miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,011
- 3,708
- Thread starter
- #21
Swaga za kutafuna meno? tehe! tehe! tehe..................
Sasa nilikuwa sijawahi ona.....
Swaga za kutafuna meno? tehe! tehe! tehe..................
Mwache tu ishuke....kesho atatafuta namna!!
That is involuntary action, huwezi kuzuia ni kama chafya, mwache jamaa ajipumzikie hajapenda, shukuru Mungu kwa kukuumba mkamilifu.
Tabia zinabadilishika! Kung'ata ku ha, kusaga meno n.k zote ni tabia wala si maumbile usimsingizie Mungu....lol
Kesho ataaga anaenda kuwatembeleA ndugu zake kumbe anataka kushushia zanzi
Aende tu maana sasa hivi nimepata mguu wa mbavu.Asije akaniua bureee
Tabia tu ujue kuna vitu vingine tunafanya unconsciously halafu vinaonekana kama hatuvilazimishi lakini ni vitabia tu.Hivi eeeeh??bora umenipa mwangaza ndugu yangu maana daaah nilitaka kushangaa kuwa hii ni involuntary action kweli au tabia tu.
Mkuu miss Strong funguka,je huyo mgeni wako ni Ke au me? kama ni me na wewe ni ke ni kawaida kwani kuna homones zinazomfanya mwanaume kulala usingizi mzito baada ya kumaliza kazi anayokabidhiwa na mke/mpenzi wake.Jamani nashindwa kulala mpaka sasa hivi....nmepata mgeni ana sugua meno hatari na nmelala nae room kwangu.
Wengine humu wanamatatizo kama haya au kuzidi haya.
Utakuta mtu anakoroma kama simba au wengine ulala kama anaogelea jamani.
Hivi ni ulemavu,tabia isiyokuwa na dawa au mnafanya makusudi??
Unampiga mwenzio mguu wa mbavu,au unamtia roba kabisaaaaa loooh tubadilike.
Yamenikuta hapa ila kwa kuwa jamii ni hii hii basi tubadilike.Tujifunze kulala vizur sio domo wazi miudenda kuitiririsha.
Hii inaitwa vunja kero......maana kwa utafunaji wa meno na kukoroma sana basi nyumba za kupanga itakuwa kero.Yaani mtu unatafuna meno kama bisi za kukaanga
Tabia tu ujue kuna vitu vingine tunafanya unconsciously halafu vinaonekana kama hatuvilazimishi lakini ni vitabia tu.
Pole mwaya kama vipi mwamshe na umwambie unakereka
Heeeee angalia asije akakutia dole uyoo,,,, uvae chupi leo
Mkuu miss Strong funguka,je huyo mgeni wako ni Ke au me? kama ni me na wewe ni ke ni kawaida kwani kuna homones zinazomfanya mwanaume kulala usingizi mzito baada ya kumaliza kazi anayokabidhiwa na mke/mpenzi wake.
kwa hiyo ukilala usingizi wa pono lolote laweza tokea.
Mkuu miss Strong funguka,je huyo mgeni wako ni Ke au me? kama ni me na wewe ni ke ni kawaida kwani kuna homones zinazomfanya mwanaume kulala usingizi mzito baada ya kumaliza kazi anayokabidhiwa na mke/mpenzi wake.
kwa hiyo ukilala usingizi wa pono lolote laweza tokea.
Ni kweli ni tabia ila ni ya kurithi, mimi baba yangu marehemu alikuwa na tabia ya kutafuna mdomo akiwa usingizini, mimi siko hivyo ila mwanangu karithi hiyo tabia. Hiyo ni genetic issue, hivyo Muumba anahusika, kung'ata kucha sio mfano sahihi kwa hii mada.Tabia zinabadilishika! Kung'ata kucha, kusaga meno n.k zote ni tabia wala si maumbile usimsingizie Mungu....lol
Mtu akiwa unconscious anaji control vipi???? ukimwamusha atakuwa conscious atakusikia, lakini akirudi unconscious atarudia kung'ata meno, kung'ata kucha ni conscious state hivyo mtu anaweza kuji control. UKIELEWA HIVI VITU HAVIKUPI SHIDA NA NI SAIKOLOJIA TU INAYOMFANYA MTU ASILALE, KUBALI MATOKEO UTAPATA USINGIZI NA INASUMBUA IKIWA NI MARA YA KWANZA, UKIZOEA HAIKUPI SHIDA.Tabia tu ujue kuna vitu vingine tunafanya unconsciously halafu vinaonekana kama hatuvilazimishi lakini ni vitabia tu.
Pole mwaya kama vipi mwamshe na umwambie unakereka
Jamani nashindwa kulala mpaka sasa hivi....nmepata mgeni ana sugua meno hatari na nmelala nae room kwangu.
Wengine humu wanamatatizo kama haya au kuzidi haya.
Utakuta mtu anakoroma kama simba au wengine ulala kama anaogelea jamani.
Hivi ni ulemavu,tabia isiyokuwa na dawa au mnafanya makusudi??
Unampiga mwenzio mguu wa mbavu,au unamtia roba kabisaaaaa loooh tubadilike.
Yamenikuta hapa ila kwa kuwa jamii ni hii hii basi tubadilike.Tujifunze kulala vizur sio domo wazi miudenda kuitiririsha.
Hii inaitwa vunja kero......maana kwa utafunaji wa meno na kukoroma sana basi nyumba za kupanga itakuwa kero.Yaani mtu unatafuna meno kama bisi za kukaanga