yan we cjui umesoma chuo gan cha kata halaf unajfanya mwanasheria! Ha2na constitutn ya URT ya mwaka ulio cite hapo juu whch z in use, its jxt constittn ya 77 ndo valid kuiaply cz amendment ishafanyka
danganya toto hyo, a serious undergraduate student in law, should know this famaous case, ngoja leo niwe mchoyo kdgo wa kutoa idea, heee uvivu huu utaniua bure
nadhan kaelewa mipasho yko xo far anataka kutema goma lake la zaman. km vp fungua mipaka mwananch ale uhondo, otherwise alikudanganya kam ana m2 wakt hana huyo kasema vle coz we ulideclare km una king'ast chko pand za dom
mkuu cmulzi yko haina ushahd yakinifu unaoonesha kuwa m2 mwenye korodan moja hazai, nahc mashko ya mila na destur yakitawa na kupewa uzto uco na mfanowe, wanasayansi mnasemaje!?!?
kafanye dna ijiridhishe mkuu, mana unaweza kulea katoto kasiko kuhs ukdhan kametoka maungon mwako.... Nahc haruf ya kubambikiwa hapo kati, jarb kutest mens rea yao naona kamchezo kbya xna kanachezwa, hembu jpange ndg,.,lol! Pole xna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.