Recent content by Mbuluma

  1. M

    Mimi ni nani? Siri ya 2085

    Nimepitia uzi huu tata nimepata brain attack
  2. M

    Mtoto wa miezi 10 hawezi kutambaa, je ni sawa?

    Kawaida sana mkuu wangu alichukua mwaka na miezi 3 lakini yuko poa ,
  3. M

    Natafuta mbegu za Mninga na Mpingo

    Pia mninga unaweza upanda kama muhogo ukachipua endapo hutopata mbegu
  4. M

    Ukoma wa Dodoma unavyoliathiri Taifa

    Ninaishi Dom zaidi ya miaka 9 kimsingi maisha yapo juu pesa ngumu nataka kulala mbele soon
  5. M

    Usilogwe ukaondoka nyumbani na kwenda usipopajua kwa kigezo cha kutafuta maisha

    Ni kweli mkuu huwa inakuwa hivyo lakini mwamba alihukumiwa ndani ya manispaa na jela ipo ndani ya manispaa angekuwa alihukumiwa nje ya mkoa aliofungwa angepewa nauli
  6. M

    Treni za Japan zinaweza kutembea kilomita 823 kwa dakika 10 tu

    Hata fighter jet haijafikia hapo
  7. M

    Naomba msaada kwa wenye kufahamu zaidi nahitaji kuagiza mzigo AliExpress

    Kimsingi hakuna changamoto yoyote mkuu weka sanduku la posta Namba zako za simu Majina yako sahihi yanayomatch na ID zako Kuhusu gharama za kupokelea utajuzwa pale pale na post office, huwa zipo dynamic kutokana na value mzingo ulioagiza. Mwisho wa siku utapigiwa simu au unaeza kwenda mwenyewe...
  8. M

    Nyaraka muhimu kwa Maombi ya Kazi; Barua, CV /Resume na Rejea

    3 Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Umeshawahi kumsikia nyoka aitwaye Kifutu?

    Puff Adder Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Umeshawahi kumsikia nyoka aitwaye Kifutu?

    Kwa kiingereza huitwa Puff Adder Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Umeshawahi kumsikia nyoka aitwaye Kifutu?

    Kumbe umenielewa blackberry Nyanda za juu kusini alimaarufu kama Moma Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom