Kwanini watanzania wengi wanafurahia kwa kupigwa Hassan Mwakinyo

Kwanini watanzania wengi wanafurahia kwa kupigwa Hassan Mwakinyo

Nimeangalia mwanzo mwisho , alizidiwa ule ni ufundi mzee ...So ajipange na nilijua round ya Tano afiki.
Mpinzani alikuwa bora sana ila ninapomuaminia mwakinyo ataomba marudiano
 
maneno yake ya kuringa na kujihisi ni wa kipekee, ndicho kinachomfanya wengi wa mabondia wenzake wamchukie
 
Kheri zitawale

Zilianza taarifa kuwa hakuwa akipewa sapoti za kutosha na baadhi ya watu na media, kama mtanzania wanadai alitakiwa apewe sapoti na media zote nchini binafsi najua hizi media ni zinafanya biashara na zikiona hazipati chochote haziingii kwenye biashara ya mtu mwingine

Nasikitika tu kwa watu/raia wa tanzania na watu maarufu kumsusia jamaa kwa kutompa sapoti

Labda anaponzwa na bwebwe zake za kujiamini kupita kiasi na maneno yanayomchacharika mdomoni ya shombo la samaki… natania

Mabondia wenzake wengi huyu jamaa hawamtaki na sio kwa sababu ya ubora wake ni mambo yao wenyewe binafs

Ikiwalinganisha na mabondia wa tanzania wengi viwango vyao havipishani sana ila ni ana uongozi mzuri jamaa hicho anabidi ajivunie sana wanaomuongoza wanajielewa sana na wanachangia kipaji chake kuwa cha kipekee

Labda mafanikio yake au maneno yake ya kuringa na kujihisi ni wa kipekee, ndicho kinachomfanya wengi wa mabondia wenzake wamchukie

Taifa tusimameni na wanamichezo wetu

Soma Pia BOXING: Michael Soro amchapa kwa TKO Hassan Mwakinyo. Pambano limechezwa Parc Des Expositions, Abidjan, Ivory Coast. Juni 11, 2026
Uchawa, rudia maneno ya mwakinyo!
 
Mwakinyo ni Bondia bora sana, Wabongo wakiona umefanikiwa sana wanaanza roho mbaya.. Wanamchukia Mwakinyo kwa sababu yuko independent na hajipendekezi kwa yoyote..
Wabongo wengi ni shthol
Roho mbaya, msimamo wa jamaa ndiyo unawapa shida

Ova
 
Mimi sina baya na bondia wetu kabisa,Kwan kupigw ama ushindi yote ni matokeo pia hakuna asiye anguka katik Dunia hii katik swala la utafutaji.nakutakia kher t mwakinyo
 
Back
Top Bottom