Ni kweli mkuu huwa inakuwa hivyo lakini mwamba alihukumiwa ndani ya manispaa na jela ipo ndani ya manispaa angekuwa alihukumiwa nje ya mkoa aliofungwa angepewa nauli
Kimsingi hakuna changamoto yoyote mkuu weka sanduku la posta
Namba zako za simu
Majina yako sahihi yanayomatch na ID zako
Kuhusu gharama za kupokelea utajuzwa pale pale na post office, huwa zipo dynamic kutokana na value mzingo ulioagiza. Mwisho wa siku utapigiwa simu au unaeza kwenda mwenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.