Recent content by Mchapa kazi Mzalendo

  1. Mchapa kazi Mzalendo

    Lukuvi amchongea Waziri Nyalandu kwa Kinana

    Hii ni sanaa, naona hata ninyi wachangiaji mnaimudu, mm napita tu.
  2. Mchapa kazi Mzalendo

    Kumekucha: Maalim Seif Hamad Kujiuzulu umakamu wa kwanza wa Rais Zanzibar

    Huyo alifunga ndoa, lazima afuate masharti ya ndoa yanasemaje, kwani alipokuwa anafunga ndoa hakujua ndoa ikoje???? Ndoa si lelemama kujinasua ni ngumu.
  3. Mchapa kazi Mzalendo

    Ukweli kuhusu Habari ya Mwanafunzi aliyemzalisha mwalimu

    Nimesoma NKOMOLO 1 primary School, Namanyere, nikajiunga na NKANSI SEC. SCH. na sasa nina mawe mawili (Naipenda shule yangu) nilishangaa sana mwandishi aliposema ipo mwambao wa ziwa wakati ipo mbali kama Dar-Moro. Poleni sana kwa kuchafuliwa.
  4. Mchapa kazi Mzalendo

    Mwalimu amzalia mtoto mwanafunzi wake

    So long as hakuna aliyedhurika na mipango yake, hakuna sheria ya kuwabana wahusika kwa sababu sheria zilitungwa kutatua matatizo, na hapo hakuna tatizo.
  5. Mchapa kazi Mzalendo

    Ajali mbaya Mbezi Mwisho (Dar): Basi la Najimunisa lagongana na Land Cruiser

    Kazi nzuri mkuu, binadam wa siku hizi kufa kufaana.
  6. Mchapa kazi Mzalendo

    Kikwete- Sina mzaha, watawajibika

    Upinzani sio kupinga kila HOJA, kuna watu hawajui maana halisi ya upinzani na ndio wanao rudisha taifa letu nyuma. Kwa mfano JK alipozindua mradi wa magari yaendayo kasi, wapinzani wake walisema haiwezekani, mara ooh kampeni tu hizo. USHAURI WANGU TUMPE MUDA, THEN TUILETE HII MADA HAPA.
  7. Mchapa kazi Mzalendo

    Kundi la wake za watu (wanawake) linaloongoza kutoka nje ya ndoa (kufanya ngono)

    Nimekuelewa mkuu, ya kuwa ndoa zinahitaji uwajibikaji, kushindwa kufanya hivyo hayo mambo uliyoyataja yanatokea kwa kiasi kikubwa. Kila aliye kwenye ndoa awajibike kupunguza haya majanga.
  8. Mchapa kazi Mzalendo

    Mnyika: Maharamia wamefanya uharamia kupitisha Katiba Haramu

    Tatizo CHADEMA wanafanya za siasa za matukio hawana mkakati endelevu, kwani hamuwezi kupinga kitu kwa hoja mpaka mtumie MATUSI??
  9. Mchapa kazi Mzalendo

    Miili zaidi yapatikana kwenye Jengo lililoporomoka Nigeria

    Majaribu ni sehemu katika huduma ya kiroho, lakini Mungu atamsimamia katika hili. Poleni sana wapendwa.
  10. Mchapa kazi Mzalendo

    Mishahara hewa yaizundua Serikali

    Let him work, outcomes will follow
  11. Mchapa kazi Mzalendo

    Rais Kikwete akutana na Wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Ikulu ndogo Dodoma

    UKAWA waoneshe uzalendo kwa kujali wananchi na si kutanguliza maslai yao mbele. Kwa nini hawataki maridhiano?? JK amekomaa kisiasa, akimaanisha yuko tayari kwa maridhiano ila upande wa UKAWA ni sheeedaa.
  12. Mchapa kazi Mzalendo

    Kutafuna meno wakati wa usiku

    Mtu akiwa unconscious anaji control vipi???? ukimwamusha atakuwa conscious atakusikia, lakini akirudi unconscious atarudia kung'ata meno, kung'ata kucha ni conscious state hivyo mtu anaweza kuji control. UKIELEWA HIVI VITU HAVIKUPI SHIDA NA NI SAIKOLOJIA TU INAYOMFANYA MTU ASILALE, KUBALI...
  13. Mchapa kazi Mzalendo

    Kutafuna meno wakati wa usiku

    Ni kweli ni tabia ila ni ya kurithi, mimi baba yangu marehemu alikuwa na tabia ya kutafuna mdomo akiwa usingizini, mimi siko hivyo ila mwanangu karithi hiyo tabia. Hiyo ni genetic issue, hivyo Muumba anahusika, kung'ata kucha sio mfano sahihi kwa hii mada.
  14. Mchapa kazi Mzalendo

    Kutafuna meno wakati wa usiku

    That is involuntary action, huwezi kuzuia ni kama chafya, mwache jamaa ajipumzikie hajapenda, shukuru Mungu kwa kukuumba mkamilifu.
  15. Mchapa kazi Mzalendo

    Hotuba ya Muammar Gaddaffi ndiyo iliyonitoa machozi

    "Atendaye dhambi ni mtumwa wa dhambi" Yoh. 8:34, Usihukumu, usije ukahukumiwa......RIP Gadaf. Yawezekana alikuwa mtumwa wa dhambi lakini alihukumiwa na watu wasiostahili.
Back
Top Bottom