Recent content by mbwangali

  1. mbwangali

    JamiiForums Tanzania THE GOAT WHO STOOD FIRM: Nguvu ya Simba, Ukaidi wa Mbuzi

    JF tuko huru kubwabwaja kwasababu kuna mtu yuko imara kulinda taarifa zetu. Heko kwake
  2. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Wakuu mliofanikiwa naombeni mnipe darasa

    1. Epuka kukaa katika comfort zone 2. Punguza matarajio kutoka kwa watu hii itakusaidia pale ukianguka hutalaumu mtu bali utajifunza na kusonga mbele (weka matarajio makubwa kwenye akili zako na nguvu zako) 3. Punguza msururu wa wategemezi namaanisha jifunze kusema hapana au sina hata kama...
  3. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Nisikilizwe nishauriwe ukweli mtupu nisije kujuta maisha yangu yote

    Kinachokusumbua ni huyo ex wako wala sio msukuma kuwa na mke mwingine. Ningekuelewa kama ungejikita kwenye kujiasses ikiwa utaweza kuishi kwenye ndoa ya uke wenza au hutaweza uondoke uendelee na maisha yako lakini kitendo cha kumzungunguzia x tayari unatia shaka, huenda ulikuwa unajua kuhusu...
  4. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Upo hapa kwa muda mfupi sana

    Shukrani kwa somo zuri la kuamka nalo asubuh lenye kutukumbusha kuwa maisha ni sasa wala si badae
  5. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Upo hapa kwa muda mfupi sana

    Katika ubora wako mzee wa kilinge
  6. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Usiyoyajua kuhusu Ocean Sunfish samaki ambaye hata akiliwa zaidi ya nusu ya mwili wake hafi, bali ataishi na kupona

    Asante mkuu ila hujaelezea hapo kuhusu kuliwa nusu na akawaweza kusurvive
  7. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Dah kuna nyakati mnatupiga spana baba zenu mjue 😄😄kumbe watoto hivyo
  8. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Kipindi hicho unajiita LY na hata hujui maana yake 😄😄
  9. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Pole sana dogo shikilia hapohapo usikate tamaa, giza likizidi kunakaribia kupambazuka
  10. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    😄😄Kuna jirani yangu asubuhi anaazimia kabisa kuwa kaacha pombe ila mchana tu unamkuta ashatupia vitu, unamuuliza mbona ulisema hunywi tena utasikia yale ni maneno ya kukosa pesa tu nikipata pombe ndo kitu cha kwanza nakumbuka 😄
  11. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    😄😄Kubali uhalisia mkuu si utachoka sasa kila wakati kimswaki! Mimi napenda sana mvi ila ndo sina hata moja, nazisubiri kwa hamu sana
  12. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Yes ni kipindi ambacho unakuwa na stress sana kwasababu ndo unaanza kuona uhalisia wa maisha na umri
  13. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Shkamoo mzee ni nyingi sana huku mtaani na kuombwa ushauri sana na hen z !ama hakika tumezeeka ni vile tu wengine hatuna mvi
  14. mbwangali

    JamiiForums Tanzania Je, Mbarikiwa Mwakipesile ndiye mwimbaji bora wa nyimbo za injili Afrika na duniani kwa sasa?

    Kukosoa kusiko na logic ni mental illness. By the way msalimie sana shemeji yangu Mbarikiwa, nimezikumbuka sana mbwembwe zake
Back
Top Bottom