1. Epuka kukaa katika comfort zone
2. Punguza matarajio kutoka kwa watu hii itakusaidia pale ukianguka hutalaumu mtu bali utajifunza na kusonga mbele (weka matarajio makubwa kwenye akili zako na nguvu zako)
3. Punguza msururu wa wategemezi namaanisha jifunze kusema hapana au sina hata kama...
Kinachokusumbua ni huyo ex wako wala sio msukuma kuwa na mke mwingine. Ningekuelewa kama ungejikita kwenye kujiasses ikiwa utaweza kuishi kwenye ndoa ya uke wenza au hutaweza uondoke uendelee na maisha yako lakini kitendo cha kumzungunguzia x tayari unatia shaka, huenda ulikuwa unajua kuhusu...
😄😄Kuna jirani yangu asubuhi anaazimia kabisa kuwa kaacha pombe ila mchana tu unamkuta ashatupia vitu, unamuuliza mbona ulisema hunywi tena utasikia yale ni maneno ya kukosa pesa tu nikipata pombe ndo kitu cha kwanza nakumbuka 😄
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.