BALAGASHIA
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 392
- 383
Hii dhana ya CCM na Serikali yake kuuona huu mtandao ni hatari kwao ni ya kipuuzi Sana. CCM na Serikali mnapaswa muelewe jamii forum ina watu wenye IQ kubwa kuliko vile mnavyo dhani. JamiiForums sio kijiwe cha kahawa.
Huyu Musiba atashindwa hawezi kufanikisha ujinga wake dhidi ya JamiiForums. JamiiForums imeshaibua mambo mengi ya kuisaidia nchi.
JamiiForums si kijiwe cha kulazimishwa kumsifia mtu, humu tuna mawazo huru. Chonde Chonde CCM mkanyeni mtu wenu.
Kuendelea kuifatilia JamiiForums mnapoteza muda.
Huyu Musiba atashindwa hawezi kufanikisha ujinga wake dhidi ya JamiiForums. JamiiForums imeshaibua mambo mengi ya kuisaidia nchi.
JamiiForums si kijiwe cha kulazimishwa kumsifia mtu, humu tuna mawazo huru. Chonde Chonde CCM mkanyeni mtu wenu.
Kuendelea kuifatilia JamiiForums mnapoteza muda.