Recent content by mchekanapori

  1. M

    Huduma ya Paypal Tanzania

    Mkuu samahani, unaweza kunielekeza jinsi ya kureload pesa ktk hii acc ya payoneer? Ninayo acc lakini sijajua kuingiza pesa ktk hiyo acc ya payoneer, msaada pliz.
  2. M

    AIBU TUPU: Ubalozi wa Tanzania hapa Zimbabwe...

    Kabisa yani, kwakweli inakera.
  3. M

    AIBU TUPU: Ubalozi wa Tanzania hapa Zimbabwe...

    Hiyo aibu ni kila sehemu ndugu yangu, chukia kuitwa mtanzania kama mimi navyochukia, maana nchi imeharibiwa kila sehemu na hawa waccm, ni aibu aibu aibu. Abu dhabi kuna muhindi huyo ukifika anaanza kukuuliza maswali ya kisenge kama unavyojua wahindi kwa maswali ya kijinga, what can I help you...
  4. M

    Kumchagua Lissu mwenyekiti TLS ni kuzika lengo la kuanzishwa kwake

    Waccm mnahangaika sana, na mjue Lissu lazima achukue urais nasio urais wa tls tu, baadae tutampa hata urais wa nchi hii awakomeshe nyie
  5. M

    CHADEMA yatoa tamko baada ya Mbowe kutajwa katika listi ya Makonda

    Wewe ndio umetaja Aikaeli wewe, sisi tumeona philemon ndio katajwa.
  6. M

    Mlioko Uingereza, msaidieni huyu mama kufahamu wanawe walipo

    Mama kama angekuwa na kopi ya paspoti za hao watoto angeenda ubalozini kutoa taarifa ingalikuwa ni rahisi zaidi kusaidiwa.
  7. M

    Mtoto aliyezaliwa 2004 mwaka huu anamaliza la saba, Mbowe na CHADEMA mnaujua ukweli huo?

    Kwa hiyo kama ni afya kisiasa, unafikiri chadema imezorota? Kwa mtazamo wako? Braza labda wewe ni kipofu tena sio wa macho tu, hata wa kutafakari.
  8. M

    Mtoto aliyezaliwa 2004 mwaka huu anamaliza la saba, Mbowe na CHADEMA mnaujua ukweli huo?

    Nyie wa ccm mkae mkijua kwamba kamwe chadema haita badilisha mw/kiti kwa matakwa yenu, na hata mgombea uraisi ambaye ni Lowassa si mnamchukia kupita kiasi? Kamwe hatoachwa kusimamishwa eti sababu nyie ccm hamumtaki, atasimama Lowassa na atatuambia waTz ni nini hasa kimefanya mumchukie hivyo...
  9. M

    Mzee wa Upako: Lowassa hawezi kuwa Rais 2020, CHADEMA wanahusika kunichafua

    Basi wakatae wasije kanisani kwako wanachama wa chadema, weka utaratibu wa kuingia kanisani na kadi za ccm,Mzee wa bapa.
  10. M

    Lowassa: CCM isijidanganye

    Ccm mtang'oka wacheni kufikiri kwamba nyie ndio hati miliki ya hii nchi, ni kipi kinachowapa jeuri kiasi hicho, basi ipo siku mtakuja kudhania kwamba mwana ccm yeyote hatokufa maishani mwake kwa jinsi akili zenu msivyozishughulisha kufikiri.
  11. M

    Jiji la Dar es Salaam na ahadi hewa za madiwani na wabunge wa upinzani

    Kwanza kabisa umemshambulia sana Kubenea bila shaka amekuchukulia, ipo siku utathibitisha hapa, pili hayo yoote mengine uliyoyasema hapo ni sawa na umejitia mwenyewe kijiti jichoni, alafu unaomba kusaidiwa kukitoa.. umekubali kutumika bila kujali heshima yako itakavyo potea mtaani kwenu huko.
  12. M

    USHAHIDI: Mikoa ya Kaskazini inapendelewa kwa makusudi na serikali

    Let's compare Chato & Nanjilinji.
Back
Top Bottom