Recent content by mbwea

  1. mbwea

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    jina tuu hilo kma luaga mpina vile
  2. mbwea

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    lawama ni cost za kwenda dodoma tuu mengne hayo try and error katika gemu kawaida tuu
  3. mbwea

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    oral ya tatu hii naona Mungu kanipangia kuwa winga tuu mjini ili watoto waishi ila si haba wacha niongeze nguvu huku kungine
  4. mbwea

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    mie nmekandwa na kma data base hawajaniweka basi tena maana cwezi kwenda dodoma kupoteza pesa daily.naendelea na udalali wangu tuu mpka mwisho.Status selected for practical
  5. mbwea

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    mnatuchanganya sana na hzo status mjue ebu tusubr PDF kwanza
  6. mbwea

    Ukosefu wa ajira toka 2015 unavyowanyima vigezo wahitimu kuomba kazi zinazotoka sasa

    mpka huwa naona aibu maana naenda usaili nakutana na mdogo wangu daah
  7. mbwea

    Kupotezwa, Kujipoteza, Kujitafuta na Kujipata!

    tawile kaka nmekuelewa sana this year inabid nijitafute niache hzi rat race
  8. mbwea

    Magari yaruhusiwa daraja la Wami. Ujenzi umekamillika 90%

    afadhali kwa hili ila sitopasahau nilipata ajari kubwa sana january 23 2022 na kumpoteza mdogo wangu pale daraja la zamani
  9. mbwea

    Kalynda Wasishtakiwe, hii ndio maana halisi ya usimuonee Huruma masikini na mjinga

    Wajinga hawaishi watapigwa tena soon utasikia Mr. Bata
  10. mbwea

    Mchango wa vijana katika kuleta Uhuru wa nchi hii, kwanini vijana tusiandae mdahalo wetu sisi wenyewe?

    Vijana tugawanywa sana kupunguza nguvu zetu pia vijana tunadanganywa kwa ni wa kesho wakat kesho huandaliwa leo
  11. mbwea

    Hongera sana RC Simiyu Ndugu Anthony Mtaka, wewe ni kiongozi kweli

    Apewe wizara ya elimu tuu kuna siku niliona makala moja AZAM tv Mtaka ana mipango ndomana anafanikiwa na msikilizaji sanaa kwa walimu na anawapa motisha wanaofanya vzuri
  12. mbwea

    CCM mkiitumia JamiiForums vizuri mtanufaika

    CCM ni chama makini sana atapuuzwa tuu uyo jamaa kama wengine
Back
Top Bottom