Recent content by Mchaga mjanja mjanja

  1. M

    I'm looking for my life partner

    Asiwe anatoka makabila ya pwani kwann,kwan wanaotoka ukanda huo sio watu???
  2. M

    Mpenzi wa zamani wa msichana wangu karudi, anasema niachane nae

    Kama mzigo ushakula,ww mpotezee tu...,mademu kibao tu wapo..
  3. M

    Bongo movie aibu tena

    Vp na TFF wakitaka na mipira ya nje ifungiwe ili watu tuconventrate na ligi kuu ya bara??
  4. M

    Usithubutu Kumpoteza Mwanamke/mpenzi Wa Kinyakyusa

    Hamna kabila TZ hii kwa upande wa wanawake litafikia sifa nzuri walizonazo wanawake wa kichaga,msijidanganye,hao wanyakyusa ni chenga yaan ni bora hta uoe mzaramo ujue moja...
  5. M

    Mpenzi wangu anapenda ninavyovuta sigara

    Subiri akishajifungua,uache hzo sigara,yy kitisho chake c atatoa hyo mimba??,xxa akishajifungua hana ujanja tena wala mkwara wa kupiga
  6. M

    msaada pesa kushikiliwa katika akaunti yangu ya CRDB

    Nenda kwny tawi lolote la crdb,watakutatulia tatzo hlo,usikae nyumbani usubir hyo hela irudi,waweza kujikuta unaipoteza kabisa.
  7. M

    Kugegeda mara1 kwa wiki

    Huyo mkeo atakuwa anachepuka,fuatilia kimyakimya utajua ukwel.
  8. M

    Picha: Riyama anaswa "LIVE"

    Jamani,mwenzenu ndo ameshapenda na kutangaza nia,kila mtu ana uhuru wa kuwa na mpenzi amtakaye....
  9. M

    Original Transcend External Hdd for sale ikiwa na movie ZAIDI YA MIA MOJA

    Mm nna 70000 cash,hzo muv futa tu,nahitaji external hyo ikiwa empty.
  10. M

    Naweza kumuoa huyu?

    Huyo demu ameshakufanya ndondocha ww...mwanamke ushaweka msimamo wa kumtakia maisha mema na mumewe..leo hii unamkaribisha geto kwako..kwanza alipajuaje kma hukumuelekeza mwenyewe??
  11. M

    Huawei Y300 ni janga

    Hzo cm ukinunua zle feki za kariakoo umeumia....y300 zilizokuwa zinauzwa na tigo mwanzoni kbxa zilikuwa ni jembe balaa.....
  12. M

    Mtoto wa mke wangu amenishinda, anaelekea kuvunja ndoa yetu

    Mtoto wa nyoka ni nyoka...si ajabu baba wa huyo mtoto alikuwa teja au kibaka...
  13. M

    Nimetembea na mama na binti yake

    Hii ndo ile muvie unayojiandaa kushoot??
  14. M

    Vivazi vya manesi, nafuu kwa wagonjwa....

    Mkuu umewasahau pia na matrafiki wa kike, baadhi yao nguo wanazovaa, unaweza kujikuta unaingiza gari porini kwa kuvutiwa na kushangaa....
Back
Top Bottom