Kikwete- Sina mzaha, watawajibika

Kikwete- Sina mzaha, watawajibika

MBONA WEWE UNAUJUA MCHEPUKO WA MAMA YAKO LAKINI UMESHINDWA KUMJULISHA BABA YAKO!!!
Mbaya zaidi wewe ndio unatumika kama kuwadi.... huo ni zaidi ya ujangili kwa sababu huo mchepuko wa mamiyo una kale kaugonjwa kenu
Sasa wewe mapovu ya nini tena kama mgojwa wa kifafa hapa... panic za nini....unaogopa kukumbushwa kukamatwa!
 
Kama wakurugenzi waliteuliwa kutokana na kadi za kijani, hili sahau! Mfumo wa chama kwanza unaiharibu sana nchi.
 
Mhhhhhhhh aaaah tangu lini Kikwete akawa serious, sijawahi kumsikia wala kumuona tangu zile seminar elekezi mpaka kwa akina Jairo, Maaskofu wauza unga mpaka kwa Ray C. chezea Kikwete wewe. Akisema kitu harafu wewe ukakikomalia utaumbuka kama unabisha muulize Nape kwenye kujivua GAMBA nini kilitokea.
 
maigizo ya ba'riz tena! teheheeeeeeeeeheeeee!

Budget ya nchi imepita kwa kishindo majuzi tu,mchumi huyu mchumi gani asiyezingatia budget na vipaumbele.

Kama kulikuwa na uharaka kwa nini jambo hili lisingewekwa kwenye budget, Nchi inaendeshwa kwa mtu kujisikia tu.
 
Kashawawajibisha wangapi mpaka sasa??? Kila siku.madudu yanafanyika he says nothing rather than runnig to america,awajibishe kwanza mafisadi wa iptl na akaunt ya escrow
 
Na ole wao tusikie wanachangisha wananchi na walimu wakati wao wakitumbua mabilioni Dodoma.
Tena mbaya zaidi ni hiyo hoja wananchi wa eneo husika wanakuwa committed kujenga maabara but watoto wao wanapelekwa shule za maeneo mengine ambazo hazina maabara wala vifaa...

Kiukweli wanachangisha watumishi na hasahasa ni walimu.kwa mfano walimu wote wa jiji la mwanza wilaya ya nyamagana wanetakiwa kuchangia sh. 10000/- kila mwl mmoja.na pesa hio wameambiwa itakatwa mojakwa toka hazina.
Hapa ndipo napata swali la kuuliza je zile kodi zinazokatwa ktk mishahara zaenda wapi? ni wakati wa watumishi wa umma kuamka na kuondoa huu upuuzi kwa mikono yao wenyewe maana kama ni kukaa kimya na kuchukia waneshafanya hivo.kinachotakiwa ni action tuu.
 
Ni mpango mzuri sana wa kuwa na maabara. Ila je, bajeti ya wizara ya elimu au ujenzi vipaumbele ni ni hicho alichokiongelea au ni kwa matakwa yake?. Jengo moja la maabara lenye vyumba vitatu ni tsh:120,000,000. Je ni shilingi ngapi kwa shule zaidi ya 250?. Sina hakika kama kweli hata wale aliowaambia walimwelewa!.
 
Kiukweli wanachangisha watumishi na hasahasa ni walimu.kwa mfano walimu wote wa jiji la mwanza wilaya ya nyamagana wanetakiwa kuchangia sh. 10000/- kila mwl mmoja.na pesa hio wameambiwa itakatwa mojakwa toka hazina.
Hapa ndipo napata swali la kuuliza je zile kodi zinazokatwa ktk mishahara zaenda wapi? ni wakati wa watumishi wa umma kuamka na kuondoa huu upuuzi kwa mikono yao wenyewe maana kama ni kukaa kimya na kuchukia waneshafanya hivo.kinachotakiwa ni action tuu.

Hao walimu inatakiwa waamue kutofanya kazi siku 3. Kufidia ela yao
 
Wallah huu ni mzaha kuliko mzaha wenyewe!!! Hivi zile laptops ziliishiaga wapi vile!
 
Jamani JK anachekesha sana. Anakumbuka blanket asubuhi. Hizi vision alitakiwa aziweke wazi na kuzifanyia kazi miaka tisa iliyopita. La kushangaza zaidi, mkurugenzi anajenga maabara sub standard kwa hela za umma anasubiri mpaka apoteze hela yote aliyopewa. Ni mtu gani mwenye akili timamu achilia mbali kiongozi wa nchi atakayekubali upuuzi kama huu?

Ndio maana wanamuita msanii.
 
Upinzani sio kupinga kila HOJA, kuna watu hawajui maana halisi ya upinzani na ndio wanao rudisha taifa letu nyuma. Kwa mfano JK alipozindua mradi wa magari yaendayo kasi, wapinzani wake walisema haiwezekani, mara ooh kampeni tu hizo. USHAURI WANGU TUMPE MUDA, THEN TUILETE HII MADA HAPA.
 
Ha ha haaaa nakuelewa sana tu!!!
Mi natamani kupata nakala ya bajeti ya mwaka wa fedha husika walipitisha mafungu gani juu ya wizara hii??!!!

Kuna mtu aliwahi kusema ndio maana serekali inamadeni kila akiamka ana mradi mpya.
 
attachment.php
 
attachment.php

Anakenua kenua saa zote kama hiyo picha ya hapo juu huku nchi ikienda mrama. Hawakukosea waliompa majina ya msanii, dhaifu na janga la Taifa.

Kumbe anajijua kwamba ana mzaha?! Dah, huyu jamaa kweli ni kiboko kama siyo comedian!!
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Back
Top Bottom