Wakuu ni kwel kuwa hatuna elimu juu ya muungano wetu ndomaan ni Ngumu kwetu kuelew haya majambo yanayoendelea ila Kuna kitu nachokuona kutoka kwa viongoz wetu wanakosea sana naman yakuuongelea huu muungano mfano wanatumia manen makal pia hawana kauli thabiti kwa wananchi wao hvyo kupelekea matabaka
🤣🤣ndugu yang SI kama nakuchek hapana ila umenishangaza Sana"ulimeki pesa juu ya hilo😳🙄...yan wewe na mtu anaefanya michezo yakubeti hamna tofaut kabisa.anyway pole bn
Anyway tuwekeni wazi sas juu ya huu muunganiko jamani.maisha Magum watu wanatafuta ugali lakin Bado inakuw shida!?haya kwamfano hilo kundi la hao msemao wanajiuz waache hiyo Kazi wawe wezi,kipi ni Bora zaid?
Mimi sina baya na bondia wetu kabisa,Kwan kupigw ama ushindi yote ni matokeo pia hakuna asiye anguka katik Dunia hii katik swala la utafutaji.nakutakia kher t mwakinyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.