People's Power, CDM yaibwaga CCM tena huko BIHARAMULO, baada ya madai yote nane kukosa mshiko!
Kama habari hii ni ya kweli, basi Mungu wetu wa amani apewe sifa!!!!
Tiba
weka karai kabisaSource?
subirini ubungo mtakavyopigwa tiktak
subirini ubungo mtakavyopigwa tiktak
Good better best
Wakati wa kesi ya Sumbawanga asubuhi ulisema tusuburi Biharamulo itakula kwetu, ya Biharamulo imepita hata hiyo ya Ubungo nayo itafika na itapita.subirini ubungo mtakavyopigwa tiktak
shangilieni ila biharamuro na ubungo itakula kwenu.