Sir Future
Member
- Dec 30, 2013
- 9
- 0
mmmmmmmmm uhamiaji sasa imebaki stor. but all in all God stil with us.
Jamani mm nimesikia leo redioni kuwa Rais JK kateua kamishina mpya wa zimamoto na uhamiaji ivyo zamu yetu inakaribia ivyo tuwe wapole hadi tarehe 27/5/2014
Wadau naomba kuuliza kuwa wale tulioomba nafasi za uhamiaji, nani anataarifa kuwa wanatoa lini majibu???
sisi wenyewe hatujui tutawaita lini