Genius one
Senior Member
- Jul 11, 2015
- 134
- 69
mimi natumia huduma ya paypal ni mtewja wa nbc siyo kweli hii huduma hairuhusiwi sema wafanyakazi wengi wa benki ni vihiyo baada ya kufanya process zote kuna code nilitakiwa nizipate nilipoenda nilizungushwa sana mpaka nikaenda kitengo cha it cha nbc ambacho kiko jamhuri ndio wakanipa hizo code unatakiwa ama uwe na visa card au master card
Jaribuni kusoma kwa makini posts kabla ya kujibu.Tatizo tumesema lipo kwenye upokeaji wa pesa toka nje ya nchi.Kutuma hela sio tatizo.Try to read between lines