AL SHARPTON
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,797
- 953
Sodoma na Gomora
King'asti amesema alimpiga mama 10 na mtoto 6 bado unataka aongeze nguvu si atawaua sasa kwa kupiga 20 na mtoto 12 ha ha hawa vijana na story zao za vijiweni wanaleta JF
Aiseee!
Alichokisema miss chagga hapo unapaswa kukielewa sana, what goes round comes around....unavokula mtu na mama yake huku, na yy kule analiwa na jamaq tena wanamla ovyo ovyo, na nakuhakikishia kuwa hutaoana na huyo mpenzi wako...keep it in ur mind!:sly:
Okey isiwe kesi, waweke wote watatu wazi kuhusu mahusiano yako then utapata jibu
Ilikuwa ni kazi moja tu yaelekea hapo hakuna kingine
nasubiria taarifa za msiba wako tu maana kwa spidi hiyo huchomoki lazima uvute
Vijana wa taifa hili bana ngonongono tu haya tafuta bi mkubwa mwingine uwe nao wawili.
Toka zako hapa