Recent content by Mchakachuliwaji

  1. M

    JamiiForums Tanzania Sinful man

    A sinful man dies & goes to hell. There he finds that there are different hell for each country and decides he'll pick the least painful to spend his eternity. He goes to the German hell & asks, "What do they do here?" He is told "first they put you in an electric chair for an hour. Then...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Lissu amlima barua Shibuda

    Bado kidogo chadema watapigana miti
  3. M

    JamiiForums Tanzania RPC wa Kilimanjaro - Ng'hoboko hatunaye tena

    Hao siyo wana JF ni wanachama wa chadema. Hawa wanachama wa hiki chama wana munkhali sana. Lakini kinachonishangaza zaidi mimi ni kutokuwa na busara hasa wa hapa JF. Kuanza kukejeli kifo ni dhambi mbaya kuliko ubaguzi.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Tuliosoma Shule ya Sekondari Tosamaganga tukutane hapa

    Dah, mmenikumbusha mbali saaaaaaaana sana. Enzi za Tosa. Na marehemy mzee DUDU! Characters zinazonikosha na nazikumbuka mpaka leo ni pamoja na: 1. Paschal Joseph Mugasa- Classs Monitor CBG 1990-1992. Jamaa alikuwa mnoko usipime. Naambiwa siku hizi amekuwa, ameacha 2. Muhidin Amour; duh usiseme...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Shamba Linauzwa

    Ndugu wana jamiiforums na wengineo, Kuna shamba la ekari 10, kati ya hizo hekari 3 ndizo zinauzwa. Liko eneo la VIANZI karibu na shuke ya secondary mpya inaitwa VIANZA. Linapakana na hiyo shule ya secondary. Vianzi ni makazi mapya yanayoendelea kwa kasi sana nje kidogo ya mji wa Dar es Salaam...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Prof. Tibaijuka: Mliopora maeneo jisalimisheni; aanza kwa kasi!

    mh,,, yetu macho
  7. M

    JamiiForums Tanzania Dr Norbert Kayombo afariki dunia.

    Alikuwa mtu wa watu hasa. Mpole, Mzalendo na mnyenyekevu. RIP Dr. Kayombo Nobert
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ujenzi

    Asante sana. Ngoja nimsake huyo mtu wa soil kwanza.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ujenzi

    NIna hamu ya kujenga nyumba ya ghorofa. Nataka ghorofa moja tu na balcony ya juu. Natamani nyumba kwa ground floor iwe yenye rooms mbili zote self contained, jiko, library, living room pamoja na bafu/toilet inayojitegemea na kwa ghorofa ya kwanza natamani iwe na rooms tatu za self contained. Juu...
  10. M

    JamiiForums Tanzania GE2010 Ni kweli Anna Makinda anaandaliwa kuwa rais?

    Huo ni udhalilishaji wa kijinsia na kiakili.
Back
Top Bottom