Recent content by mbwangali

  1. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Hisia Mseto (Bipolar Disorder): Elimu ya Kina kwa Watanzania na Wadau wa Afya ya Akili

    Hongera kwa kutenga muda na kuandaa andiko zuri la kujifunza na kuelewa, changamoto kubwa ni kwamba wengi wetu hatupendi kusoma maandiko marefu na pia jamii kwa ujumla huwa inataka vitu vilivyorahisishwa. Asante sana maana hata mimi ndio mara ya kwanza kuuelewa kwa kiasi huu ugonjwa kupitia...
  2. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Maaskofu jueni kuwa Uaskofu si cheo cha kisiasa ni cheo cha kiroho wasaidieni watu wauone ufalme wa Mbinguni

    Kwani hao wanasiasa huwa wanaenda kwenye nyumba za ibada kufanya nini ?si na wao wanataka kwenda mbinguni? Iweje wanapokemewa kwa maovu yao ionekane viongozi wa dini wanakosea kisa tu "siasa"! Yaani watu kuambiwa ukweli imekuwa nongwa ila wangepambwa tungeshangilia . Aiseeeee
  3. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Mikopo kwa vijana alaumiwe nani? Nani anawajibike? Ina mana mpaka ile kweli watu waaply fungu la 10? Nanauka upo?

    Huo ni mfereji tu ulichimbwa ili kuwapitishia watu fulani ulaji, wanufaika wengi watakuwa wale wasio na vigezo
  4. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Sadaka ya damu ni noma inajibu haraka sana

    Mambo yako hayo mkuu
  5. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Who is underrated yet one of the smartest guys in JF?

    Mambo kwa ushahidi
  6. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Who is underrated yet one of the smartest guys in JF?

    Huyu jamaa min -me ni smart sana sana
  7. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Who is underrated yet one of the smartest guys in JF?

    Naam, majobless tupo na tutaendelea kuwepo daima
  8. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Who is underrated yet one of the smartest guys in JF?

    Dah😄bila shaka una kitu
  9. mbwangali

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Watu wengi wanaovuka 35 bila kuoa hubadili msimamo baada ya mialiko mingi ya wadogo zao kuoa, Pressure huwa ni kubwa sana na unaonekana wa ajabu

    Kila la heri wote mnao fikiria kuoa na wenye pressure ya kuoa Mungu awajalie mpate wenza haraka msije mkafa na hizo pressure
  10. mbwangali

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke bado anajua mgumu kutoa hii mimba nifanyaje aisee

    Kwanini mlijamiiana bila kinga??
  11. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Prophet IPM anahubiri injili gani?

    Naam, ndio maana mimi huwa nawapongeza hao kina mwamposa na wafananao maana wametumia fursa ya ujinga wa watu na kukusanya pesa, uzuri hawachukui kinguvu mfukoni kwa mtu, ni mtu mwenyewe anazipeleka big up kwao
  12. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Prophet IPM anahubiri injili gani?

    Hawa wahuni wa mjini wanajua kula na wakubwa, hapo alishaset kila kitu
  13. mbwangali

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Familia nyingi siku hizi hazizidi watoto watatu kutokana na ongezeko la kina mama kujifungua kwa njia ya operesheni

    Kuna watu hawajali hilo kabisa, wao kauli yao ni ile Mungu analea wanakua tu
Back
Top Bottom