Hongera kwa kutenga muda na kuandaa andiko zuri la kujifunza na kuelewa, changamoto kubwa ni kwamba wengi wetu hatupendi kusoma maandiko marefu na pia jamii kwa ujumla huwa inataka vitu vilivyorahisishwa.
Asante sana maana hata mimi ndio mara ya kwanza kuuelewa kwa kiasi huu ugonjwa kupitia...
Kwani hao wanasiasa huwa wanaenda kwenye nyumba za ibada kufanya nini ?si na wao wanataka kwenda mbinguni? Iweje wanapokemewa kwa maovu yao ionekane viongozi wa dini wanakosea kisa tu "siasa"! Yaani watu kuambiwa ukweli imekuwa nongwa ila wangepambwa tungeshangilia . Aiseeeee
Naam, ndio maana mimi huwa nawapongeza hao kina mwamposa na wafananao maana wametumia fursa ya ujinga wa watu na kukusanya pesa, uzuri hawachukui kinguvu mfukoni kwa mtu, ni mtu mwenyewe anazipeleka big up kwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.