Recent content by Mbwajira

  1. M

    ni muhimu kuwa na laptop kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza?

    Katika ulimwengu huu ni jambo la lazima kuwa na laptop, kozi yoyote ile utakayosoma ni lazima kuwa na komputer, materialS na tutorialS nyingi zipo kwenye net, ni matumaini yangu kuwa huitaji kuuliza mtu, afadhali usiwe na nguo nzuri, lakini vifaa vyako kwa ajili shule viwe vimetimia. NUNUA...
  2. M

    Usia wa Shekh Ponda kabla ya kutekwa na askari kanzu,pale MOI na kupelekwa Segerea

    Kundi gani linalotaka nchi isitawalike? si kila kitu kinaweza kutetewa na mtu mmoja hayo mengine wewe unaweza kutetea. Lini amesema kuwa anataka Tanzania iwe jamhuri ya kiislamu? Ni aibu kuita binadamu mwenzako ni nyoka na kulazimisha kuwa ni lazima apondwe / afe, unatoa hukumu ya kifo kwa...
  3. M

    Usia wa Shekh Ponda kabla ya kutekwa na askari kanzu,pale MOI na kupelekwa Segerea

    Salaam, Ni matumaini yangu kuwa akili yako si tukutuku, Sina imani kuwa umetumwa kutoa uharo kwenye jukwaa hili la wastaarabu. Naona unahoji kisheria kuwa je huyu kiongozi wa dini amepigwa risasi au la, wakati ulimwengu wote unafahamu hilo. kama wewe ni polisi waambie wenzako kuwa dunia...
  4. M

    PICHA: Mkutano wa Waislamu Mtwara wakipinga gesi isiende Dar es Salaam (leo)

    We mwoga kalele ujifunike gubigubi! ukiamka tutakuwa tumeshafanikisha kujenga mtambo wa kufua umeme, mtambo wa kusafisha gesi, na Dsm watapata gesi iliyo safishwa na siyo gafi!, wanamtwara watakuwa wameanza kupata matunda ya gesi. wewe nenda kitandani.
  5. M

    Maumbile na tabia ya mtu

    Salute to Sarkozy (Frech Pres.)!!!!!!
  6. M

    Wanangu wa K.I.L.I.M.A.N.J.A.R.O.....:Im going in!

    [we ...mimi sio kaka:nono: mimi ni mgonjwa sana wa avator yako, ninaganda kwa mda mrefu nikiidadavua!!
  7. M

    Alama ya Nyoka na Fimbo kwenye Noti ya Shilingi mia tano kulikoni?

    Ni ishara ya tiba, inatumika duniani kote, angalia hata baadh ya nembo ya mashirika ya UN, kuna nembo ya nyoka.
  8. M

    Lowassa: Wakimwaga mboga namwaga ugali

    dini wewe!, unasoma kama darasa la kwanza, onesha ukomavu wa akili!
  9. M

    Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

    Kweli jamani, shule za kata hazifai, hivi huyu ni mtu anaishi dunia gani, mbona unaharisha hadharani, huyo unayemuita baba wa taifa aliacha hadi kazi kule pugu. Unashangaa nini wewe, nitakutusi!!!
  10. M

    Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

    manufaa gani wewe, wakati mnatafuna pesa bila huruma, kwenda huko, hacha watu wanyooshe njia.
  11. M

    Maandamano ya CHADEMA Jijini Mwanza

    Unaweza chukua kamba ukajinyonga, haujalazimishwa kuishi na kushuudia umma unapodai haki zao. Kapeleke pesa ya dowans bank.
  12. M

    Maelezo ya Brig. Gen. Al-Adawi kuhusu Dowans Feb 20/02/2011

    sheshi la wananchi mko wapi, chukueni hii nchi angalao kwa miaka miwili, mtunyooshe kisha mturudishie utawala wetu, nchii inaangamia hii kwenye matumbo ya weviiii!!!!!!, jamani tafadhali nchi inakwisha hiii!! hawa jamaa hawana huruma, tafadhali mkuu wa majeshi fanya maamuzi magumu, chukueni...
  13. M

    Maelezo ya Brig. Gen. Al-Adawi kuhusu Dowans Feb 20/02/2011

    likenya hilo, huoni lafudhi yake!!
  14. M

    Uvumi wa kukamatwa kwa karatasi za kupigia kura Tunduma

    Kadi yako ya Chukua Chako Mapema umeshaifanyia lamination??!!
Back
Top Bottom