Recent content by MBUNIFUmdogo

  1. MBUNIFUmdogo

    Je, Serikali ya Tanzania itatoa maamuzi gani juu ya marufuku ya nguo za mitumba?

    HABARI, Imepita muda sasa tangu takriban nchi sita za Africa Mashiriki kuweka BAN importation of used clothes kutoka Marekani. Viwanda vya nguo zilizotumika nchini marekani wamelalamika kwamba kuwepo kwa BAN hiyo, imeathiri viwanda vyao. Kutoka Na hilo, Marekani imetoa tishio kwamba nchi hizo...
  2. MBUNIFUmdogo

    Civil procedure question

    Can we term it as res judicata?
  3. MBUNIFUmdogo

    Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

    B is a resident of kwetu district in the internet region. He got married to D in 2010.In may 2014 D brought divorce proceedings in kwao district in computer region. The district court dismissed the proceedings holding that there was no proof that the marriage had irreparably broken down. In...
  4. MBUNIFUmdogo

    Civil procedure question

    Tatizo lako ni kwamba unaona kila kitu kinachoandikwa kuhusu shuleni ni assignment. Ni swali nililopata kwenye past papers. Kwa hiyo, Kama huwezi kujibu acha.
  5. MBUNIFUmdogo

    Civil procedure question and practice

    B is a resident of kwetu district in the internet region. He got married to D in 2010.In may 2014 D brought divorce proceedings in kwao district in computer region. The district court dismissed the proceedings holding that there was no proof that the marriage had irreparably broken down. In...
  6. MBUNIFUmdogo

    Civil procedure question

    B is a resident of kwetu district in the internet region. He got married to D in 2010.In may 2014 D brought divorce proceedings in kwao district in computer region. The district court dismissed the proceedings holding that there was no proof that the marriage had irreparably broken down. In...
  7. MBUNIFUmdogo

    Msaada kuhusu confirmation code ya malipo ya application fee kwa M-pesa

    Habari, naomba msaada wanajf, Confirmation code kama ilivyoelezwa na NACTE ni lazima ianze na herufi, sasa payment ID yangu inaanza na namba, nifanyaje?nimejaribu kutuma hivyo hivyo imeshindikana..
  8. MBUNIFUmdogo

    Nataka nikasomee Sheria pale UDSM, naomba ushauri

    Habari wanajamvi, kwa kuanzia na point ni kwamba,nataka kwenda kusoma digrii ya sheria (law) pale UDSM. Vipi kuhusu soko lake?
  9. MBUNIFUmdogo

    Vyuo bora Tanzania kwa kozi mbalimbali

    Elewa list wewe,ninamaana hujaona SUA hapo,kwa ujumla SUA ipo.
  10. MBUNIFUmdogo

    Kwa comb ya EGM unaweza soma kozi gani nzuri wadau Ushauri

    Mimi ni kijana niliyemaliza kidato cha sita mwaka huu,na nikiwa katika utafiti wa course mbali mbali ambazo zikomarketable,niliona baadhi ya course na nimetokea kuzipenda sana.Naamini nimefanya vizuri sana kwenye mtihani wangu,sasa naomba ushauri kwani ninampango wa kujaza the following courses...
  11. MBUNIFUmdogo

    Mbinu za kutozungumza broken English

    Incorrect structure, its "don't do anything"
  12. MBUNIFUmdogo

    njia za kumfanya mwanaume/mwanamke akupende.

    Utaweza kufanya hivyo kwa kumfanya msichana akupende kwa dakika 15 kwa njia ya hypnosis kwa kutumia coaster rollers of emotions
  13. MBUNIFUmdogo

    njia za kumfanya mwanaume/mwanamke akupende.

    H apana mwanajamvi,whatsapp ni njia rahisi ya mimi kumfundisha mtu.na hata hivyo sio lazima iwe whatsapp hata njia ta kawaida inafaa..
  14. MBUNIFUmdogo

    njia za kumfanya mwanaume/mwanamke akupende.

    Habari wanajamvi,mimi ni kijana wa miaka 21 ninayesoma katika Chuo kikuu cha Dodoma.jambo ambalo limenileta hapa ni kwamba,kwanza kwa dunia ya sasa hivi nimeona kuna malalamiko makubwa ya MTU kupata mke/mume/mchumba hasa kwa watu wa Tanzania. Huo ni utangulizi wangu. Sitafundisha wazi,Namba...
  15. MBUNIFUmdogo

    Mshahara wa architect wa hapa Tanzania ni kiasi gani?

    D duuh ..hiyo inamaana ya 1M mkubwa??
Back
Top Bottom