Recent content by mbung'o muba

  1. M

    Mwenye diploma ya chemistry anahitajika.......

    mwenye degree hatakiwiiiiiiiiiiiiii?
  2. M

    Joshua Nassari MB.

    Watanzania si wapumbavu kiasi hichu, kumsikiliza mtu mmoja na kufanya maamuzi, na wala Mh. Nasari hana uwezo wowote kushindana na dora, wananchi wanasikiliza wanatafakari na mwisho wanafanya maamuzi. Serikali itambue hilo na polisi walijue hilo, hatutarajii kumsikiliza mtuu kwa jambo la kipuuuzi...
  3. M

    Mh. Mbassa (CHADEMA) ashinda kesi jimbo la Biharamulo Magharibi

    Wao wanapolisi sisi tunanguvu ya umma.................ahahhhha
  4. M

    Mh. Mbassa (CHADEMA) ashinda kesi jimbo la Biharamulo Magharibi

    Tanzania bila CCM inawezekana,Tumethubutu tumeweza na twazidi kusonga mbele! People's power........:disapointed:
  5. M

    Wingu zito chadema mbeleni

    :embarrassed: Kuna msafala mkubwa sana wa kenge ambao ndani mwake kuna mamba! tahadhari yangu kwa CHADEMA kufumba macho ni kuandaa kaburi, mwenyekiti kuwa tayari kuwapokea wanachama hao wageni wanaojivua magamba lakini uchunguzi wa kina ufanyike kabla hawajakabidhiwa madaraka. Nguvu ya umma...
  6. M

    Msaada wa kisheria tafadhali

    Nilikuwa katika safari zangu,kwenye daladala toka chuo kuelekea mjini ndipo gari ikazuiliwa getini na kuamriwa irudi chuoni kwamba amri imetolewa na uongozi wa chuo gari hilo lizuiliwe. Kufika utawala akatokea moja ya viongozi wakuu wa chuo na viongozi wandamizi , waka hoji kuna wanakijiji ndani...
  7. M

    Msaada wa kisheria tafadhali

    Nimesimamisha masomo ya chuo kikuu kwa kukamatwa na wenzangu tukiwa kwenye gari ambalo ndani yake kulikuwa na wenzetu wamevaa nguo na nembo za CHADEMA nakuambiwa wote ni wafuasi wa chama na kutupelekea adhabuhiyo toka chuo kikuu Dodoma (UDOM). Nahitaji kwenda Mahakamani, Je! nianzie wapi mimi si...
  8. M

    Mashangingi ya CHADEMA!!

    Sitaki kuwa shabiki wa chama chochote, ila ukweli usemwe, sera ya chama si sera ya mtu. Kila mtu ana interest za kwake, kwangu naona hamna hoja ya msingi zaidi ya maslai kwa umma.Ukiona au kusikia watu wakiongea kuwa kuna kosa usijue au usilielewe kosa basi we ni tatizo au chanzo cha hilo...
  9. M

    Godbless Lema avuliwa ubunge

    Hukumu itolewe na wananchi wenyewe na wala si mahakama, kura zirudiwe tujue mshindi nani? kwa kesi kama hizi mahakama ziangalie maslahi ya nchi, kodi zetu zinatumika visivyo,wananchi wanazurumiwa vya kutosha!
  10. M

    CCM wanaliweza hili?

    kijana mdogo busara nyingi na nguvu daima, mtenda kazi,fanyakazi ndo shukurani kwa wapiga kura wako na jimbo lako.
Back
Top Bottom