. Kwa maneno yako ulisema DR amekuzuia kufanya kazi ngumu, je na hii ya kuhutubia taifa nimojawapo??

Wewe punguwani tumia akili mwache apumzike hutuba ya nini?
 
Back
Top Bottom