miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,694
Jamani nashindwa kulala mpaka sasa hivi....nmepata mgeni ana sugua meno hatari na nmelala nae room kwangu.
Wengine humu wanamatatizo kama haya au kuzidi haya.
Utakuta mtu anakoroma kama simba au wengine ulala kama anaogelea jamani.
Hivi ni ulemavu,tabia isiyokuwa na dawa au mnafanya makusudi??
Unampiga mwenzio mguu wa mbavu,au unamtia roba kabisaaaaa loooh tubadilike.
Yamenikuta hapa ila kwa kuwa jamii ni hii hii basi tubadilike.Tujifunze kulala vizur sio domo wazi miudenda kuitiririsha.
Hii inaitwa vunja kero......maana kwa utafunaji wa meno na kukoroma sana basi nyumba za kupanga itakuwa kero.Yaani mtu unatafuna meno kama bisi za kukaanga
Wengine humu wanamatatizo kama haya au kuzidi haya.
Utakuta mtu anakoroma kama simba au wengine ulala kama anaogelea jamani.
Hivi ni ulemavu,tabia isiyokuwa na dawa au mnafanya makusudi??
Unampiga mwenzio mguu wa mbavu,au unamtia roba kabisaaaaa loooh tubadilike.
Yamenikuta hapa ila kwa kuwa jamii ni hii hii basi tubadilike.Tujifunze kulala vizur sio domo wazi miudenda kuitiririsha.
Hii inaitwa vunja kero......maana kwa utafunaji wa meno na kukoroma sana basi nyumba za kupanga itakuwa kero.Yaani mtu unatafuna meno kama bisi za kukaanga