Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

Amen, tumebarikiwa Mtumishi, Atukuzwe Mungu baba kwa njia ya Yesu Kristo kwa kutukomboa kwa Damu yake takatifu, ninashukuru sana kwa zawadi na Neema ya Wokovu, Rehema ya Yesu Kristo ni kubwa sana kwa sisi tunaoamini na Mimi Leo muda huu ninshuhudiwa na roho ndani yangu nimepokea Neema na Rehema kwa sababu nimekisogelea kiti cha Neema na Rehema kwa ujasiri na nimeongozwa kwenye madhabau hii na kujaliwa mahitaji yote ya Wokovu, atukuzwe Mungu Mkuu litukuzwe Jina lake Takatifu kwa njia ya Yesu Kristo na Damu yake Takatifu, nashukuru Mimi nina uhai na uzima tele kwa kujiunga na madhabau hii, Mwana ameniweka huru na nipo huru kweli kweli. Yesu ni Bwana na Mwokozi wa maisha yangu, naombea wote tunaoamini tupokee Neema hii Amen.
Mungu yu pamoja nasi.

Amina
 
AGANO LA KISHETANI LA UTAJIRI,MALI,CHEO,MVUTO(MAFANIKIO) KATIKA MAUTI ZA NAFSI NA ROHO ZA HAO WAUTAFUTAO UTAJIRI:

17.12.2023.

Bwana Yesu apewe sifa sana.Nimerudi tena kwenu kuwapasha habari za ufalme wa Mungu na siri za kuzimu ili mpate kuzijua na kuzishinda hila za shetani.

Ujumbe huu unakuja kwenu hasa watumishi wa Mungu aliye hai ili mpate mbinu au kama mnazo hizi basi mziboreshe kupitia hiki nitakachokisema hapa.

Siyo kwamba mimi ni msemaji wenu,siyo kwamba mimi ninajua kuliko nyinyi,au siyo kwamba mimi ninafundishwa peke yangu,la hasha! Msinifikirie vibaya,mimi ninasema kitu nilichoambiwa nikiseme.

Kwako kinaweza kisiwe na manufaa, ila kwa wengine ni msaada mkubwa sana,hivi kwanini mtumishi wa Mungu huduma yako haikui, kwanini watu wakucheke kwamba huduma yako ni ya kimasikini?

Yaani wachawi wachezee kwenye madhabahu yako na kuinajisi halafu wewe uhubiri watu wasipone ,bado uyakatae haya maarifa.?

Baada ya masomo haya ninakuomba mtumishi wa Mungu tusaidiane kuzivunja hizi madhabahu za miungu,wachawi,waganga wa kienyeji na washirikina wote wapate kubarikiwa na moto wa Mungu.

Yaani tuwabariki kwa moto,tuwabariki kwa upanga wa Mungu, tuwabarikie kwa damu ya Yesu viwachome hadi wateketee mpaka wafuasi wao waseme huu ni ubarikio wa namna gani.

Naam! Nasi tutawaambia huu ni ubarikio wa moto wa Mungu, damu ya Yesu,Jina la Yesu na upanga wa Mungu kuanzia 2024 mpaka Yesu anarudi kutunyakua.

Mizaha sasa imetosha juu ya kanisa la BWANA na kwa watu wa Mungu. Mtumishi wa Mungu bila kuwa na hasira ya kimungu huwezi kutoka kwenye hayo maagano yanayokukwamisha wala hautaweza kutoboza.

Omba kama kichaa, omba kama mwendawazimu, usiweke silaha chini mpaka uone maadui zako wamesalimu amri,huwezi kuvikwa taji kama hujapata ushindi. Ushindi wa kwanza ni hapa hapa duniani. Usimchekee shetani,usimuonee aibu shetani atakuiabisha ukweni kwako.

Ukali wenu nitauona kwenye matokeo ya shuhuda zenu.Mimi nimevipiga vita sana nikiwa nyikani, ninajua hiki ninachokiongea, hakuna miungu wala shetani itakayoweza kusimama mbele yangu na ikashinda, Kwasababu Yesu aliye ndani yangu ni mkuu kuliko wote,lazima nimtukuze mahali popote pale atakaponituma, ila ninaanzia hapa nyumbani kwanza.

MUNGU AWABARIKI SANA:
Mwili wa mwanadamu usiokuwa na uhai huitwa maiti. Ni maiti kwasababu umekutwa na umauti.

Umauti ni roho ya kifo ambayo humvaa mtu na kuondoka na uhai wake.Uhai huu ukiondolewa ndani ya nafsi ya mtu ndipo mtu huwa mfu, nafsi isiyokuwa na uhai wala utambuzi wa aina yotote ile.

Mwili hupelekwa na kuhifadhiwa katika nyumba yake ya milele iitwayo Kaburi.Na hapa ndipo neno la BWANA linapotimizwa kwamba umeumbwa kwa udongo, utarudi tena udongoni.

Hakuna mwanadamu awezaye kukishinda kifo isipokuwa Yesu peke yake na wale waliopata neema mbele za macho ya BWANA.

Hawa ni wale walioandikiwa haki mbele za kiti cha enzi cha Mungu Baba.

Hata shetani na mbinu zake zote hawezi kukishinda wala kukiepuka;kwasababu tangu kipindi kile alivyoasi, alishahukumiwa adhabu ya kifo katika lile ziwa likawalo moto.

Watenda dhambi wote hukumu yao ilishatoka, ambayo ni kifo cha umauti wa milele pamoja na shetani.Labda wale watakaopata neema ya kuisikia Injili ya Yesu,hao ndio watakaourithi Uzima wa Milele.

Waliokufa katika dhambi,wote ni mauti ya milele maana watatupwa katika lile ziwa liwakalo moto usiku na mchana pasipo kuzimika.

Pamoja na kwamba mtu anakufa mwili wake na roho yake kwenda sehemu nyingine.Lakini kuna watu wengine wanaandikiwa VIFO WAKINGALI HAI,WANATEMBEA HUKU ROHO WA UMAUTI AKIWA JUU YAO.

Hapa kinachosubiriwa ni muda ,saa na sababu itakayomsababishia umauti. Vifo vya namna hii haviji pasipo sababu maalumu.

Inaweza kuwa ni sababu ya uchawi, visasi, chuki,wivu,maagano ya kichawi yaliyofanywa huko nyuma na wazazi au mababu za hao watu.n.k.

Wengine ni laana inayotoka ndani ya ukoo wa huyo mtu.Huyu roho akishamvaa mtu hujikuta anaanza kujichukia, kukata tamaa na kukosa matumaini, hukosa raha na uchangamfu, hupenda kujitenga na watu,pia ni mtu wa kuwa na wasiwasi wakati wote.

Akimtazama mtu usoni huwa na aibu aibu huku akiangalia chini,huyu ni roho anakuwa anajua unamuona ila ni ngumu kung'amua katika mwilini, uso wa huyu mtu hukosa nuru na kuwa na mpauko usoni kama rangi ya maiti.

Huwezi kumshinda roho wa mauti isipokuwa kwa njia ya nguvu ya MSALABA WA BWANA YESU.

Yesu alivyosema pale msalabani "IMEKWISHA",Alikuwa anaitoa roho yake ili kwenda kuzimu alipo shetani kumnyang'anya funguo za uzima na mauti na kuisimamisha juu ya watu wake wote dunia nzima.

Yesu alikufa msalabani kwa ajili ya watu wote, watu wasidanganye eti alikufa kwa ajili ya Wakristo tu,siyo kweli yeyote anayeliamini Jina lake ni wake Yeye Kristo.

Pale ilikwisha nguvu,ilikosa uhalali wa kutuua kwasababu hati zote za mashtaka zilipigiliwa pale msalabani. Tulipewa uzima wa Milele mara tu baada ya kufufuka na kwenda(kupaa) juu mbinguni kwa Baba yetu.

Wanadamu wanapotea na kufa vifo ambavyo siyo vyao wala vifo vya haki kwasababu hawana maarifa ya Mungu, na kwa kuwa wamemkataa Yesu na kuamua kumfuata shetani.

Shetani amewadanganya na kuwapotosha macho yao ili wasipate kuona na kuijua kweli,neema na thamani ya nguvu ya msalaba iletayo ukombozi ndani ya mtu,badala yake wameyakumbatia mafundisho manyonge na madhaifu kwa kujipa matumaini kwamba mtu akifa ataombewa na kupata msamaha wa ondoleo la dhambi.

Wanasahau kwamba imeandikwa "bora wafu wafao katika BWANA maana hao watafufuliwa siku ya mwisho".

Maana yake ni watu waliokufa katika Kristo Yesu.

Hakuna siku ya mwisho nyingine, bali ni sasa,hizi ndizo nyakati za mwisho ambazo Bwana Yesu yuaja upesi kuja kulinyakua kanisa lake,ambapo kabla ya ujio wake atawaandaa watakatifu wake ili wapate kumpokea mawinguni.

Hata wale wafu waliokufa katika BWANA ambao maandiko yanawataja, watafufuliwa kwanza ili waungane na walio hai,waliolikiri Jina Langu.Hawa ni wateule Wangu na watakatifu WANGU, niliopendezwa nao.(JESUS SPEAKS HIMSELF THROUGH ME).

Wale waliolikataa Jina langu ,na wale walio vuguvugu;wale waniitao BWANA,BWANA.Lakini hapo hapo wanajihudhurisha kwa miungu ,hao sina haja nao.(Yesu anaongea saa hii).

Nitawakataa, nitawatema, hawataingia RAHANI Mwangu,maana hawa ni wafu wanaoishi. Hawajafa katika BWANA wala hawaishi katika maisha matakatifu. (Roho yake imeongea ndani yangu,kuweni makini watu wa Mungu).

Kumbuka Andiko "waache wafu wazikane. ".Hawa ni wafu maana hawana walijualo, linaloendelea katika UFALME WA MUNGU.

Hawajui saa wala dalili za kuja kwa Mwana wa Adamu.Akili zao na fahamu zao haziwazi yaliyo ya Mungu, bali hujitaabisha na mambo ya dunia na kujihudhurisha kwa shetani.

WANAZIKANA KWA NAMNA GANI?

Roho wa umauti anawasubiria ili aweze kuwavaa na kuwachukua maana hawana kinga wala zuio au kizuizi chochote. Yeye asiye na Yesu ana roho wa umauti anatembea naye,anasubiri apate chanzo na sababu ili amvae na kuondoka naye.

Kuna wengine wameandikiwa umauti au kifo na wazazi wao,ndugu zao, Rafiki zao,na jamaa zao KAMA KAFARA LA UTAJIRI NA MALI.

Shetani hupenda kujifananisha na Mungu. Jinsi Yesu alivyotolewa kafara kama ondoleo la dhambi ya Ulimwengu, ndivyo hivyo hivyo shetani apendavyo kupewa kafara ya damu ya mtu.

Kafara ya damu ya mtu ina thamani kubwa kuliko damu ya mnyama,Kwasababu ina uhusiano na damu ya Yesu.Damu ya Yesu ina uungu mkuu sana,hivyo wote walio na Yesu wana damu kama Yake.

Mtu wa Mungu nisome kwa umakini sana hapa.

Maandiko yanasema,Yesu alisema yeyote atakayeyafanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni,huyu ndiye ndugu yangu,na umbu langu,na mama yangu.Umbu kwa lugha nyingine ni dada.

Kwahiyo watu hawaitwi ndugu pasipo kuwa na vinasaba vya damu.

Unadhani kwanini sisi Watanzania huwa tunaitana kaka na dada? Maana tunachukuliana kama ndg wamoja. Kiroho sisi ni ndg sana,ndio maana utasikia ndg yetu,zetu Watanzania wamepatwa na shida fulani tuwasaidie.

Sasa twende kwa Yesu kwa mtiririko wa hapo juu.

Tumerithi ufalme wa Mungu kupitia imani ya baba yetu Ibrahimu,Yesu ni ukoo wa Yuda mtoto wa Yakobo,Yakobo ni mjukuu wa Ibrahimu.

Yesu anatokea katika shina la Daudi ,ambalo ni ukoo wa Yuda. Hivyo basi Yesu alikuwa na damu ya kibinadamu kamili kwasababu pia alizaliwa na mwanamke kama vile ambavyo watoto wote huzaliwa na mwanamke.

Kwahiyo kitendo cha Yesu kusema sisi tulio wake ni ndugu zake,maana yake katika imani tunakuwa katika ukoo mmoja na Baba yake ndiye Baba yetu pia. Glory to God, hallelujah!!!

Kwahiyo katika ulimwengu wa roho kinaumbika kitu kipya.Maana hata maandiko yanasema sisi tumefanyika viumbe vipya ndani ya Yesu.Tumebadilishwa kutoka ule utu wa kale na kuwa mpya ndani ya Kristo Yesu.

Tunafanyika kuwa watoto wa Mungu kwasababu tumebadilishwa na kuwa na sifa kama za Mungu wetu aliyetuumba. Kwahiyo kila kitu chetu ni kipya.

Damu yetu ni mpya kwasababu imetakaswa upya, imechujwa na kuwa safi na damu halisi.

Kwahiyo hii damu ndio ambayo shetani anaiwinda usiku na mchana ili aweze kuipata na kuichukua. Hii ina nguvu kuliko damu ya viumbe vyote.

Wanyama hawana damu safi,salama,na yenye thamani kama damu ya mtu;mtu aliyeokoka. Hii damu akiinywa shetani inampa nguvu na mafunuo kujua kitu gani kinaendelea katika ulimwengu wa roho wa NURUNI.

Yesu alisema Yeye ni nuru ya Ulimwengu.Kwahiyo katika vinasaba vya damu yake zipo chembe chembe ambazo zimebeba maono na mafunuo yenye taarifa sahihi za siri za mbingu.

Kwa kuwa Yesu anao ndugu zake ambao ni watoto wake,ambao ni watoto wa Mungu, basi hujikuta damu Yake iko sawa sawa na ndugu zake hawa,watu waliomkiri au waliokiri Jina Lake.

Lasivyo asingesema, sisi ni ndugu zake.Na ndugu zake wote ni wana wa Mungu walio ndani ya Yesu.Yesu ni ukoo wa watoto wote waliozaliwa mara ya pili kwa ajili ya Mungu.

Kwahiyo Yesu anawakilisha ukoo wa Mungu kwa watoto wa Mungu, akiwa Yeye ndiye mzaliwa wa kwanza. Ndio maana shetani anapenda kuwashikilia watoto wote waliozaliwa wakiwa wa kwanza,Kwasababu ni malango.

Ni malango kwasababu ni kielelezo cha Yesu Kristo. Kama alivyo Lango la baraka,uzima wa milele na mrithi wa viti vyote vya Enzi vya baba yetu.

Mtoto wa kwanza akiwa ni lango la laana,basi watoto wote watakaofuata watapata laana na mikosi.Labda tu kwa neema ya msalaba na damu iliyomwagika msalabani ipate kuwakomboa na kuwaweka huru.

Mtoto wa kwanza akiwa ni baraka ,halafu yuko upande wa Mungu ;Yaani yuko ndani ya Yesu.Shetani hupenda damu yake maana anajua atapata taarifa zote zilizomo kwake na kujua mpango wa Mungu ili aweze kumuibia na kisha kumakwamisha.

Kuna watoto wanaozaliwa na Nuru ya ulimwengu. Hawa tangu wakiwa tumboni mwa mama zao tayari Mungu alishawapaka mafuta.

Maandiko yanasema kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa;nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.

Angalia hapa Kumbe Mungu anawajua watoto wake. Shetani naye akishawajua anaanza utaratibu wa kuwashika. Hawezi kuwashika Wala kuwamiliki pasipokuwa na ridhaa ya wazazi,ndugu au jamaa zake.

Atakachokifanya ni kumshawishi mzazi kupitia kwa wachawi,waganga wa kienyeji, wazee wa mila na waaguzi waonao kwa kutumia mapepo ya utambuzi.

Kwamba wamtoe huyo mtoto madhabahuni kwao;kisha yeye watampatia nyota ya utajiri.

Hata kama ni cheo, au mafanikio mengine, lakini mafanikio yoyote huleta mali na vitu zikiwemo fedha. Hivi vitu vyote au wingi wa vitu mbalimbali, au wingi wa mali ni UTAJIRI.

Kwasababu ya tamaa ya mwanadamu ya kupenda pesa na utajiri hujikuta anamtoa au anawatoa watoto wake ili wawe kafara ya ngekewa yake.

Wapendwao kutolewa kafara huwa ni mabinti. Kwasababu hawa huwa ni rahisi kutoa damu zao kama sadaka kwa njia nyingi tofauti na watoto wa kiume ambao wao damu zao ni mpaka wapate ajali na vifo vyao.

Hawa watoto wa kike damu zao huanza kutoka pale wanapovunja ungo, damu ya ubikra, damu ya hedhi ya kila mwezi, damu ya wakati wa kujifungua, ajali n.k.

Kwahiyo wao wana damu nyingi na njia nyingi ya kutoa damu tofauti na wenzao wa kiume. Shetani anawapenda hawa wa kike kwa kuwa maungo yao ni rahisi kuwaingilia kwa kutumia tendo la ngono.

TENDO LA NGONO ni Agano rahisi kwa kuwa anakuwa anaziunganisha NAFSI za hawa watoto wa kike na mapepo yake,au waume wa kipepo.

Kwahiyo shetani anavyojua hawa watoto wana damu yenye uhusiano na Yesu ndipo hupenda kutumia Agano lenye nguvu na gumu kufunguka ambalo ni Agano la UMAUTI.

Hapa anamuapisha mzazi kwamba aseme binti yake/zake amewatoa moja kwa moja kwa mfalme mungu mkuu wa dunia (shetani) ili awe mume wao milele na milele na asikae akakiuka ndoa hii halali.
Wanaambatanisha kwamba kilichofungwa na Mungu mwanadamu asikifungue/asikitenganishe. (Wanaomba kinyume).

Akitaka kuivunja madhara yampate ikiwemo KIFO, kama jinsi mkataba ulivyoandikwa na cheti cha ndoa kilivyoandikwa ya kwamba binti yangu/zangu fulani na fulani nimewaozesha kwa mungu mkuu ambaye mume wenu atakuwa mume aitwaye PEPO MAUTI AU JINI MAITI.

Kwa kujua thamani ya maji yaliyomwagika msalabani. Wanatumia maji waliyooshea maiti, tena maiti iliyooza,kisha wanamnyesha huyu mtoto au watoto kwamba hii ni nadhiri na yamini kwamba sasa maji haya ya maiti yanakuunganisha na mume wako/wenu pepo maiti.

Hawataishia hapo tu,bali watamuosha au kuwaosha hawa watoto kwa kutumia hayo hayo maji waliyooshea maiti ili wamtakase katika ulimwengu wa giza kwa ajili ya kuolewa na huyo jini maiti.

Mambo yote haya yanafanyika kwa ajili ya kuua utu wa ndani,kuharibu nguvu za asili za ile damu ya Yesu ili anavyozidi kukua na kuongezeka na kupata maarifa asije akawasumbua.

Hapa ndipo KARAMA,VIPAWA,NDOTO NA NYOTA za watoto wa Mungu huanza kupotea, huandamwa na mikosi,nuksi kwa kila anachokifanya huwa hakifanikiwi.

Kwasababu yale maji yaliyooshea maiti iliyooza ndio hutumika kuleta roho za kuzaa mapooza na kumharibia maisha yake yote.

Mungu naye hayuko mbali huanza kumtafuta huyu mtoto/watoto wake.Hapa vita huibuka. Yeye anamtaka, na shetani hataki kumtoa, anadai alikabidhiwa na mzazi au wazazi wake.

Anatoa vifungu vyote vya mikataba,viapo na maagano waliyokubaliana na wazazi wake.

Mungu anaona isiwe taabu anaanza kumpa maarifa ya kutoka kwenye hivyo vifungo.

Njia rahisi, si nyingine bali damu ya Yesu. Kadri anavyozidi kutumia damu ya Yesu ndivyo yale maagano yaliyofanywa yanavyozidi kutoweka.Kwasababu ile damu ya huyu binti inazidi kuwa na nguvu kuzidi maagano yao yaliyofanyika au ambayo yalikuwa yakifanyika kwa kuchinja mnyama wa kafara.

Shetani anasema nilitumia maji ya maiti iliyooza, kwahiyo huyu atatakasika vipi?

Mungu ana maarifa zaidi ya shetani, Mungu anasema tumia maji yaliyomwagika msalabani kujiosha na kujtakasa.

Hapa ndipo nira huanza kukatika na kulegea hadi kuisha. Na zile nafsi za watu wote waliokuwa wamejiunganisha hapo kwenye hilo agano la utajiri ukatika pia.

Hapa itategemea waliapa viapo gani,kama ni viapo vya vifo, basi nafsi zao hukatika na mauti huwafikia Maana wao hawana damu iliyo safi na takatifu kama ya hawa waliokombolewa.

Kwahiyo huwa ni nafsi zao kupotea, sadaka zao ni damu yao.Shetani hapa hana msamaha;lazima uondoke maana anasema ulizipenda mali zangu kwahiyo huna budi kufa.

Vifo vya namna hii huwa havizuiliki maana huwa ni vya ghafla sana kwasababu vinasababishwa na huyo jini mauti au pepo mauti anayekuwa ni mauti katika mwili ila roho yake inafanya kazi kwa usaidizi wa mapepo mengine.

Turudi nyuma kidogo.

Na wanasema jinsi maiti alivyo wa baridi na mwili wa huyu binti uwe wa baridi,maisha yake yawe ya baridi ,asikae akawa na moto kwa kila akifanyacho.

Shetani hatendi kazi nje ya laana. Ni lazima kwanza aue vitu vya kiroho vilivyomo ndani ya mtu halafu apandikize roho nyingine ambazo ziko kinyume na mpango wa Mungu.

Kazi ya shetani na sifa kuu ya shetani ni kuiba, kuua na uongo.Anadanganya kwa kutenda kinyume na matarajio ya mwanadamu kisha anaua mpango wa Mungu ambao uko juu ya huyo mtu.

Mali za shetani hazidumu,utajiri wa shetani una mwisho wake.Lakini utajiri wa Mungu hauna mwisho wala ukomo;maana Yeye ndiye chanzo cha utajiri na mali.Shetani hana mali ispokuwa azipate kwa kuiba vitu walivyonavyo watoto wa Mungu.

KUNA WATU WANAFANYA VIAPO VYA KAFARA ZA NAFSI NA ROHO ZAO KWA AJILI YA MALI,UTAJIRI,MVUTO NA UMAARUFU.

Mtoto wa Mungu Kumbuka kule juu kichwa cha somo kilisemaje.Hapa ndipo tunakuja kwenye kiini cha somo.Kule nilikuwa ninawapitisha kwenye msingi wa haya maagano.

Wanafanya viapo hivi au vya namna hii kwa kujitoa wao kafara ili kwamba siku ikitokea mtu aliyekuwa ametolewa kafara akafunguka na kuyavunja maagano waliyokubaliana;basi wao ndio watumike kama mbadala wake.

Yaani zile nafsi za roho za watu wengine au ndugu,na jamaa zao walizokuwa wamezitoa kama sadaka za kafara kwa shetani,siku zikikombolewa kwa nguvu ya msalaba wa BWANA YESU basi wao hawana budi kutumikia kile kiapo chao cha awali.

Hapa ndipo watu hawa hujikuta wanadaiwa hizo mali,mvuto,utajiri,UMAARUFU, na cheo,na kwa kuwa walishaapa kwamba wao ndio watakuwa mbadala wake,hawawezi tena kupewa nafasi ya kuwatoa wengine.

Huwa wanaapa kwamba siku mtu huyu/hawa wakifunguka katika Kristo, basi mimi sina budi kuwa kafara kama mbadala wake.

Huwa wanajiaminisha na kuwa na ujasiri wa kufanya hivyo kwa vile wanajua vifungo walivyoviweka juu ya huyo mtu,havitawahi kuondolewa kamwe.

Lakini ashukuriwe Mungu aonaye sirini na kutujulisha mambo ya gizani. Jinsi anavyowapenda watu wake hata akaamua kumtoa mwanaye wa pekee ili awe KAFARA kwa ajili ya watu wake.

Naye si mwingine bali ni Yesu Kristo aliye hai.Yeye alivyokufa msalabani ilikuwa ni kafara ya ukombozi kwa wanadamu wote wa ulimwengu, ambao watahitaji msaada wake.

Hii kafara yake ndio inayoua nguvu za wale watu wote waliowatoa kafara ya viapo vya nafsi na roho ndugu zao au watoto wao au jamaa zao.

Kwa kuwa wao walitolewa kafara ya nafsi na roho kwa ajili ya utajiri,mali,na mvuto au cheo na umaarufu, hapa pia ukombozi wake unafanyika kwa njia ya Ukombozi wa kuuzwa nafsi yangu/zetu kwa shetani na baba,mama,kaka,mjomba,dada,bib na babu kwa kutumia kafara ya Yesu pale msalabani.

Hii ni lazima iandane na kanuni waliyoitumia kama ni kiapo, kivunjwe kwa kiapo.Kama ni sadaka ivunjwe kwa sadaka ,kama ni kafara ivunjwe kwa kafara katika ulimwengu wa Nuru,maana yote ya kwao yalifanyika katika ulimwengu wa giza.

TUSOME AYUBU 2:4
Shetani akamjibu BWANA,na kusema ,Ngozi kwa Ngozi,naam, yote aliyonayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.

Kwahiyo shetani anavyokupa mali anategemea au anakupa kiapo cha kujitoa uhai iwapo kama utashindwa kukitunza kiapo chako na makubaliano yenu.

Ndio maana nikasema ni kiapo cha nafsi na roho kama kafara kwa ajili ya utajiri na mali,viapo vyako vinavyokuwa vikubwa, ndivyo na maagano yako yanavyozidi kuwa makubwa zaidi.

Maagano yako yanavyokuwa makubwa zaidi ndivyo na sadaka zako za kafara zinavyozidi kuwa nyingi na kubwa zaidi. Mtu haapi kwa shetani pasipo hakikisho la jambo analotaka kulifanya. Lazima kuwepo na kusudi au lengo.

Watu hawaendi kwenye ibada au maombi pasipo kusudi ndani ya mioyo yao;lazima wawe na dhamira iliyo ndani ya mioyo yao ambayo inawapelekea kwenda ibadani na kutaka maombi.

Dhamira hiyo ndio kusudi.Sasa tunaposema mtu anajitoa nafsi na roho kwa ajili ya utajiri,mali,mvuto,umaarufu, cheo au hata uchawi na uganga mkuu, ndio huo uhai anausema AYUBU.

KWANINI NI UHAI KWA AJILI YA UTAJIRI?
Kwasababu,nafsi inatunza roho,na roho ndio uhai wenyewe.Na mahali nafsi ya mtu ilipo ndipo mali yake ipo hapo.

Kwahiyo hawa watu wanatunza viapo vyao vya mali kwa kuzitoa au kuziweka nafsi na roho zao rehani ili mali zao zisiweze kupotea. Ili pia mtu waliyemuibia asiweze kuzidai.

Na ikitokea akaanza kuzidai basi umauti umkute;maana yeye alitolewa kama kafara kwa ajili ya mali za yule aliyeapa viapo vya nafsi na roho kwa ajili ya mali.

Ikitokea huyu aliyetolewa akawazidi nguvu na kuzichukua mali zake; ndipo ule usemi wa shetani unajidhihirisha,kwamba Ngozi kwa Ngozi na yote uliyonayo utayatoa kwa ajili ya uhai wako.

Lazima ajitoe yeye uhai wake,kwasababu hana mali tena,hana mtu tena wa kumtoa kafara maana si kila mtu unaweza kumtoa kafara, wengine damu zao ni chafu shetani hazihitaji.

Kwahiyo hapa inabidi wewe ndiye ufe kama mbadala wake.Tena mbaya zaidi yule aliyezikomboa yuko ndani ya Kristo;wanakuwa wanaona hakuna uwezekano tena wa kuzipata, maana nguvu zake hawaziwezi.

Shetani anamwambia uliapa kwamba utalizilinda, kwamba huyu uliyemtoa kafara hataweza kukuzidi nguvu,na uliapa hautanipa mwingine maana hakuna aliyekuwa na damu ya utakatifu kama huyu.

Sasa si mali zangu,si sadaka yako ya kafara, vyote vimeondoka, sasa ninauhitaji uhai wako mikononi mwangu,maana uliapa na kusaini HATI YA KIFO.Hivyo huna ujanja tena wa kutoka katika kiapo hiki

Hapa mtu hawezi kuchomoka tena.Hana jinsi tena ya kukwepa. Ndipo hujikuta mtu amekauka hapo hapo pasipo mjadala. Watu wanaapa hivi viapo pasipo kujua madhara yake huko mbeleni.
......................................................................

OMBA NAMI KWA IMANI SALA HII:

Sasa ikiwa wewe ni mtoto wa Mungu uko ndani ya Yesu na unahitaji kujikomboa kutoka huko,ni vizuri na wewe kwenda na sheria,kanuni na utaratibu wao.

Wao wanafanyia gizani,wewe jiombee au fanyia nuruni.

Na wewe sema Ngozi kwa Ngozi katika kuchukua nyota yangu,mali zangu,utajiri wangu,pesa zangu,cheo changu kwa kubatilisha sadaka ya kafara ya mwili wangu kwa sadaka ya kafara ya mwili wa Yesu uliokufa msalabani.

Ngozi kwa Ngozi kuchukua nafsi yangu, roho yangu na uhai wangu kudai mali zangu na vitu vyangu vyote vilivyokuwa vimetolewa kama sadaka ya uhai,kubatilisha viapo vyao vya uhai wangu kwa kutumia uhai wa Yesu Kristo uliotolewa kama kafara ya ulimwengu pale msalabani.

Sema tena,Ngozi kwa Ngozi,kudai mali zangu ambazo ni uhai wangu uliomo katika damu yangu uliotolewa sadaka ya uhai wa damu yangu kwa shetani ,nabatilisha viapo vya hao Watu kwa kutumia sadaka ya kafara ya uhai uliomo katika damu ya Yesu.

Hii itakusaidia kuua kila chembe chembe za mawasiliano ambazo shetani alizipandikiza katika damu yako ili aweze kujua baraka zako zinazoingia ndani yako ambazo Mungu amezirejesha kwako.

Sina muda wa kutosha kufafanua sana ila twende na mtiririko huu.

Sema tena,Ngozi kwa Ngozi kwa ajili ya kubatilisha viapo vya nafsi vilivyoapwa juu yangu ili maji yaliyomo mwilini mwangu yatumike kama maji ya uzima kwa ajili ya shetani; sasa ninayabatilisha kwa kafara ya maji ya Yesu yaliyomwagika msalabani ili yanirejeshee uzima wangu maeneo yote.

Endelea kusema, Ngozi kwa Ngozi, wale wote waliodhani kwamba nitakufa siku ya kuzidai mali zangu kwa wao kujiapisha viapo vya nafsi,sasa sitakufa maana BwanaYesu alikishinda kifo kwa kafara ya msalabani,wao ndio watakufa na kuniachia baraka zangu zote.

Bwana Yesu alikishinda kifo kwa ajili yangu au yetu kwa kujitoa kafara pale msalabani, hivyo hamna mamlaka yoyote kuendelea kutushikilia katika viapo vya kafara za nafsi na roho kwa ajili ya mali na utajiri.

Ngozi kwa Ngozi: Viapo vyote vilivyoapwa kwa ajili yangu au yetu juu ya kuibiwa baraka za ku-renew au kurejesha mikataba ya kila mwisho wa mwaka ,sasa visiapwe tena kwasababu baraka zangu zinalindwa ndani ya kiapo cha damu ya Yesu iliyotolewa kafara pale msalabani.

Ngozi kwa Ngozi kwa wale wote walioapa viapo vya nafsi ili miungu izuilie baraka zetu zisiturudie, sasa miungu yote haina nguvu tena ,kwasababu kimiminika cha damu ya Yesu mara 12 iliyomwagika msalabani ninakimimina juu ya miungu 12 na miungu yote inayozuia baraka zetu iungue hadi iachie baraka zetu zote na ziturudie.

Ngozi kwa Ngozi, vile viapo vyote vilivyofanywa na wazazi ,ndugu ,jamaa na marafiki juu yetu wakaapa kwamba hata kama watakufa ,basi viapo vyao vife katika uhai wa kuendelea kutumika.

Ya kwamba hata siku moja tusikae tukazirejesha baraka zetu kama jinsi ile miili iliyofanya viapo hivyo haiwezi kurejewa na uhai tena.Ngozi kwa Ngozi kama ambavyo Yesu alirejewa na uhai katika mwili wake ,na sisi tunazirejesha baraka zetu ambazo ziko katika miili yote ambayo ni marehemu iliyokufa katika viapo vya nafsi na roho zao.

Ngozi kwa Ngozi. Vile viapo mlivyoviapa kwamba mwezi huu wa 12 hatutauvuka na kuuona mwaka mpya, tayari tumeshavuka kwa kafara ya matone 12 ya damu ya Yesu aliyekafarishwa pale msalabani.Amen.
.............................................................
Mpenzi msomaji mtoto wa Mungu hapo lazima uwe katika roho uombe haya maombi kwa imani ili uweze kutoka katika vifungo hivi vya nguvu za giza na makafara yaliyofanyika juu yako.

Ninawatahadharisha haya maombi siyo ya kitoto wala masihara yeyote aliyekuwa amememfanyia ndugu yake maagano ya namna hii, maombi haya ni upanga wa Mungu, sijui utakataje lakini habari mtaipata.

Kipindi hiki siyo cha mzaha na mimi huduma yangu ni ya kuvunja madhabahu na maagano, kwahiyo sina maombi ya rehema kwa waovu, upanga kwa upanga na jino kwa jino.

Naachiliaa moto wa Yesu kwa kila mchawi na mganga wa kienyeji na yeyote aliye na mpango wa kunitumia roho za mauti zimrudie yeye na wote waliojipanga kuwa kinyume nami.

Nawazingira wote wanisomao kwa nia ya kupata maarifa kutoka kwa Mungu uliye juu uwakinge na roho za visasi kutoka katika madhabahu za miungu yao ambazo kuanzia sasa wanaanza kuzipiga na kuzivunja katika Jina la Yesu Kristo aliye hai.

Mtoto wa Mungu ikiwa una sadaka itoe kwa imani na Mungu atakujibu katika maombi yako. Sindikiza maombi yako kwa njia ya kutoa sadaka.

Ahsante Bwana Yesu kwa ajili ya hizi roho ambazo nimezikomboa kwa mamlaka ya Jina lako,nazikukabidhi uzitunze na kuzilinda isipotee hata roho moja mpaka siku ile unarudi uikute iko kundini na uweze kuinyakua na kwenda nayo juu mbinguni kwa Baba,Amen.

MUNGU AWABARIKI SANA WATOTO WA MUNGU.

Tumekombolewa katika Yeye atutiaye Nguvu, Amina mtumishi wa Mungu, tumelipokea somo kwa Roho
 
Ok,nimekupata mkuu,hilo ni zoezi la kutenga nafsi,mwili na roho na kuelekeza nguvu nyingi kwenye roho ili kuipa nguvu ya kufanya marekebisho kwenye nafsi na mwili.Nayo inafanya kazi ila usipokuwa makini roho inaweza kujitenga moja kwa moja.Asante kwa elimu na kama unaweza kuelezea zaidi itakuwa vizuri.
Mkuu unamaanisha astral projections
 
asante mwalimu,nakaa musoma
Sawa,tulia kwanza huku ukiendelea na huo utaratibu wa kusali kwa njia ya redio na television, soma sana neno la Mungu. Jiwekee utaratibu wa kusoma Biblia kuanzia kitabu cha Mwanzo mpaka Ufunuo ili uweze kupata maarifa mengi na kuwa na maadiko ya kutosha.

Usijitaabishe kuyakariri mpaka yakuumize, kama una neema ya kukariri mistari ya Biblia, sawa,ila kama huwezi siyo dhambi,siku ukiwa mzoefu wa kuomba utashangaa mistari inashuka yenyewe.

Ninasisitiza jifunzeni kusoma Biblia kwa mtiririko pasipo kuruka mstari hata mmoja wa Biblia, kwahiyo hii inakupa mtazamo mpana kumuhusu Mungu na ufalme wa Mungu.

Ninasikitika sana,kuna watumishi wa Mungu ambao hawajawahi kusoma Biblia kuanzia Mwanzo mpaka Ufunuo. Wanajiita eti ni watumishi wa Mungu wakati hawana neno la kutosha.

Wengine hawajui historia ya nchi ya Israel,hawajui imeanza lini,nini sababu ya ile nchi kuwepo,ni kwanini iitwe nchi Takatifu, hawajui chochote, na unawakuta wanasema kwamba haya maandiko hayapo au kwenye Biblia haijaandikwa mahali popote, huu ni ufinyu na upeo mdogo wa kutokuyajua maadiko kwasababu ya uvivu wa kutokuyasoma maandiko.

Kuna watumishi wengine wanasema hawaaamini mambo ya nyota na uchawi. Mungu awasaidie sana watu wa Mungu, kama huamini uchawi, utamshindaje shetani?

Kwahiyo mtu wa Mungu, wewe endelea na maombi yako kama kawaida huku ukiwa unafanya utafiti kimya kimya ukimuomba Roho Mtakatifu akupatie kanisa la kiroho ambalo litakusaidia kuukulia wokovu wako.

Siku ukipata amani nenda kasali,jitambulishe kwa wachungaji na viongozi wa hapo ili wakujue na uweze kupata msaada wa kiroho pindi utakapouhitaji.

NASISITIZA TENA,someni maandiko ,soma Biblia yote, ili uweze kupata maarifa ya Mungu, mistari ya kuandikiwa haiwezi kuishibisha nafsi yako kama ambavyo ungejiwekea utaratibu wa kujisomea mwenyewe, ukimaliza kuisoma irudie tena ,tena,na tena mpaka ujisikie umetosheka, maana mpaka hapo utakuwa umeshapanda kiwango chako cha kiroho.

Kwa ndugu zangu Waislamu someni Quran yenu yote, kisha someni na Biblia huku mkisema Roho Mtakatifu naomba unisaidie kunipa hekima iliyo katika kitabu hiki cha Biblia, ninataka kujua haya anayoyasema mtumishi wako ni kweli yameandikwa katika Biblia na Quran?

Halafu baada ya hapo nyinyi wenyewe mtapima, mtafiti yeyote anayehitaji kuujua ukweli huwa hatumii mahaba kutafuta ukweli, kwahiyo nyinyi msiingie kutafuta udhaifu wa Biblia wala udhaifu wa Quran,bali UKWELI KUHUSU HUYU YESU,BASI.

Halafu anzeni kuyafanyia kazi,ombeni katika Biblia,na katika Quran muone ni Mungu yupi atakayejibu. Na msitafute nguvu nje ya maandiko kwa ajili ya kujibiwa maombi yenu,jikiteni kwenye hivi vitabu vyote viwili.

USHUHUDA WANGU:

Mimi nilianza kusoma Biblia nikiwa darasa la pili, kitabu changu cha kusoma kilikuwa Injili ya Luka, niliipenda sana hii Injili maana ilinijengea picha ambayo mpaka leo huwa haitoki kichwani mwangu.

Siku moja usiku tumemaliza kula tunajiandaa kulala,ila nikakumbuka sijasoma Biblia maana mchana yake nilikuwa nimesoma mahali ambapo nilikuta Yesu alikufa na kufufuka, halafu akapaa kwenda Mbinguni, hiyo sehemu ilinisisimua sana.

Ilinisisimua kwasababu gani,kulikuwa na ubishi na vijana wenzangu wa Kiislamu kwamba Yesu hakufa na wala hakuna mahali walipoandika alipaa kwenda Mbinguni, nami nikajua ndio hivyo ilivyo, wao waliambiwa hivyo huko Madrasa.

Sasa nilivyosoma pale mchana nikasema wahii, kumbe haiko hivyo,sasa nikawaambia ndugu zangu msilale ngojeni niwasomee mahali ambapo Yesu alikufa kisha akafufuka na kupaa mbinguni, wote wakapigwa na butwaa, kweliii!!

Lakini mbona taa inazima? Tutaweza kweli kupasoma na kuimaliza hiyo stori? Nikasema nitasoma haraka haraka ili tuimalize.

Nilivyoanza kusoma tu,mwanga ukaongezeka na kuwa mkubwa, nikasoma karibu Luka yote, na nikawasomea sehemu nyingine zaidi mpaka wakachoka, japo hiyo story iliwafurahisha sana maana nao walikuwa wakijua hivyo hivyo kama mimi.

Tulivyomaliza tukaanza kufanya majadiliano, baadaye nikakumbuka hivi hii taa si ilikuwa inazima hapo mwanzo wakati tunataka kulala? Wote wakasema tena kwelii!

Sekunde 5 nyingi,ikazima hapo hapo,wakabaki haaaa! Kwa mshangao. Kipindi hicho mji wetu haukuwa na umeme wa TANESCO.Hiki kitendo ndio kilianza kuniwashia taa ya kijani kwamba huyu Yesu ni zaidi ya alivyoandikwa.

Ndugu zangu walikuwa wakilala wanakabwa usiku, wanasikia watu wakitembea juu ya bati ila mimi sikuwa nikisumbuliwa na kitu chochote. Imani ikawa kubwa,baadaye kutokana na ujana, kukosa muongozo nikajikuta ninakuwa mbali na maandiko, ila muda ulivyofika tena Mungu akanikumbuka, akaniambia tangu uko tumboni mwa mama yako nilikujua na kukupaka mafuta ya utumishi ndio maana nilikuwa ninakugombania na shetani hata ukawa unarusha ngumi na mateke ukamtia uchungu sana mama yako kipindi cha ujauzito wako.

Mpaka mama yangu anafariki hakuwahi kujua kwanini aliumwa uchungu sana kwenye ujauzito wangu,niliwahi kumsikia akiwasimulia wenzake kipindi hicho niko mdogo,sasa hii story ninakuja kuijua nikiwa mtu mzima,wakati mama yangu alishafariki. Labda ningemwambia angefurahi au angemgombeza Mungu kwanini alimtia uchungu kiasi hicho,au angelia tena,sijui kwakweli.Kila kitu kina sababu.

Sasa ni vijana wangapi, na Wakristo wangapi ambao hawajui chochote kuhusiana na Biblia? Siyo kwamba wanazuiliwa, la hasha! Bali hawajasisitizwa kusoma Biblia, wanavyosomewa kanisani, kwenye semina,jumuia, basi huyo akisharudi nyumbani anaitupa hapo chini,siku ya ibada ndio anaikumbuka unaikuta imejaa vumbi.

Siku akikutana na mtu mjanja akayapindisha maandiko naye anaamini,kwasababu hana msingi mzuri wa maandiko. Hayajui maandiko kabisa,na mbaya zaidi hata watumishi wanaowaongoza nao hawayajui, ni wa wavivu wa kuyasoma, wako busy na mambo ambayo hayana maana yoyote ile.

Hawa ndio wanaoleta uposhaji una ubabahishaji wa Injili,wanawapoteza watu wa Mungu kwasababu ya kutokuyajua maandiko.Hawana muda wao binafsi wa kukaa chini na kumuomba Roho Mtakatifu awasaidie kuwafundisha kulijua neno la Mungu, kila saa mafundisho yao huyu ni mtumishi wa uongo,msimfuate, utadhani wao ni Majaji wa Roho Mtakatifu.

HUWEZI KUMJUA MUNGU KAMA HUSOMI BIBLIA,HUWEZI KUWA NA ROHO MTAKATIFU KAMA HUSOMI BIBLIA NA KUOMBA.

MAOMBI ndio njia ya kwanza kuongea na Mungu.Kabla hujaijua sauti yake ni lazima ufanye maombi ya muda mrefu ili Roho Mtakatifu ajae ndani yako kwa wingi halafu aanze kukufundisha njia za kumjua Mungu.

Samahani ndugu yangu uliuliza swali nikajikuta nimepata somo hapo hapo,usije ukadhani nimekushambulia kwenye swali lako. Hapana! Nilikuwa ninafikisha ujumbe kwa wote.

NDGU ZANGU SOMENI MAANDIKO.

MUNGU AWABARIKI SANA.AMEN.
 
Amen, tumebarikiwa Mtumishi, Atukuzwe Mungu baba kwa njia ya Yesu Kristo kwa kutukomboa kwa Damu yake takatifu, ninashukuru sana kwa zawadi na Neema ya Wokovu, Rehema ya Yesu Kristo ni kubwa sana kwa sisi tunaoamini na Mimi Leo muda huu ninshuhudiwa na roho ndani yangu nimepokea Neema na Rehema kwa sababu nimekisogelea kiti cha Neema na Rehema kwa ujasiri na nimeongozwa kwenye madhabau hii na kujaliwa mahitaji yote ya Wokovu, atukuzwe Mungu Mkuu litukuzwe Jina lake Takatifu kwa njia ya Yesu Kristo na Damu yake Takatifu, nashukuru Mimi nina uhai na uzima tele kwa kujiunga na madhabau hii, Mwana ameniweka huru na nipo huru kweli kweli. Yesu ni Bwana na Mwokozi wa maisha yangu, naombea wote tunaoamini tupokee Neema hii Amen.
Mungu yu pamoja nasi.
Amen.Ubarikiwe sana mtu wa Mungu kwa haya unayoyashuhudia maana ni ukamilifu na utimilifu kwamba Injili imehubiriwa na imepokelewa kwa ushuhuda wa Neno la Mungu katika madhabahu hii.

Mungu azidi kuwabariki na kuwapigania nyote mlioopa hapa katika hii madhabahu, na wengine wote mnaotusoma kupitia nje ya Jamii Forums kuhusu neno la Mungu linalofundishwa mahali hapa.

Nawashukuru na kuwaombea wote mnaokuja kwenye pm yangu na kunitia moyo kwamba mnabarikiwa sana na Neno hili tunalolifundisha mahali hapa.

Hata msiocomment Mungu awabariki na akajibu maombi yenu,mana ninajua tuko pamoja katika sala na sadaka zenu mnazotoa. Mahali mnapotoa msipungukiwe, mjazwe tena mpaka kipimo cha kusuka suka.

Aliye mgonjwa akapate afya sasa mchana huu,mwenye kuhitaji mtoto tumbo lake likafunguliwe mchana huu, mwenye shida ya nyumba kiwanja, shamba,mifugo, biashara n.k,Mungu amtendee kama alivyonitendea mimi.

Siyo kwasababu ninavyo, au kwasbabu mimi ni tajiri, la hasha! Ni kwasababu ninavyo vichache vya kunifaa mahitaji yangu.Pia moyo wangu umeridhika na jinsi Mungu anavyonibariki,na atakavyo nibariki, kwahiyo ninaishi katika kubarikiwa kwa imani.

Vyote ni katika yote kwa imani,siku ya BWANA vitakuja,sitaacha kuingoja hiyo siku ya BWANA,uwape watu wako subira kama ulivyonipa tukiwa wote nyikani zaidi ya 10,mpaka leo hii ninavyoyaongea hapa ndio mahali pangu pa kwanza uliponituma.

Ikiwa hapa ndipo mzaliwa wangu wa kwanza katika kuyafundisha haya kwa mafunzo ya miaka ya zaidi ya 10 kule Nyikani,sasa ninakuomba Mungu wote nilionao hapa,wanisomao nje ya hapa,wajao baadaye kunisoma,wote uwabariki katika zile baraka za mzaliwa wa kwanza, ili huduma hii iende hatua nyingine ya kiroho baada ya watu wa hapa kuwa wamebarikiwa na kushiba neno lako kwa njia ya kiroho na kimwili.

Uwatunze wasipotee, wazidi kukua na kuongezeka katika Kimo na kiroho kama ambavyo wewe Bwana Yesu ulivyokuzwa na Mungu Baba yetu wa Mbinguni.

Ahsante Bwana Yesu kwa nafasi hii juu ya watu wako ninajua utawabariki na kuwakuza, maana kama wasipobarikiwa hapa hapa nilipoanzia, huko Arusha niendako ninaenda kufanya nini BWANA? Maana nako nitapeleka Injili isiyowabariki watu.

Lakini yale yote uliyoniambia kwamba yatakwenda kutokea Arusha, yote utakayoyatenda kwenye mji huu, na Kaskazini yote,basi ninakuomba ehee BWANA kwakuwa ni Mungu wa kutunza ahadi yako,Neno lako,uaminifu kwa watumishi wako,kuwakuza ili nawe utukuzwe ndani yao,ninaamini katika Kristo yote yamekuwa kuanzia sasa,moto utawaka kweli kweli na utawala na kuwateketeza waovu wote.

Ninakushukuru maana hujawahi kuniambia Neno liseme hadharani halafu usilitende, labda kwa wale ambao huwa wanatubu na kuacha uovu ndio huweza kuiona neema na rehema zako.

Ninakuomba uibariki nchi yangu,Viongozi wetu,Watanzania wote,Ndg zangu Waislamu wote, waijue kweli ,nayo iwaokoe na moto wa Jehanamu, wewe ndiye njia ya kweli na Uzima hakuna mtu ajaye kwa Baba mbinguni pasipo kupitia kwako Bwana Yesu.

Siwaombei rehema wale waovu waliokaa juzi kikao na kuanza kuniteta kisha wakaandaa maombi ya hila na kunitumia maombi ya hila na majini ili waipate nafsi yangu na kuiangamiza kusudi nisiiseme kweli.Waovu wote njia yao ni moja, ni kifo na motoni.

Kama siyo wewe Mungu kuniokoa leo hii ningekuwa wapi,Mungu usikawie kuwapiga. Nami ninayaachilia mapigo 7 ya farao juu yao yawaendee kwa mfulululizo pasipo kukoma hata moja,leo natuma roho wa misukosuko katika nafsi na mioyo yao kwa jinsi walivyo wateketee kwa moto wa Yesu aliye hai.

Nafsi zao ni mateka wangu sasa,kila niombapo niwataabishe. Ngozi kwa Ngozi wote waliojiunganisha na nafsi yangu katika maombi ya kinyume juu yangu,nafsi zao zijitenge nami kisha upanga wa Mungu ushuke juu ya nafsi zao na roho zao zote zipotelee kuzimu.

Wote washindananao na watumishi wa Mungu wasipate rehema na neema ya msamaha katika kiti chako cha enzi maana wanafanya hivyo kwa tamaa zao ili wawapoteze watu wa Mungu.

MUNGU AWABARIKI SANA,AMEN.
 
Nawasalimu wote wanajukwaa,leo nataka tujifunze silaha kuu tano zinazotumika katika ulimwengu wa kiroho.

Kama wengi tunavyojua kuwa katika ulimwengu wa kiroho kuna falme kuu mbili,falme ya kwanza ni ufalme wa nuru na falme ya pili ni ufalme wa giza.

Falme zote hizi zina muundo na uongozi na mamlaka kamili.Katika viumbe vyote binadamu ndiyo kiumbe pekee mwenye sifa ya kuweza kuishi katika ulimwengu wa kiroho na ulimwengu huu wa kimwili kwa wakati mmoja.Inawezekana umesoma vitabu vingi sana na kufanya jitihada nyingi sana ili ufanikiwe katika maisha yako lakini bado umeshindwa.

Nakushauri fuatilia darasa hili kwa umakini na siku ukimaliza Lazima ufanikiwe kwa kuwa manbo yote huanzia katika ulimwengu wa kiroho na ndicho utakachojifunza hapa.

Zifuatazo ni silaha kuu tano za ulimwengu wa kiroho.
1. Damu
2. Jina
3. Kiti
4. Maneno
5. Ardhi na Mbingu

Ukiweza kujifunza silaha hizi kwa umakini,utaweza kujua ulimwengu wa kiroho unavyofanya kazi,utapata nguvu za kuingia katika ulimwengu wa kiroho,utashinda vita vya kiroho na kimwili kwa urahisi na utafanikiwa kimwili na kiroho katika mambo yako.

Somo hiki litakuwa na jumla ya vipande kumi (10),yaana tutajadili silaha moja moja inavyotumika katika ulimwengu wa kiroho upande wa ufalme wa giza na moja moja inavyotumika katika ulimwengu wa kiroho upande wa ufalme wa nuru.

Naomba maoni yenu ya tuanze kuijadili silaha ipi, na tuanze na falme ipi kati ya falme ya nuru au ya giza au somo liishie hapa maana watu wengi hawaamini kama kuna ulimwengu wa kiriho.
Ok
 
AGANO LA KISHETANI LA UTAJIRI,MALI,CHEO,MVUTO(MAFANIKIO) KATIKA MAUTI ZA NAFSI NA ROHO ZA HAO WAUTAFUTAO UTAJIRI:

17.12.2023.

Bwana Yesu apewe sifa sana.Nimerudi tena kwenu kuwapasha habari za ufalme wa Mungu na siri za kuzimu ili mpate kuzijua na kuzishinda hila za shetani.

Ujumbe huu unakuja kwenu hasa watumishi wa Mungu aliye hai ili mpate mbinu au kama mnazo hizi basi mziboreshe kupitia hiki nitakachokisema hapa.

Siyo kwamba mimi ni msemaji wenu,siyo kwamba mimi ninajua kuliko nyinyi,au siyo kwamba mimi ninafundishwa peke yangu,la hasha! Msinifikirie vibaya,mimi ninasema kitu nilichoambiwa nikiseme.

Kwako kinaweza kisiwe na manufaa, ila kwa wengine ni msaada mkubwa sana,hivi kwanini mtumishi wa Mungu huduma yako haikui, kwanini watu wakucheke kwamba huduma yako ni ya kimasikini?

Yaani wachawi wachezee kwenye madhabahu yako na kuinajisi halafu wewe uhubiri watu wasipone ,bado uyakatae haya maarifa.?

Baada ya masomo haya ninakuomba mtumishi wa Mungu tusaidiane kuzivunja hizi madhabahu za miungu,wachawi,waganga wa kienyeji na washirikina wote wapate kubarikiwa na moto wa Mungu.

Yaani tuwabariki kwa moto,tuwabariki kwa upanga wa Mungu, tuwabarikie kwa damu ya Yesu viwachome hadi wateketee mpaka wafuasi wao waseme huu ni ubarikio wa namna gani.

Naam! Nasi tutawaambia huu ni ubarikio wa moto wa Mungu, damu ya Yesu,Jina la Yesu na upanga wa Mungu kuanzia 2024 mpaka Yesu anarudi kutunyakua.

Mizaha sasa imetosha juu ya kanisa la BWANA na kwa watu wa Mungu. Mtumishi wa Mungu bila kuwa na hasira ya kimungu huwezi kutoka kwenye hayo maagano yanayokukwamisha wala hautaweza kutoboza.

Omba kama kichaa, omba kama mwendawazimu, usiweke silaha chini mpaka uone maadui zako wamesalimu amri,huwezi kuvikwa taji kama hujapata ushindi. Ushindi wa kwanza ni hapa hapa duniani. Usimchekee shetani,usimuonee aibu shetani atakuiabisha ukweni kwako.

Ukali wenu nitauona kwenye matokeo ya shuhuda zenu.Mimi nimevipiga vita sana nikiwa nyikani, ninajua hiki ninachokiongea, hakuna miungu wala shetani itakayoweza kusimama mbele yangu na ikashinda, Kwasababu Yesu aliye ndani yangu ni mkuu kuliko wote,lazima nimtukuze mahali popote pale atakaponituma, ila ninaanzia hapa nyumbani kwanza.

MUNGU AWABARIKI SANA:
Mwili wa mwanadamu usiokuwa na uhai huitwa maiti. Ni maiti kwasababu umekutwa na umauti.

Umauti ni roho ya kifo ambayo humvaa mtu na kuondoka na uhai wake.Uhai huu ukiondolewa ndani ya nafsi ya mtu ndipo mtu huwa mfu, nafsi isiyokuwa na uhai wala utambuzi wa aina yotote ile.

Mwili hupelekwa na kuhifadhiwa katika nyumba yake ya milele iitwayo Kaburi.Na hapa ndipo neno la BWANA linapotimizwa kwamba umeumbwa kwa udongo, utarudi tena udongoni.

Hakuna mwanadamu awezaye kukishinda kifo isipokuwa Yesu peke yake na wale waliopata neema mbele za macho ya BWANA.

Hawa ni wale walioandikiwa haki mbele za kiti cha enzi cha Mungu Baba.

Hata shetani na mbinu zake zote hawezi kukishinda wala kukiepuka;kwasababu tangu kipindi kile alivyoasi, alishahukumiwa adhabu ya kifo katika lile ziwa likawalo moto.

Watenda dhambi wote hukumu yao ilishatoka, ambayo ni kifo cha umauti wa milele pamoja na shetani.Labda wale watakaopata neema ya kuisikia Injili ya Yesu,hao ndio watakaourithi Uzima wa Milele.

Waliokufa katika dhambi,wote ni mauti ya milele maana watatupwa katika lile ziwa liwakalo moto usiku na mchana pasipo kuzimika.

Pamoja na kwamba mtu anakufa mwili wake na roho yake kwenda sehemu nyingine.Lakini kuna watu wengine wanaandikiwa VIFO WAKINGALI HAI,WANATEMBEA HUKU ROHO WA UMAUTI AKIWA JUU YAO.

Hapa kinachosubiriwa ni muda ,saa na sababu itakayomsababishia umauti. Vifo vya namna hii haviji pasipo sababu maalumu.

Inaweza kuwa ni sababu ya uchawi, visasi, chuki,wivu,maagano ya kichawi yaliyofanywa huko nyuma na wazazi au mababu za hao watu.n.k.

Wengine ni laana inayotoka ndani ya ukoo wa huyo mtu.Huyu roho akishamvaa mtu hujikuta anaanza kujichukia, kukata tamaa na kukosa matumaini, hukosa raha na uchangamfu, hupenda kujitenga na watu,pia ni mtu wa kuwa na wasiwasi wakati wote.

Akimtazama mtu usoni huwa na aibu aibu huku akiangalia chini,huyu ni roho anakuwa anajua unamuona ila ni ngumu kung'amua katika mwilini, uso wa huyu mtu hukosa nuru na kuwa na mpauko usoni kama rangi ya maiti.

Huwezi kumshinda roho wa mauti isipokuwa kwa njia ya nguvu ya MSALABA WA BWANA YESU.

Yesu alivyosema pale msalabani "IMEKWISHA",Alikuwa anaitoa roho yake ili kwenda kuzimu alipo shetani kumnyang'anya funguo za uzima na mauti na kuisimamisha juu ya watu wake wote dunia nzima.

Yesu alikufa msalabani kwa ajili ya watu wote, watu wasidanganye eti alikufa kwa ajili ya Wakristo tu,siyo kweli yeyote anayeliamini Jina lake ni wake Yeye Kristo.

Pale ilikwisha nguvu,ilikosa uhalali wa kutuua kwasababu hati zote za mashtaka zilipigiliwa pale msalabani. Tulipewa uzima wa Milele mara tu baada ya kufufuka na kwenda(kupaa) juu mbinguni kwa Baba yetu.

Wanadamu wanapotea na kufa vifo ambavyo siyo vyao wala vifo vya haki kwasababu hawana maarifa ya Mungu, na kwa kuwa wamemkataa Yesu na kuamua kumfuata shetani.

Shetani amewadanganya na kuwapotosha macho yao ili wasipate kuona na kuijua kweli,neema na thamani ya nguvu ya msalaba iletayo ukombozi ndani ya mtu,badala yake wameyakumbatia mafundisho manyonge na madhaifu kwa kujipa matumaini kwamba mtu akifa ataombewa na kupata msamaha wa ondoleo la dhambi.

Wanasahau kwamba imeandikwa "bora wafu wafao katika BWANA maana hao watafufuliwa siku ya mwisho".

Maana yake ni watu waliokufa katika Kristo Yesu.

Hakuna siku ya mwisho nyingine, bali ni sasa,hizi ndizo nyakati za mwisho ambazo Bwana Yesu yuaja upesi kuja kulinyakua kanisa lake,ambapo kabla ya ujio wake atawaandaa watakatifu wake ili wapate kumpokea mawinguni.

Hata wale wafu waliokufa katika BWANA ambao maandiko yanawataja, watafufuliwa kwanza ili waungane na walio hai,waliolikiri Jina Langu.Hawa ni wateule Wangu na watakatifu WANGU, niliopendezwa nao.(JESUS SPEAKS HIMSELF THROUGH ME).

Wale waliolikataa Jina langu ,na wale walio vuguvugu;wale waniitao BWANA,BWANA.Lakini hapo hapo wanajihudhurisha kwa miungu ,hao sina haja nao.(Yesu anaongea saa hii).

Nitawakataa, nitawatema, hawataingia RAHANI Mwangu,maana hawa ni wafu wanaoishi. Hawajafa katika BWANA wala hawaishi katika maisha matakatifu. (Roho yake imeongea ndani yangu,kuweni makini watu wa Mungu).

Kumbuka Andiko "waache wafu wazikane. ".Hawa ni wafu maana hawana walijualo, linaloendelea katika UFALME WA MUNGU.

Hawajui saa wala dalili za kuja kwa Mwana wa Adamu.Akili zao na fahamu zao haziwazi yaliyo ya Mungu, bali hujitaabisha na mambo ya dunia na kujihudhurisha kwa shetani.

WANAZIKANA KWA NAMNA GANI?

Roho wa umauti anawasubiria ili aweze kuwavaa na kuwachukua maana hawana kinga wala zuio au kizuizi chochote. Yeye asiye na Yesu ana roho wa umauti anatembea naye,anasubiri apate chanzo na sababu ili amvae na kuondoka naye.

Kuna wengine wameandikiwa umauti au kifo na wazazi wao,ndugu zao, Rafiki zao,na jamaa zao KAMA KAFARA LA UTAJIRI NA MALI.

Shetani hupenda kujifananisha na Mungu. Jinsi Yesu alivyotolewa kafara kama ondoleo la dhambi ya Ulimwengu, ndivyo hivyo hivyo shetani apendavyo kupewa kafara ya damu ya mtu.

Kafara ya damu ya mtu ina thamani kubwa kuliko damu ya mnyama,Kwasababu ina uhusiano na damu ya Yesu.Damu ya Yesu ina uungu mkuu sana,hivyo wote walio na Yesu wana damu kama Yake.

Mtu wa Mungu nisome kwa umakini sana hapa.

Maandiko yanasema,Yesu alisema yeyote atakayeyafanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni,huyu ndiye ndugu yangu,na umbu langu,na mama yangu.Umbu kwa lugha nyingine ni dada.

Kwahiyo watu hawaitwi ndugu pasipo kuwa na vinasaba vya damu.

Unadhani kwanini sisi Watanzania huwa tunaitana kaka na dada? Maana tunachukuliana kama ndg wamoja. Kiroho sisi ni ndg sana,ndio maana utasikia ndg yetu,zetu Watanzania wamepatwa na shida fulani tuwasaidie.

Sasa twende kwa Yesu kwa mtiririko wa hapo juu.

Tumerithi ufalme wa Mungu kupitia imani ya baba yetu Ibrahimu,Yesu ni ukoo wa Yuda mtoto wa Yakobo,Yakobo ni mjukuu wa Ibrahimu.

Yesu anatokea katika shina la Daudi ,ambalo ni ukoo wa Yuda. Hivyo basi Yesu alikuwa na damu ya kibinadamu kamili kwasababu pia alizaliwa na mwanamke kama vile ambavyo watoto wote huzaliwa na mwanamke.

Kwahiyo kitendo cha Yesu kusema sisi tulio wake ni ndugu zake,maana yake katika imani tunakuwa katika ukoo mmoja na Baba yake ndiye Baba yetu pia. Glory to God, hallelujah!!!

Kwahiyo katika ulimwengu wa roho kinaumbika kitu kipya.Maana hata maandiko yanasema sisi tumefanyika viumbe vipya ndani ya Yesu.Tumebadilishwa kutoka ule utu wa kale na kuwa mpya ndani ya Kristo Yesu.

Tunafanyika kuwa watoto wa Mungu kwasababu tumebadilishwa na kuwa na sifa kama za Mungu wetu aliyetuumba. Kwahiyo kila kitu chetu ni kipya.

Damu yetu ni mpya kwasababu imetakaswa upya, imechujwa na kuwa safi na damu halisi.

Kwahiyo hii damu ndio ambayo shetani anaiwinda usiku na mchana ili aweze kuipata na kuichukua. Hii ina nguvu kuliko damu ya viumbe vyote.

Wanyama hawana damu safi,salama,na yenye thamani kama damu ya mtu;mtu aliyeokoka. Hii damu akiinywa shetani inampa nguvu na mafunuo kujua kitu gani kinaendelea katika ulimwengu wa roho wa NURUNI.

Yesu alisema Yeye ni nuru ya Ulimwengu.Kwahiyo katika vinasaba vya damu yake zipo chembe chembe ambazo zimebeba maono na mafunuo yenye taarifa sahihi za siri za mbingu.

Kwa kuwa Yesu anao ndugu zake ambao ni watoto wake,ambao ni watoto wa Mungu, basi hujikuta damu Yake iko sawa sawa na ndugu zake hawa,watu waliomkiri au waliokiri Jina Lake.

Lasivyo asingesema, sisi ni ndugu zake.Na ndugu zake wote ni wana wa Mungu walio ndani ya Yesu.Yesu ni ukoo wa watoto wote waliozaliwa mara ya pili kwa ajili ya Mungu.

Kwahiyo Yesu anawakilisha ukoo wa Mungu kwa watoto wa Mungu, akiwa Yeye ndiye mzaliwa wa kwanza. Ndio maana shetani anapenda kuwashikilia watoto wote waliozaliwa wakiwa wa kwanza,Kwasababu ni malango.

Ni malango kwasababu ni kielelezo cha Yesu Kristo. Kama alivyo Lango la baraka,uzima wa milele na mrithi wa viti vyote vya Enzi vya baba yetu.

Mtoto wa kwanza akiwa ni lango la laana,basi watoto wote watakaofuata watapata laana na mikosi.Labda tu kwa neema ya msalaba na damu iliyomwagika msalabani ipate kuwakomboa na kuwaweka huru.

Mtoto wa kwanza akiwa ni baraka ,halafu yuko upande wa Mungu ;Yaani yuko ndani ya Yesu.Shetani hupenda damu yake maana anajua atapata taarifa zote zilizomo kwake na kujua mpango wa Mungu ili aweze kumuibia na kisha kumakwamisha.

Kuna watoto wanaozaliwa na Nuru ya ulimwengu. Hawa tangu wakiwa tumboni mwa mama zao tayari Mungu alishawapaka mafuta.

Maandiko yanasema kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa;nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.

Angalia hapa Kumbe Mungu anawajua watoto wake. Shetani naye akishawajua anaanza utaratibu wa kuwashika. Hawezi kuwashika Wala kuwamiliki pasipokuwa na ridhaa ya wazazi,ndugu au jamaa zake.

Atakachokifanya ni kumshawishi mzazi kupitia kwa wachawi,waganga wa kienyeji, wazee wa mila na waaguzi waonao kwa kutumia mapepo ya utambuzi.

Kwamba wamtoe huyo mtoto madhabahuni kwao;kisha yeye watampatia nyota ya utajiri.

Hata kama ni cheo, au mafanikio mengine, lakini mafanikio yoyote huleta mali na vitu zikiwemo fedha. Hivi vitu vyote au wingi wa vitu mbalimbali, au wingi wa mali ni UTAJIRI.

Kwasababu ya tamaa ya mwanadamu ya kupenda pesa na utajiri hujikuta anamtoa au anawatoa watoto wake ili wawe kafara ya ngekewa yake.

Wapendwao kutolewa kafara huwa ni mabinti. Kwasababu hawa huwa ni rahisi kutoa damu zao kama sadaka kwa njia nyingi tofauti na watoto wa kiume ambao wao damu zao ni mpaka wapate ajali na vifo vyao.

Hawa watoto wa kike damu zao huanza kutoka pale wanapovunja ungo, damu ya ubikra, damu ya hedhi ya kila mwezi, damu ya wakati wa kujifungua, ajali n.k.

Kwahiyo wao wana damu nyingi na njia nyingi ya kutoa damu tofauti na wenzao wa kiume. Shetani anawapenda hawa wa kike kwa kuwa maungo yao ni rahisi kuwaingilia kwa kutumia tendo la ngono.

TENDO LA NGONO ni Agano rahisi kwa kuwa anakuwa anaziunganisha NAFSI za hawa watoto wa kike na mapepo yake,au waume wa kipepo.

Kwahiyo shetani anavyojua hawa watoto wana damu yenye uhusiano na Yesu ndipo hupenda kutumia Agano lenye nguvu na gumu kufunguka ambalo ni Agano la UMAUTI.

Hapa anamuapisha mzazi kwamba aseme binti yake/zake amewatoa moja kwa moja kwa mfalme mungu mkuu wa dunia (shetani) ili awe mume wao milele na milele na asikae akakiuka ndoa hii halali.
Wanaambatanisha kwamba kilichofungwa na Mungu mwanadamu asikifungue/asikitenganishe. (Wanaomba kinyume).

Akitaka kuivunja madhara yampate ikiwemo KIFO, kama jinsi mkataba ulivyoandikwa na cheti cha ndoa kilivyoandikwa ya kwamba binti yangu/zangu fulani na fulani nimewaozesha kwa mungu mkuu ambaye mume wenu atakuwa mume aitwaye PEPO MAUTI AU JINI MAITI.

Kwa kujua thamani ya maji yaliyomwagika msalabani. Wanatumia maji waliyooshea maiti, tena maiti iliyooza,kisha wanamnyesha huyu mtoto au watoto kwamba hii ni nadhiri na yamini kwamba sasa maji haya ya maiti yanakuunganisha na mume wako/wenu pepo maiti.

Hawataishia hapo tu,bali watamuosha au kuwaosha hawa watoto kwa kutumia hayo hayo maji waliyooshea maiti ili wamtakase katika ulimwengu wa giza kwa ajili ya kuolewa na huyo jini maiti.

Mambo yote haya yanafanyika kwa ajili ya kuua utu wa ndani,kuharibu nguvu za asili za ile damu ya Yesu ili anavyozidi kukua na kuongezeka na kupata maarifa asije akawasumbua.

Hapa ndipo KARAMA,VIPAWA,NDOTO NA NYOTA za watoto wa Mungu huanza kupotea, huandamwa na mikosi,nuksi kwa kila anachokifanya huwa hakifanikiwi.

Kwasababu yale maji yaliyooshea maiti iliyooza ndio hutumika kuleta roho za kuzaa mapooza na kumharibia maisha yake yote.

Mungu naye hayuko mbali huanza kumtafuta huyu mtoto/watoto wake.Hapa vita huibuka. Yeye anamtaka, na shetani hataki kumtoa, anadai alikabidhiwa na mzazi au wazazi wake.

Anatoa vifungu vyote vya mikataba,viapo na maagano waliyokubaliana na wazazi wake.

Mungu anaona isiwe taabu anaanza kumpa maarifa ya kutoka kwenye hivyo vifungo.

Njia rahisi, si nyingine bali damu ya Yesu. Kadri anavyozidi kutumia damu ya Yesu ndivyo yale maagano yaliyofanywa yanavyozidi kutoweka.Kwasababu ile damu ya huyu binti inazidi kuwa na nguvu kuzidi maagano yao yaliyofanyika au ambayo yalikuwa yakifanyika kwa kuchinja mnyama wa kafara.

Shetani anasema nilitumia maji ya maiti iliyooza, kwahiyo huyu atatakasika vipi?

Mungu ana maarifa zaidi ya shetani, Mungu anasema tumia maji yaliyomwagika msalabani kujiosha na kujtakasa.

Hapa ndipo nira huanza kukatika na kulegea hadi kuisha. Na zile nafsi za watu wote waliokuwa wamejiunganisha hapo kwenye hilo agano la utajiri ukatika pia.

Hapa itategemea waliapa viapo gani,kama ni viapo vya vifo, basi nafsi zao hukatika na mauti huwafikia Maana wao hawana damu iliyo safi na takatifu kama ya hawa waliokombolewa.

Kwahiyo huwa ni nafsi zao kupotea, sadaka zao ni damu yao.Shetani hapa hana msamaha;lazima uondoke maana anasema ulizipenda mali zangu kwahiyo huna budi kufa.

Vifo vya namna hii huwa havizuiliki maana huwa ni vya ghafla sana kwasababu vinasababishwa na huyo jini mauti au pepo mauti anayekuwa ni mauti katika mwili ila roho yake inafanya kazi kwa usaidizi wa mapepo mengine.

Turudi nyuma kidogo.

Na wanasema jinsi maiti alivyo wa baridi na mwili wa huyu binti uwe wa baridi,maisha yake yawe ya baridi ,asikae akawa na moto kwa kila akifanyacho.

Shetani hatendi kazi nje ya laana. Ni lazima kwanza aue vitu vya kiroho vilivyomo ndani ya mtu halafu apandikize roho nyingine ambazo ziko kinyume na mpango wa Mungu.

Kazi ya shetani na sifa kuu ya shetani ni kuiba, kuua na uongo.Anadanganya kwa kutenda kinyume na matarajio ya mwanadamu kisha anaua mpango wa Mungu ambao uko juu ya huyo mtu.

Mali za shetani hazidumu,utajiri wa shetani una mwisho wake.Lakini utajiri wa Mungu hauna mwisho wala ukomo;maana Yeye ndiye chanzo cha utajiri na mali.Shetani hana mali ispokuwa azipate kwa kuiba vitu walivyonavyo watoto wa Mungu.

KUNA WATU WANAFANYA VIAPO VYA KAFARA ZA NAFSI NA ROHO ZAO KWA AJILI YA MALI,UTAJIRI,MVUTO NA UMAARUFU.

Mtoto wa Mungu Kumbuka kule juu kichwa cha somo kilisemaje.Hapa ndipo tunakuja kwenye kiini cha somo.Kule nilikuwa ninawapitisha kwenye msingi wa haya maagano.

Wanafanya viapo hivi au vya namna hii kwa kujitoa wao kafara ili kwamba siku ikitokea mtu aliyekuwa ametolewa kafara akafunguka na kuyavunja maagano waliyokubaliana;basi wao ndio watumike kama mbadala wake.

Yaani zile nafsi za roho za watu wengine au ndugu,na jamaa zao walizokuwa wamezitoa kama sadaka za kafara kwa shetani,siku zikikombolewa kwa nguvu ya msalaba wa BWANA YESU basi wao hawana budi kutumikia kile kiapo chao cha awali.

Hapa ndipo watu hawa hujikuta wanadaiwa hizo mali,mvuto,utajiri,UMAARUFU, na cheo,na kwa kuwa walishaapa kwamba wao ndio watakuwa mbadala wake,hawawezi tena kupewa nafasi ya kuwatoa wengine.

Huwa wanaapa kwamba siku mtu huyu/hawa wakifunguka katika Kristo, basi mimi sina budi kuwa kafara kama mbadala wake.

Huwa wanajiaminisha na kuwa na ujasiri wa kufanya hivyo kwa vile wanajua vifungo walivyoviweka juu ya huyo mtu,havitawahi kuondolewa kamwe.

Lakini ashukuriwe Mungu aonaye sirini na kutujulisha mambo ya gizani. Jinsi anavyowapenda watu wake hata akaamua kumtoa mwanaye wa pekee ili awe KAFARA kwa ajili ya watu wake.

Naye si mwingine bali ni Yesu Kristo aliye hai.Yeye alivyokufa msalabani ilikuwa ni kafara ya ukombozi kwa wanadamu wote wa ulimwengu, ambao watahitaji msaada wake.

Hii kafara yake ndio inayoua nguvu za wale watu wote waliowatoa kafara ya viapo vya nafsi na roho ndugu zao au watoto wao au jamaa zao.

Kwa kuwa wao walitolewa kafara ya nafsi na roho kwa ajili ya utajiri,mali,na mvuto au cheo na umaarufu, hapa pia ukombozi wake unafanyika kwa njia ya Ukombozi wa kuuzwa nafsi yangu/zetu kwa shetani na baba,mama,kaka,mjomba,dada,bib na babu kwa kutumia kafara ya Yesu pale msalabani.

Hii ni lazima iandane na kanuni waliyoitumia kama ni kiapo, kivunjwe kwa kiapo.Kama ni sadaka ivunjwe kwa sadaka ,kama ni kafara ivunjwe kwa kafara katika ulimwengu wa Nuru,maana yote ya kwao yalifanyika katika ulimwengu wa giza.

TUSOME AYUBU 2:4
Shetani akamjibu BWANA,na kusema ,Ngozi kwa Ngozi,naam, yote aliyonayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.

Kwahiyo shetani anavyokupa mali anategemea au anakupa kiapo cha kujitoa uhai iwapo kama utashindwa kukitunza kiapo chako na makubaliano yenu.

Ndio maana nikasema ni kiapo cha nafsi na roho kama kafara kwa ajili ya utajiri na mali,viapo vyako vinavyokuwa vikubwa, ndivyo na maagano yako yanavyozidi kuwa makubwa zaidi.

Maagano yako yanavyokuwa makubwa zaidi ndivyo na sadaka zako za kafara zinavyozidi kuwa nyingi na kubwa zaidi. Mtu haapi kwa shetani pasipo hakikisho la jambo analotaka kulifanya. Lazima kuwepo na kusudi au lengo.

Watu hawaendi kwenye ibada au maombi pasipo kusudi ndani ya mioyo yao;lazima wawe na dhamira iliyo ndani ya mioyo yao ambayo inawapelekea kwenda ibadani na kutaka maombi.

Dhamira hiyo ndio kusudi.Sasa tunaposema mtu anajitoa nafsi na roho kwa ajili ya utajiri,mali,mvuto,umaarufu, cheo au hata uchawi na uganga mkuu, ndio huo uhai anausema AYUBU.

KWANINI NI UHAI KWA AJILI YA UTAJIRI?
Kwasababu,nafsi inatunza roho,na roho ndio uhai wenyewe.Na mahali nafsi ya mtu ilipo ndipo mali yake ipo hapo.

Kwahiyo hawa watu wanatunza viapo vyao vya mali kwa kuzitoa au kuziweka nafsi na roho zao rehani ili mali zao zisiweze kupotea. Ili pia mtu waliyemuibia asiweze kuzidai.

Na ikitokea akaanza kuzidai basi umauti umkute;maana yeye alitolewa kama kafara kwa ajili ya mali za yule aliyeapa viapo vya nafsi na roho kwa ajili ya mali.

Ikitokea huyu aliyetolewa akawazidi nguvu na kuzichukua mali zake; ndipo ule usemi wa shetani unajidhihirisha,kwamba Ngozi kwa Ngozi na yote uliyonayo utayatoa kwa ajili ya uhai wako.

Lazima ajitoe yeye uhai wake,kwasababu hana mali tena,hana mtu tena wa kumtoa kafara maana si kila mtu unaweza kumtoa kafara, wengine damu zao ni chafu shetani hazihitaji.

Kwahiyo hapa inabidi wewe ndiye ufe kama mbadala wake.Tena mbaya zaidi yule aliyezikomboa yuko ndani ya Kristo;wanakuwa wanaona hakuna uwezekano tena wa kuzipata, maana nguvu zake hawaziwezi.

Shetani anamwambia uliapa kwamba utalizilinda, kwamba huyu uliyemtoa kafara hataweza kukuzidi nguvu,na uliapa hautanipa mwingine maana hakuna aliyekuwa na damu ya utakatifu kama huyu.

Sasa si mali zangu,si sadaka yako ya kafara, vyote vimeondoka, sasa ninauhitaji uhai wako mikononi mwangu,maana uliapa na kusaini HATI YA KIFO.Hivyo huna ujanja tena wa kutoka katika kiapo hiki

Hapa mtu hawezi kuchomoka tena.Hana jinsi tena ya kukwepa. Ndipo hujikuta mtu amekauka hapo hapo pasipo mjadala. Watu wanaapa hivi viapo pasipo kujua madhara yake huko mbeleni.
......................................................................

OMBA NAMI KWA IMANI SALA HII:

Sasa ikiwa wewe ni mtoto wa Mungu uko ndani ya Yesu na unahitaji kujikomboa kutoka huko,ni vizuri na wewe kwenda na sheria,kanuni na utaratibu wao.

Wao wanafanyia gizani,wewe jiombee au fanyia nuruni.

Na wewe sema Ngozi kwa Ngozi katika kuchukua nyota yangu,mali zangu,utajiri wangu,pesa zangu,cheo changu kwa kubatilisha sadaka ya kafara ya mwili wangu kwa sadaka ya kafara ya mwili wa Yesu uliokufa msalabani.

Ngozi kwa Ngozi kuchukua nafsi yangu, roho yangu na uhai wangu kudai mali zangu na vitu vyangu vyote vilivyokuwa vimetolewa kama sadaka ya uhai,kubatilisha viapo vyao vya uhai wangu kwa kutumia uhai wa Yesu Kristo uliotolewa kama kafara ya ulimwengu pale msalabani.

Sema tena,Ngozi kwa Ngozi,kudai mali zangu ambazo ni uhai wangu uliomo katika damu yangu uliotolewa sadaka ya uhai wa damu yangu kwa shetani ,nabatilisha viapo vya hao Watu kwa kutumia sadaka ya kafara ya uhai uliomo katika damu ya Yesu.

Hii itakusaidia kuua kila chembe chembe za mawasiliano ambazo shetani alizipandikiza katika damu yako ili aweze kujua baraka zako zinazoingia ndani yako ambazo Mungu amezirejesha kwako.

Sina muda wa kutosha kufafanua sana ila twende na mtiririko huu.

Sema tena,Ngozi kwa Ngozi kwa ajili ya kubatilisha viapo vya nafsi vilivyoapwa juu yangu ili maji yaliyomo mwilini mwangu yatumike kama maji ya uzima kwa ajili ya shetani; sasa ninayabatilisha kwa kafara ya maji ya Yesu yaliyomwagika msalabani ili yanirejeshee uzima wangu maeneo yote.

Endelea kusema, Ngozi kwa Ngozi, wale wote waliodhani kwamba nitakufa siku ya kuzidai mali zangu kwa wao kujiapisha viapo vya nafsi,sasa sitakufa maana BwanaYesu alikishinda kifo kwa kafara ya msalabani,wao ndio watakufa na kuniachia baraka zangu zote.

Bwana Yesu alikishinda kifo kwa ajili yangu au yetu kwa kujitoa kafara pale msalabani, hivyo hamna mamlaka yoyote kuendelea kutushikilia katika viapo vya kafara za nafsi na roho kwa ajili ya mali na utajiri.

Ngozi kwa Ngozi: Viapo vyote vilivyoapwa kwa ajili yangu au yetu juu ya kuibiwa baraka za ku-renew au kurejesha mikataba ya kila mwisho wa mwaka ,sasa visiapwe tena kwasababu baraka zangu zinalindwa ndani ya kiapo cha damu ya Yesu iliyotolewa kafara pale msalabani.

Ngozi kwa Ngozi kwa wale wote walioapa viapo vya nafsi ili miungu izuilie baraka zetu zisiturudie, sasa miungu yote haina nguvu tena ,kwasababu kimiminika cha damu ya Yesu mara 12 iliyomwagika msalabani ninakimimina juu ya miungu 12 na miungu yote inayozuia baraka zetu iungue hadi iachie baraka zetu zote na ziturudie.

Ngozi kwa Ngozi, vile viapo vyote vilivyofanywa na wazazi ,ndugu ,jamaa na marafiki juu yetu wakaapa kwamba hata kama watakufa ,basi viapo vyao vife katika uhai wa kuendelea kutumika.

Ya kwamba hata siku moja tusikae tukazirejesha baraka zetu kama jinsi ile miili iliyofanya viapo hivyo haiwezi kurejewa na uhai tena.Ngozi kwa Ngozi kama ambavyo Yesu alirejewa na uhai katika mwili wake ,na sisi tunazirejesha baraka zetu ambazo ziko katika miili yote ambayo ni marehemu iliyokufa katika viapo vya nafsi na roho zao.

Ngozi kwa Ngozi. Vile viapo mlivyoviapa kwamba mwezi huu wa 12 hatutauvuka na kuuona mwaka mpya, tayari tumeshavuka kwa kafara ya matone 12 ya damu ya Yesu aliyekafarishwa pale msalabani.Amen.
.............................................................
Mpenzi msomaji mtoto wa Mungu hapo lazima uwe katika roho uombe haya maombi kwa imani ili uweze kutoka katika vifungo hivi vya nguvu za giza na makafara yaliyofanyika juu yako.

Ninawatahadharisha haya maombi siyo ya kitoto wala masihara yeyote aliyekuwa amememfanyia ndugu yake maagano ya namna hii, maombi haya ni upanga wa Mungu, sijui utakataje lakini habari mtaipata.

Kipindi hiki siyo cha mzaha na mimi huduma yangu ni ya kuvunja madhabahu na maagano, kwahiyo sina maombi ya rehema kwa waovu, upanga kwa upanga na jino kwa jino.

Naachiliaa moto wa Yesu kwa kila mchawi na mganga wa kienyeji na yeyote aliye na mpango wa kunitumia roho za mauti zimrudie yeye na wote waliojipanga kuwa kinyume nami.

Nawazingira wote wanisomao kwa nia ya kupata maarifa kutoka kwa Mungu uliye juu uwakinge na roho za visasi kutoka katika madhabahu za miungu yao ambazo kuanzia sasa wanaanza kuzipiga na kuzivunja katika Jina la Yesu Kristo aliye hai.

Mtoto wa Mungu ikiwa una sadaka itoe kwa imani na Mungu atakujibu katika maombi yako. Sindikiza maombi yako kwa njia ya kutoa sadaka.

Ahsante Bwana Yesu kwa ajili ya hizi roho ambazo nimezikomboa kwa mamlaka ya Jina lako,nazikukabidhi uzitunze na kuzilinda isipotee hata roho moja mpaka siku ile unarudi uikute iko kundini na uweze kuinyakua na kwenda nayo juu mbinguni kwa Baba,Amen.

MUNGU AWABARIKI SANA WATOTO WA MUNGU.
Maombi haya ya Ngozi kwa Ngozi.Yaombeni kwa muda siku 7 pasipo kuruka hata siku moja.Pia hayana mwisho ni kama Zaburi ,kwahiyo mtu anaweza kuyaomba wakati wowote anapohitaji baada ya hizo siku 7.

Kwa mtu asiyejua kuomba hapa ni mahali pake, watu wengi wamefungwa nafsi zao na kuibiwa baraka zao,kwahiyo yaombe sana mpaka usikie mzigo wa maombi umeisha ndani yako.

Huu ni ujumbe wenu watoto wa Mungu, maana Mungu anataka kuwafungua na kuwatoa katika vifungo vya NAFSI.

Mungu awaongoze katika kuomba kwenu mpate majibu ya maombi yenu.Amen.
 
AGANO LA KISHETANI LA UTAJIRI,MALI,CHEO,MVUTO(MAFANIKIO) KATIKA MAUTI ZA NAFSI NA ROHO ZA HAO WAUTAFUTAO UTAJIRI:

17.12.2023.

Bwana Yesu apewe sifa sana.Nimerudi tena kwenu kuwapasha habari za ufalme wa Mungu na siri za kuzimu ili mpate kuzijua na kuzishinda hila za shetani.

Ujumbe huu unakuja kwenu hasa watumishi wa Mungu aliye hai ili mpate mbinu au kama mnazo hizi basi mziboreshe kupitia hiki nitakachokisema hapa.

Siyo kwamba mimi ni msemaji wenu,siyo kwamba mimi ninajua kuliko nyinyi,au siyo kwamba mimi ninafundishwa peke yangu,la hasha! Msinifikirie vibaya,mimi ninasema kitu nilichoambiwa nikiseme.

Kwako kinaweza kisiwe na manufaa, ila kwa wengine ni msaada mkubwa sana,hivi kwanini mtumishi wa Mungu huduma yako haikui, kwanini watu wakucheke kwamba huduma yako ni ya kimasikini?

Yaani wachawi wachezee kwenye madhabahu yako na kuinajisi halafu wewe uhubiri watu wasipone ,bado uyakatae haya maarifa.?

Baada ya masomo haya ninakuomba mtumishi wa Mungu tusaidiane kuzivunja hizi madhabahu za miungu,wachawi,waganga wa kienyeji na washirikina wote wapate kubarikiwa na moto wa Mungu.

Yaani tuwabariki kwa moto,tuwabariki kwa upanga wa Mungu, tuwabarikie kwa damu ya Yesu viwachome hadi wateketee mpaka wafuasi wao waseme huu ni ubarikio wa namna gani.

Naam! Nasi tutawaambia huu ni ubarikio wa moto wa Mungu, damu ya Yesu,Jina la Yesu na upanga wa Mungu kuanzia 2024 mpaka Yesu anarudi kutunyakua.

Mizaha sasa imetosha juu ya kanisa la BWANA na kwa watu wa Mungu. Mtumishi wa Mungu bila kuwa na hasira ya kimungu huwezi kutoka kwenye hayo maagano yanayokukwamisha wala hautaweza kutoboza.

Omba kama kichaa, omba kama mwendawazimu, usiweke silaha chini mpaka uone maadui zako wamesalimu amri,huwezi kuvikwa taji kama hujapata ushindi. Ushindi wa kwanza ni hapa hapa duniani. Usimchekee shetani,usimuonee aibu shetani atakuiabisha ukweni kwako.

Ukali wenu nitauona kwenye matokeo ya shuhuda zenu.Mimi nimevipiga vita sana nikiwa nyikani, ninajua hiki ninachokiongea, hakuna miungu wala shetani itakayoweza kusimama mbele yangu na ikashinda, Kwasababu Yesu aliye ndani yangu ni mkuu kuliko wote,lazima nimtukuze mahali popote pale atakaponituma, ila ninaanzia hapa nyumbani kwanza.

MUNGU AWABARIKI SANA:
Mwili wa mwanadamu usiokuwa na uhai huitwa maiti. Ni maiti kwasababu umekutwa na umauti.

Umauti ni roho ya kifo ambayo humvaa mtu na kuondoka na uhai wake.Uhai huu ukiondolewa ndani ya nafsi ya mtu ndipo mtu huwa mfu, nafsi isiyokuwa na uhai wala utambuzi wa aina yotote ile.

Mwili hupelekwa na kuhifadhiwa katika nyumba yake ya milele iitwayo Kaburi.Na hapa ndipo neno la BWANA linapotimizwa kwamba umeumbwa kwa udongo, utarudi tena udongoni.

Hakuna mwanadamu awezaye kukishinda kifo isipokuwa Yesu peke yake na wale waliopata neema mbele za macho ya BWANA.

Hawa ni wale walioandikiwa haki mbele za kiti cha enzi cha Mungu Baba.

Hata shetani na mbinu zake zote hawezi kukishinda wala kukiepuka;kwasababu tangu kipindi kile alivyoasi, alishahukumiwa adhabu ya kifo katika lile ziwa likawalo moto.

Watenda dhambi wote hukumu yao ilishatoka, ambayo ni kifo cha umauti wa milele pamoja na shetani.Labda wale watakaopata neema ya kuisikia Injili ya Yesu,hao ndio watakaourithi Uzima wa Milele.

Waliokufa katika dhambi,wote ni mauti ya milele maana watatupwa katika lile ziwa liwakalo moto usiku na mchana pasipo kuzimika.

Pamoja na kwamba mtu anakufa mwili wake na roho yake kwenda sehemu nyingine.Lakini kuna watu wengine wanaandikiwa VIFO WAKINGALI HAI,WANATEMBEA HUKU ROHO WA UMAUTI AKIWA JUU YAO.

Hapa kinachosubiriwa ni muda ,saa na sababu itakayomsababishia umauti. Vifo vya namna hii haviji pasipo sababu maalumu.

Inaweza kuwa ni sababu ya uchawi, visasi, chuki,wivu,maagano ya kichawi yaliyofanywa huko nyuma na wazazi au mababu za hao watu.n.k.

Wengine ni laana inayotoka ndani ya ukoo wa huyo mtu.Huyu roho akishamvaa mtu hujikuta anaanza kujichukia, kukata tamaa na kukosa matumaini, hukosa raha na uchangamfu, hupenda kujitenga na watu,pia ni mtu wa kuwa na wasiwasi wakati wote.

Akimtazama mtu usoni huwa na aibu aibu huku akiangalia chini,huyu ni roho anakuwa anajua unamuona ila ni ngumu kung'amua katika mwilini, uso wa huyu mtu hukosa nuru na kuwa na mpauko usoni kama rangi ya maiti.

Huwezi kumshinda roho wa mauti isipokuwa kwa njia ya nguvu ya MSALABA WA BWANA YESU.

Yesu alivyosema pale msalabani "IMEKWISHA",Alikuwa anaitoa roho yake ili kwenda kuzimu alipo shetani kumnyang'anya funguo za uzima na mauti na kuisimamisha juu ya watu wake wote dunia nzima.

Yesu alikufa msalabani kwa ajili ya watu wote, watu wasidanganye eti alikufa kwa ajili ya Wakristo tu,siyo kweli yeyote anayeliamini Jina lake ni wake Yeye Kristo.

Pale ilikwisha nguvu,ilikosa uhalali wa kutuua kwasababu hati zote za mashtaka zilipigiliwa pale msalabani. Tulipewa uzima wa Milele mara tu baada ya kufufuka na kwenda(kupaa) juu mbinguni kwa Baba yetu.

Wanadamu wanapotea na kufa vifo ambavyo siyo vyao wala vifo vya haki kwasababu hawana maarifa ya Mungu, na kwa kuwa wamemkataa Yesu na kuamua kumfuata shetani.

Shetani amewadanganya na kuwapotosha macho yao ili wasipate kuona na kuijua kweli,neema na thamani ya nguvu ya msalaba iletayo ukombozi ndani ya mtu,badala yake wameyakumbatia mafundisho manyonge na madhaifu kwa kujipa matumaini kwamba mtu akifa ataombewa na kupata msamaha wa ondoleo la dhambi.

Wanasahau kwamba imeandikwa "bora wafu wafao katika BWANA maana hao watafufuliwa siku ya mwisho".

Maana yake ni watu waliokufa katika Kristo Yesu.

Hakuna siku ya mwisho nyingine, bali ni sasa,hizi ndizo nyakati za mwisho ambazo Bwana Yesu yuaja upesi kuja kulinyakua kanisa lake,ambapo kabla ya ujio wake atawaandaa watakatifu wake ili wapate kumpokea mawinguni.

Hata wale wafu waliokufa katika BWANA ambao maandiko yanawataja, watafufuliwa kwanza ili waungane na walio hai,waliolikiri Jina Langu.Hawa ni wateule Wangu na watakatifu WANGU, niliopendezwa nao.(JESUS SPEAKS HIMSELF THROUGH ME).

Wale waliolikataa Jina langu ,na wale walio vuguvugu;wale waniitao BWANA,BWANA.Lakini hapo hapo wanajihudhurisha kwa miungu ,hao sina haja nao.(Yesu anaongea saa hii).

Nitawakataa, nitawatema, hawataingia RAHANI Mwangu,maana hawa ni wafu wanaoishi. Hawajafa katika BWANA wala hawaishi katika maisha matakatifu. (Roho yake imeongea ndani yangu,kuweni makini watu wa Mungu).

Kumbuka Andiko "waache wafu wazikane. ".Hawa ni wafu maana hawana walijualo, linaloendelea katika UFALME WA MUNGU.

Hawajui saa wala dalili za kuja kwa Mwana wa Adamu.Akili zao na fahamu zao haziwazi yaliyo ya Mungu, bali hujitaabisha na mambo ya dunia na kujihudhurisha kwa shetani.

WANAZIKANA KWA NAMNA GANI?

Roho wa umauti anawasubiria ili aweze kuwavaa na kuwachukua maana hawana kinga wala zuio au kizuizi chochote. Yeye asiye na Yesu ana roho wa umauti anatembea naye,anasubiri apate chanzo na sababu ili amvae na kuondoka naye.

Kuna wengine wameandikiwa umauti au kifo na wazazi wao,ndugu zao, Rafiki zao,na jamaa zao KAMA KAFARA LA UTAJIRI NA MALI.

Shetani hupenda kujifananisha na Mungu. Jinsi Yesu alivyotolewa kafara kama ondoleo la dhambi ya Ulimwengu, ndivyo hivyo hivyo shetani apendavyo kupewa kafara ya damu ya mtu.

Kafara ya damu ya mtu ina thamani kubwa kuliko damu ya mnyama,Kwasababu ina uhusiano na damu ya Yesu.Damu ya Yesu ina uungu mkuu sana,hivyo wote walio na Yesu wana damu kama Yake.

Mtu wa Mungu nisome kwa umakini sana hapa.

Maandiko yanasema,Yesu alisema yeyote atakayeyafanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni,huyu ndiye ndugu yangu,na umbu langu,na mama yangu.Umbu kwa lugha nyingine ni dada.

Kwahiyo watu hawaitwi ndugu pasipo kuwa na vinasaba vya damu.

Unadhani kwanini sisi Watanzania huwa tunaitana kaka na dada? Maana tunachukuliana kama ndg wamoja. Kiroho sisi ni ndg sana,ndio maana utasikia ndg yetu,zetu Watanzania wamepatwa na shida fulani tuwasaidie.

Sasa twende kwa Yesu kwa mtiririko wa hapo juu.

Tumerithi ufalme wa Mungu kupitia imani ya baba yetu Ibrahimu,Yesu ni ukoo wa Yuda mtoto wa Yakobo,Yakobo ni mjukuu wa Ibrahimu.

Yesu anatokea katika shina la Daudi ,ambalo ni ukoo wa Yuda. Hivyo basi Yesu alikuwa na damu ya kibinadamu kamili kwasababu pia alizaliwa na mwanamke kama vile ambavyo watoto wote huzaliwa na mwanamke.

Kwahiyo kitendo cha Yesu kusema sisi tulio wake ni ndugu zake,maana yake katika imani tunakuwa katika ukoo mmoja na Baba yake ndiye Baba yetu pia. Glory to God, hallelujah!!!

Kwahiyo katika ulimwengu wa roho kinaumbika kitu kipya.Maana hata maandiko yanasema sisi tumefanyika viumbe vipya ndani ya Yesu.Tumebadilishwa kutoka ule utu wa kale na kuwa mpya ndani ya Kristo Yesu.

Tunafanyika kuwa watoto wa Mungu kwasababu tumebadilishwa na kuwa na sifa kama za Mungu wetu aliyetuumba. Kwahiyo kila kitu chetu ni kipya.

Damu yetu ni mpya kwasababu imetakaswa upya, imechujwa na kuwa safi na damu halisi.

Kwahiyo hii damu ndio ambayo shetani anaiwinda usiku na mchana ili aweze kuipata na kuichukua. Hii ina nguvu kuliko damu ya viumbe vyote.

Wanyama hawana damu safi,salama,na yenye thamani kama damu ya mtu;mtu aliyeokoka. Hii damu akiinywa shetani inampa nguvu na mafunuo kujua kitu gani kinaendelea katika ulimwengu wa roho wa NURUNI.

Yesu alisema Yeye ni nuru ya Ulimwengu.Kwahiyo katika vinasaba vya damu yake zipo chembe chembe ambazo zimebeba maono na mafunuo yenye taarifa sahihi za siri za mbingu.

Kwa kuwa Yesu anao ndugu zake ambao ni watoto wake,ambao ni watoto wa Mungu, basi hujikuta damu Yake iko sawa sawa na ndugu zake hawa,watu waliomkiri au waliokiri Jina Lake.

Lasivyo asingesema, sisi ni ndugu zake.Na ndugu zake wote ni wana wa Mungu walio ndani ya Yesu.Yesu ni ukoo wa watoto wote waliozaliwa mara ya pili kwa ajili ya Mungu.

Kwahiyo Yesu anawakilisha ukoo wa Mungu kwa watoto wa Mungu, akiwa Yeye ndiye mzaliwa wa kwanza. Ndio maana shetani anapenda kuwashikilia watoto wote waliozaliwa wakiwa wa kwanza,Kwasababu ni malango.

Ni malango kwasababu ni kielelezo cha Yesu Kristo. Kama alivyo Lango la baraka,uzima wa milele na mrithi wa viti vyote vya Enzi vya baba yetu.

Mtoto wa kwanza akiwa ni lango la laana,basi watoto wote watakaofuata watapata laana na mikosi.Labda tu kwa neema ya msalaba na damu iliyomwagika msalabani ipate kuwakomboa na kuwaweka huru.

Mtoto wa kwanza akiwa ni baraka ,halafu yuko upande wa Mungu ;Yaani yuko ndani ya Yesu.Shetani hupenda damu yake maana anajua atapata taarifa zote zilizomo kwake na kujua mpango wa Mungu ili aweze kumuibia na kisha kumakwamisha.

Kuna watoto wanaozaliwa na Nuru ya ulimwengu. Hawa tangu wakiwa tumboni mwa mama zao tayari Mungu alishawapaka mafuta.

Maandiko yanasema kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa;nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.

Angalia hapa Kumbe Mungu anawajua watoto wake. Shetani naye akishawajua anaanza utaratibu wa kuwashika. Hawezi kuwashika Wala kuwamiliki pasipokuwa na ridhaa ya wazazi,ndugu au jamaa zake.

Atakachokifanya ni kumshawishi mzazi kupitia kwa wachawi,waganga wa kienyeji, wazee wa mila na waaguzi waonao kwa kutumia mapepo ya utambuzi.

Kwamba wamtoe huyo mtoto madhabahuni kwao;kisha yeye watampatia nyota ya utajiri.

Hata kama ni cheo, au mafanikio mengine, lakini mafanikio yoyote huleta mali na vitu zikiwemo fedha. Hivi vitu vyote au wingi wa vitu mbalimbali, au wingi wa mali ni UTAJIRI.

Kwasababu ya tamaa ya mwanadamu ya kupenda pesa na utajiri hujikuta anamtoa au anawatoa watoto wake ili wawe kafara ya ngekewa yake.

Wapendwao kutolewa kafara huwa ni mabinti. Kwasababu hawa huwa ni rahisi kutoa damu zao kama sadaka kwa njia nyingi tofauti na watoto wa kiume ambao wao damu zao ni mpaka wapate ajali na vifo vyao.

Hawa watoto wa kike damu zao huanza kutoka pale wanapovunja ungo, damu ya ubikra, damu ya hedhi ya kila mwezi, damu ya wakati wa kujifungua, ajali n.k.

Kwahiyo wao wana damu nyingi na njia nyingi ya kutoa damu tofauti na wenzao wa kiume. Shetani anawapenda hawa wa kike kwa kuwa maungo yao ni rahisi kuwaingilia kwa kutumia tendo la ngono.

TENDO LA NGONO ni Agano rahisi kwa kuwa anakuwa anaziunganisha NAFSI za hawa watoto wa kike na mapepo yake,au waume wa kipepo.

Kwahiyo shetani anavyojua hawa watoto wana damu yenye uhusiano na Yesu ndipo hupenda kutumia Agano lenye nguvu na gumu kufunguka ambalo ni Agano la UMAUTI.

Hapa anamuapisha mzazi kwamba aseme binti yake/zake amewatoa moja kwa moja kwa mfalme mungu mkuu wa dunia (shetani) ili awe mume wao milele na milele na asikae akakiuka ndoa hii halali.
Wanaambatanisha kwamba kilichofungwa na Mungu mwanadamu asikifungue/asikitenganishe. (Wanaomba kinyume).

Akitaka kuivunja madhara yampate ikiwemo KIFO, kama jinsi mkataba ulivyoandikwa na cheti cha ndoa kilivyoandikwa ya kwamba binti yangu/zangu fulani na fulani nimewaozesha kwa mungu mkuu ambaye mume wenu atakuwa mume aitwaye PEPO MAUTI AU JINI MAITI.

Kwa kujua thamani ya maji yaliyomwagika msalabani. Wanatumia maji waliyooshea maiti, tena maiti iliyooza,kisha wanamnyesha huyu mtoto au watoto kwamba hii ni nadhiri na yamini kwamba sasa maji haya ya maiti yanakuunganisha na mume wako/wenu pepo maiti.

Hawataishia hapo tu,bali watamuosha au kuwaosha hawa watoto kwa kutumia hayo hayo maji waliyooshea maiti ili wamtakase katika ulimwengu wa giza kwa ajili ya kuolewa na huyo jini maiti.

Mambo yote haya yanafanyika kwa ajili ya kuua utu wa ndani,kuharibu nguvu za asili za ile damu ya Yesu ili anavyozidi kukua na kuongezeka na kupata maarifa asije akawasumbua.

Hapa ndipo KARAMA,VIPAWA,NDOTO NA NYOTA za watoto wa Mungu huanza kupotea, huandamwa na mikosi,nuksi kwa kila anachokifanya huwa hakifanikiwi.

Kwasababu yale maji yaliyooshea maiti iliyooza ndio hutumika kuleta roho za kuzaa mapooza na kumharibia maisha yake yote.

Mungu naye hayuko mbali huanza kumtafuta huyu mtoto/watoto wake.Hapa vita huibuka. Yeye anamtaka, na shetani hataki kumtoa, anadai alikabidhiwa na mzazi au wazazi wake.

Anatoa vifungu vyote vya mikataba,viapo na maagano waliyokubaliana na wazazi wake.

Mungu anaona isiwe taabu anaanza kumpa maarifa ya kutoka kwenye hivyo vifungo.

Njia rahisi, si nyingine bali damu ya Yesu. Kadri anavyozidi kutumia damu ya Yesu ndivyo yale maagano yaliyofanywa yanavyozidi kutoweka.Kwasababu ile damu ya huyu binti inazidi kuwa na nguvu kuzidi maagano yao yaliyofanyika au ambayo yalikuwa yakifanyika kwa kuchinja mnyama wa kafara.

Shetani anasema nilitumia maji ya maiti iliyooza, kwahiyo huyu atatakasika vipi?

Mungu ana maarifa zaidi ya shetani, Mungu anasema tumia maji yaliyomwagika msalabani kujiosha na kujtakasa.

Hapa ndipo nira huanza kukatika na kulegea hadi kuisha. Na zile nafsi za watu wote waliokuwa wamejiunganisha hapo kwenye hilo agano la utajiri ukatika pia.

Hapa itategemea waliapa viapo gani,kama ni viapo vya vifo, basi nafsi zao hukatika na mauti huwafikia Maana wao hawana damu iliyo safi na takatifu kama ya hawa waliokombolewa.

Kwahiyo huwa ni nafsi zao kupotea, sadaka zao ni damu yao.Shetani hapa hana msamaha;lazima uondoke maana anasema ulizipenda mali zangu kwahiyo huna budi kufa.

Vifo vya namna hii huwa havizuiliki maana huwa ni vya ghafla sana kwasababu vinasababishwa na huyo jini mauti au pepo mauti anayekuwa ni mauti katika mwili ila roho yake inafanya kazi kwa usaidizi wa mapepo mengine.

Turudi nyuma kidogo.

Na wanasema jinsi maiti alivyo wa baridi na mwili wa huyu binti uwe wa baridi,maisha yake yawe ya baridi ,asikae akawa na moto kwa kila akifanyacho.

Shetani hatendi kazi nje ya laana. Ni lazima kwanza aue vitu vya kiroho vilivyomo ndani ya mtu halafu apandikize roho nyingine ambazo ziko kinyume na mpango wa Mungu.

Kazi ya shetani na sifa kuu ya shetani ni kuiba, kuua na uongo.Anadanganya kwa kutenda kinyume na matarajio ya mwanadamu kisha anaua mpango wa Mungu ambao uko juu ya huyo mtu.

Mali za shetani hazidumu,utajiri wa shetani una mwisho wake.Lakini utajiri wa Mungu hauna mwisho wala ukomo;maana Yeye ndiye chanzo cha utajiri na mali.Shetani hana mali ispokuwa azipate kwa kuiba vitu walivyonavyo watoto wa Mungu.

KUNA WATU WANAFANYA VIAPO VYA KAFARA ZA NAFSI NA ROHO ZAO KWA AJILI YA MALI,UTAJIRI,MVUTO NA UMAARUFU.

Mtoto wa Mungu Kumbuka kule juu kichwa cha somo kilisemaje.Hapa ndipo tunakuja kwenye kiini cha somo.Kule nilikuwa ninawapitisha kwenye msingi wa haya maagano.

Wanafanya viapo hivi au vya namna hii kwa kujitoa wao kafara ili kwamba siku ikitokea mtu aliyekuwa ametolewa kafara akafunguka na kuyavunja maagano waliyokubaliana;basi wao ndio watumike kama mbadala wake.

Yaani zile nafsi za roho za watu wengine au ndugu,na jamaa zao walizokuwa wamezitoa kama sadaka za kafara kwa shetani,siku zikikombolewa kwa nguvu ya msalaba wa BWANA YESU basi wao hawana budi kutumikia kile kiapo chao cha awali.

Hapa ndipo watu hawa hujikuta wanadaiwa hizo mali,mvuto,utajiri,UMAARUFU, na cheo,na kwa kuwa walishaapa kwamba wao ndio watakuwa mbadala wake,hawawezi tena kupewa nafasi ya kuwatoa wengine.

Huwa wanaapa kwamba siku mtu huyu/hawa wakifunguka katika Kristo, basi mimi sina budi kuwa kafara kama mbadala wake.

Huwa wanajiaminisha na kuwa na ujasiri wa kufanya hivyo kwa vile wanajua vifungo walivyoviweka juu ya huyo mtu,havitawahi kuondolewa kamwe.

Lakini ashukuriwe Mungu aonaye sirini na kutujulisha mambo ya gizani. Jinsi anavyowapenda watu wake hata akaamua kumtoa mwanaye wa pekee ili awe KAFARA kwa ajili ya watu wake.

Naye si mwingine bali ni Yesu Kristo aliye hai.Yeye alivyokufa msalabani ilikuwa ni kafara ya ukombozi kwa wanadamu wote wa ulimwengu, ambao watahitaji msaada wake.

Hii kafara yake ndio inayoua nguvu za wale watu wote waliowatoa kafara ya viapo vya nafsi na roho ndugu zao au watoto wao au jamaa zao.

Kwa kuwa wao walitolewa kafara ya nafsi na roho kwa ajili ya utajiri,mali,na mvuto au cheo na umaarufu, hapa pia ukombozi wake unafanyika kwa njia ya Ukombozi wa kuuzwa nafsi yangu/zetu kwa shetani na baba,mama,kaka,mjomba,dada,bib na babu kwa kutumia kafara ya Yesu pale msalabani.

Hii ni lazima iandane na kanuni waliyoitumia kama ni kiapo, kivunjwe kwa kiapo.Kama ni sadaka ivunjwe kwa sadaka ,kama ni kafara ivunjwe kwa kafara katika ulimwengu wa Nuru,maana yote ya kwao yalifanyika katika ulimwengu wa giza.

TUSOME AYUBU 2:4
Shetani akamjibu BWANA,na kusema ,Ngozi kwa Ngozi,naam, yote aliyonayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.

Kwahiyo shetani anavyokupa mali anategemea au anakupa kiapo cha kujitoa uhai iwapo kama utashindwa kukitunza kiapo chako na makubaliano yenu.

Ndio maana nikasema ni kiapo cha nafsi na roho kama kafara kwa ajili ya utajiri na mali,viapo vyako vinavyokuwa vikubwa, ndivyo na maagano yako yanavyozidi kuwa makubwa zaidi.

Maagano yako yanavyokuwa makubwa zaidi ndivyo na sadaka zako za kafara zinavyozidi kuwa nyingi na kubwa zaidi. Mtu haapi kwa shetani pasipo hakikisho la jambo analotaka kulifanya. Lazima kuwepo na kusudi au lengo.

Watu hawaendi kwenye ibada au maombi pasipo kusudi ndani ya mioyo yao;lazima wawe na dhamira iliyo ndani ya mioyo yao ambayo inawapelekea kwenda ibadani na kutaka maombi.

Dhamira hiyo ndio kusudi.Sasa tunaposema mtu anajitoa nafsi na roho kwa ajili ya utajiri,mali,mvuto,umaarufu, cheo au hata uchawi na uganga mkuu, ndio huo uhai anausema AYUBU.

KWANINI NI UHAI KWA AJILI YA UTAJIRI?
Kwasababu,nafsi inatunza roho,na roho ndio uhai wenyewe.Na mahali nafsi ya mtu ilipo ndipo mali yake ipo hapo.

Kwahiyo hawa watu wanatunza viapo vyao vya mali kwa kuzitoa au kuziweka nafsi na roho zao rehani ili mali zao zisiweze kupotea. Ili pia mtu waliyemuibia asiweze kuzidai.

Na ikitokea akaanza kuzidai basi umauti umkute;maana yeye alitolewa kama kafara kwa ajili ya mali za yule aliyeapa viapo vya nafsi na roho kwa ajili ya mali.

Ikitokea huyu aliyetolewa akawazidi nguvu na kuzichukua mali zake; ndipo ule usemi wa shetani unajidhihirisha,kwamba Ngozi kwa Ngozi na yote uliyonayo utayatoa kwa ajili ya uhai wako.

Lazima ajitoe yeye uhai wake,kwasababu hana mali tena,hana mtu tena wa kumtoa kafara maana si kila mtu unaweza kumtoa kafara, wengine damu zao ni chafu shetani hazihitaji.

Kwahiyo hapa inabidi wewe ndiye ufe kama mbadala wake.Tena mbaya zaidi yule aliyezikomboa yuko ndani ya Kristo;wanakuwa wanaona hakuna uwezekano tena wa kuzipata, maana nguvu zake hawaziwezi.

Shetani anamwambia uliapa kwamba utalizilinda, kwamba huyu uliyemtoa kafara hataweza kukuzidi nguvu,na uliapa hautanipa mwingine maana hakuna aliyekuwa na damu ya utakatifu kama huyu.

Sasa si mali zangu,si sadaka yako ya kafara, vyote vimeondoka, sasa ninauhitaji uhai wako mikononi mwangu,maana uliapa na kusaini HATI YA KIFO.Hivyo huna ujanja tena wa kutoka katika kiapo hiki

Hapa mtu hawezi kuchomoka tena.Hana jinsi tena ya kukwepa. Ndipo hujikuta mtu amekauka hapo hapo pasipo mjadala. Watu wanaapa hivi viapo pasipo kujua madhara yake huko mbeleni.
......................................................................

OMBA NAMI KWA IMANI SALA HII:

Sasa ikiwa wewe ni mtoto wa Mungu uko ndani ya Yesu na unahitaji kujikomboa kutoka huko,ni vizuri na wewe kwenda na sheria,kanuni na utaratibu wao.

Wao wanafanyia gizani,wewe jiombee au fanyia nuruni.

Na wewe sema Ngozi kwa Ngozi katika kuchukua nyota yangu,mali zangu,utajiri wangu,pesa zangu,cheo changu kwa kubatilisha sadaka ya kafara ya mwili wangu kwa sadaka ya kafara ya mwili wa Yesu uliokufa msalabani.

Ngozi kwa Ngozi kuchukua nafsi yangu, roho yangu na uhai wangu kudai mali zangu na vitu vyangu vyote vilivyokuwa vimetolewa kama sadaka ya uhai,kubatilisha viapo vyao vya uhai wangu kwa kutumia uhai wa Yesu Kristo uliotolewa kama kafara ya ulimwengu pale msalabani.

Sema tena,Ngozi kwa Ngozi,kudai mali zangu ambazo ni uhai wangu uliomo katika damu yangu uliotolewa sadaka ya uhai wa damu yangu kwa shetani ,nabatilisha viapo vya hao Watu kwa kutumia sadaka ya kafara ya uhai uliomo katika damu ya Yesu.

Hii itakusaidia kuua kila chembe chembe za mawasiliano ambazo shetani alizipandikiza katika damu yako ili aweze kujua baraka zako zinazoingia ndani yako ambazo Mungu amezirejesha kwako.

Sina muda wa kutosha kufafanua sana ila twende na mtiririko huu.

Sema tena,Ngozi kwa Ngozi kwa ajili ya kubatilisha viapo vya nafsi vilivyoapwa juu yangu ili maji yaliyomo mwilini mwangu yatumike kama maji ya uzima kwa ajili ya shetani; sasa ninayabatilisha kwa kafara ya maji ya Yesu yaliyomwagika msalabani ili yanirejeshee uzima wangu maeneo yote.

Endelea kusema, Ngozi kwa Ngozi, wale wote waliodhani kwamba nitakufa siku ya kuzidai mali zangu kwa wao kujiapisha viapo vya nafsi,sasa sitakufa maana BwanaYesu alikishinda kifo kwa kafara ya msalabani,wao ndio watakufa na kuniachia baraka zangu zote.

Bwana Yesu alikishinda kifo kwa ajili yangu au yetu kwa kujitoa kafara pale msalabani, hivyo hamna mamlaka yoyote kuendelea kutushikilia katika viapo vya kafara za nafsi na roho kwa ajili ya mali na utajiri.

Ngozi kwa Ngozi: Viapo vyote vilivyoapwa kwa ajili yangu au yetu juu ya kuibiwa baraka za ku-renew au kurejesha mikataba ya kila mwisho wa mwaka ,sasa visiapwe tena kwasababu baraka zangu zinalindwa ndani ya kiapo cha damu ya Yesu iliyotolewa kafara pale msalabani.

Ngozi kwa Ngozi kwa wale wote walioapa viapo vya nafsi ili miungu izuilie baraka zetu zisiturudie, sasa miungu yote haina nguvu tena ,kwasababu kimiminika cha damu ya Yesu mara 12 iliyomwagika msalabani ninakimimina juu ya miungu 12 na miungu yote inayozuia baraka zetu iungue hadi iachie baraka zetu zote na ziturudie.

Ngozi kwa Ngozi, vile viapo vyote vilivyofanywa na wazazi ,ndugu ,jamaa na marafiki juu yetu wakaapa kwamba hata kama watakufa ,basi viapo vyao vife katika uhai wa kuendelea kutumika.

Ya kwamba hata siku moja tusikae tukazirejesha baraka zetu kama jinsi ile miili iliyofanya viapo hivyo haiwezi kurejewa na uhai tena.Ngozi kwa Ngozi kama ambavyo Yesu alirejewa na uhai katika mwili wake ,na sisi tunazirejesha baraka zetu ambazo ziko katika miili yote ambayo ni marehemu iliyokufa katika viapo vya nafsi na roho zao.

Ngozi kwa Ngozi. Vile viapo mlivyoviapa kwamba mwezi huu wa 12 hatutauvuka na kuuona mwaka mpya, tayari tumeshavuka kwa kafara ya matone 12 ya damu ya Yesu aliyekafarishwa pale msalabani.Amen.
.............................................................
Mpenzi msomaji mtoto wa Mungu hapo lazima uwe katika roho uombe haya maombi kwa imani ili uweze kutoka katika vifungo hivi vya nguvu za giza na makafara yaliyofanyika juu yako.

Ninawatahadharisha haya maombi siyo ya kitoto wala masihara yeyote aliyekuwa amememfanyia ndugu yake maagano ya namna hii, maombi haya ni upanga wa Mungu, sijui utakataje lakini habari mtaipata.

Kipindi hiki siyo cha mzaha na mimi huduma yangu ni ya kuvunja madhabahu na maagano, kwahiyo sina maombi ya rehema kwa waovu, upanga kwa upanga na jino kwa jino.

Naachiliaa moto wa Yesu kwa kila mchawi na mganga wa kienyeji na yeyote aliye na mpango wa kunitumia roho za mauti zimrudie yeye na wote waliojipanga kuwa kinyume nami.

Nawazingira wote wanisomao kwa nia ya kupata maarifa kutoka kwa Mungu uliye juu uwakinge na roho za visasi kutoka katika madhabahu za miungu yao ambazo kuanzia sasa wanaanza kuzipiga na kuzivunja katika Jina la Yesu Kristo aliye hai.

Mtoto wa Mungu ikiwa una sadaka itoe kwa imani na Mungu atakujibu katika maombi yako. Sindikiza maombi yako kwa njia ya kutoa sadaka.

Ahsante Bwana Yesu kwa ajili ya hizi roho ambazo nimezikomboa kwa mamlaka ya Jina lako,nazikukabidhi uzitunze na kuzilinda isipotee hata roho moja mpaka siku ile unarudi uikute iko kundini na uweze kuinyakua na kwenda nayo juu mbinguni kwa Baba,Amen.

MUNGU AWABARIKI SANA WATOTO WA MUNGU.
Haloooo hii ni kiboko ubarikiwe sana mtumishi wa mungu na akuongezee upako na rehema kwa masomo mazito mazito kam haya
 
Haloooo hii ni kiboko ubarikiwe sana mtumishi wa mungu na akuongezee upako na rehema kwa masomo mazito mazito kam haya
Amen! Ahsante sana,ubarikiwe sana na wewe pia kwa jinsi unavyofuatilia masomo haya pasipo kukoma. Na watu wote mnaotufuatilia hapa Jamvini katika madhabahu hii Mungu awabariki sana na kuwatendea kadri ya mahitaji yenu myaombayo katika njia ya haki.


Kuanzia wiki hii nitakuwa ninawaombea wale wenye safari za mikoani kwa ajili ya safari kwenda kula sikukuu nyumbani na kwingineko Mungu awaepushe na ajali ,mwende kwa furaha na mrudi katika furaha yenu hiyo hiyo katika Jina la Yesu Kristo aliye hai.

Mfikapo huko msiache kutoa sadaka kwa ndugu,jamaa,marafiki na watumishi wa Mungu walio karibu nanyi mtakaoguswa kuwapatia, na Mungu atawajibu kupitia madhabahu hii.

Kama huna sadaka lakini uliandaa zawadi kwa ajili ya wapendwa wako,basi hiyo zawadi igeuze iwe sadaka na muombe Roho Mtakatifu akupe njia sahihi za mafanikio yako kupitia hiyo sadaka.Hasa wazazi msiache kuwafurahisha katika hiki kipindi.

Nawaambia hivi,mwakani maisha yenu hayatakuwa kama mlivyo sasa maana maadui zenu wote watakuwa chini ya nyayo zenu kupitia maombi haya na sadaka hiyo katika madhabahu hii.

Kama hujui kuomba,sema Mungu ninaomba unijibu kupitia maombi ya mtumishi wako 7seven, basi toa sadaka yako na kuwa na amani,hakika Bwana Yesu atakutendea katika unyoofu wa moyo wako,mabalaa, nuksi na mikosi haitakupata kamwe,hautakufa kwa ajali wala ugonjwa wowote ule katika Jina la Yesu Kristo aliye hai. Uwe hai kuanzia sasa.Amen.
 
BWANA YESU ASIFIWE WATU WA MUNGU.
Ninamshukuru Mungu mimi ninaendelea vizuri katika kumtumikia Mungu ndani ya Yesu Kristo, Mungu anazidi kunipigania hata sasa niko hai katika uzima na afya tele.

Nimeguswa kusema kitu katika madhabahu hii na Roho Mtakatifu ili nikiseme, wacha na mimi nikiseme, maana BWANA amenipa kibali cha kukisema.

Neno la Nabii wa Mungu aliye hai huja kwa kusema na kufundisha,kusema kwake ndio nguvu yake au nguvu ya Mungu kupitia kinywa chake. Nabii anasema Neno la Mungu kwa watu wa Mungu, na hilo neno linakuwa kama alivyolitamka.

Ukiwa Nabii wa Mungu hutakiwi kupindisha maneno au kuongea kwa unafiki,kama Ndiyo iwe Ndiyo Kweli, kama siyo na iwe siyo kweli.

Nabii kutamka laana na baraka,kwake ni kitu chepesi sana,Mchungaji yeye kazi yake ni kuchunga wenye kutamkiwa laana na baraka kwa kinywa cha nabii au wachawi. Hawa wote ni wake hawezi kuwabagua.

Mchungaji kazi yake ni kuwaombea rehema na neema watu wote walio kundini mwake,ndio maana ni rahisi sana kujeruhiwa kiroho chake kwasababu anachunga kondoo na mbwa mwitu waliovaa ngozi za kondoo, siyo rahisi kuwafukuza hata kama atawagundua, sana sana atakachokifanya ni kuwaombea huku akiwa anasubiria kuona labda kuna siku moja watabadilika.

Lakini nabii hayuko hivyo yeye akiambiwa tamka laana,ataitamka hiyo laana haijalishi italeta madhara gani kwa huyo mtu,akiambiwa tamka baraka ataitamka hivyo hivyo,kwasababu kanuni yake hapaswi kwenda kinyume na Mungu wake.

Kinywa cha nabii kina nguvu wakati kinywa cha Mchungaji kina rehema na maombolezo siku zote.

Na adhabu zinatofautiana kati ya nabii na Mchungaji,nabii anaweza akafanya kosa asisamehewe kutokana na viapo vyake,ukaribu wake na Mungu wake,lengo la huduma yake,njia zake kwa Mungu wake,ila Mchungaji anaweza kusamehewa kwa urahisi kutokana na kundi lake na maombi yake ambayo amekuwa akiyaomba ya rehema.

Kila nabii wa Mungu ana viapo ambavyo hatakiwi kuvifanya nje ya mpango wa Mungu, na missions zake anazotakiwa kuzifanya kwa ajili ya kazi ya Mungu, tofauti na Mchungaji.

Mungu ametutofautisha hivyo,kwahiyo tunatakiwa kuheshimiana kulingana na kipawa na huduma ulichojaaliwa na huyo Mungu umtumikiaye.

Siyo suala la mtu akuletee habari za mtumishi fulani,na wewe pasipo uhakika kutoka kwa Roho Mtakatifu uanze kumtukana na kumtabiria maovu kwa kupitia akili zako pasipo muongozo wa Roho wa Mungu.

Utaadhibiwa. Kwenye utumishi tumetofautiana katika viwango,heshimu mafuta yaliyoko juu ya mwenzako. Mungu hana ubaguzi ukienda katika njia zisizo haki utaadhibiwa haijalishi wewe ni mtumishi mkubwa kiasi gani.

Lakini akiwepo Mchungaji mzee,Muinjilisti, Mwalimu, Mtume na Nabii au Askofu, akamuita nabii na kumkanya kwa habari zake mbaya alizozishuhudia kwa watu na kwa Roho wa Mungu, yapaswa amsikilize maana neno la mzee lina hekima kuliko busara za kijana.

Amuonye katika njia za haki na faragha na siyo kumuiabisha hadharani. Sote tunahitaji muongozo wa wazee wetu katika imani kwasababu hiyo hekima wamepewa na Mungu wetu aliye juu.

Ila atendaye hila kwa maslahi yake binafsi atalipwa kwa hila maana Mungu hapendezwi na mtu mnafiki.

Nisiwachoshe ndugu zangu ,Mungu hapendi uonevu katika maisha yetu ya utumishi, Mungu hapendi kuona watumishi wake aliowapaka mafuta wanashambuliwa kwasababu zsizo na mashiko.

SOMA.NYAKATI 1:16:22.Akisema,msiwaguse Masihi wangu ,wala msiwadhuru nabii zangu.

KWANINI NIMEANZA KUSEMA HIVI?

Mungu amenipa huduma ya kuwaambia kweli ndugu zangu Waislamu,Wakristo na wasio na dini,kwamba waambie wajitayarishe kwamba ule wakati uliomriwa umekaribia kutimia.

Hivyo ninawahitaji watu Wangu niwakute wamejitakasa na nikifika niwanyakue katika unyakuo wa kanisa langu.Waambie mimi sina dini,rangi,kabila,dhehebu wala Taifa, yeyote aliye mkamilifu wa moyo ndiye nitaondoka naye na kumponya na moto wa Jehanamu.

Ndio maana alisema mtu asije akawadanya kwamba mwana wa Adamu yuko katika mlima huu au ule, mkiambiwa hivyo msitoke.

Maana ya mlima huu na ule ,ni sehemu ya kimwili, kwa mfano usikie wanasema Yesu tumemuona yuko Mwanza, Arusha,Dar,Bukoba au Mbeya kwenye kanisa fulani. Hiki ndicho alichokuwa anakitahadharisha.

Ila ukisikia watumishi wanasema kwamba Yesu yuko mahali hapa hawamaanishi mwili,wanamaanisha nguvu zake zipo hapo ukienda ukaombewa unapokea sawa sawa na imani yako.

Kwahiyo ninamtaka mtu atofautishe hapa.

Mimi baada ya kuwaambia Waislamu kwamba Mungu anawapenda na amesema mjitayarishe kuna watu hawajapenda kabisa mpaka waliamua kufanya yale madua yao ya KISHETANI ili kuiangamiza roho yangu isiendelee kuusema ukweli.

Nikasema mnavyofanya sivyo,hawakukoma, mwenzao akakatiliwa mbali, wakadhani labda imetokea bahati mbaya wakafanya tena,Mungu akanionyesha, nikawaambia acheni mimi ni chanda cha Mungu.Hawakukoma.

Nikasema kwa kutabiri Mungu amenionyesha kwamba hamtapinga hoja zangu kwa maadiko bali mnaandaa ajenda za kunipinga kwa njia ya waraka, kweli wiki mbili nyingi wakaanza kutuma watu kuanzisha nyuzi za kutaka kuidogoisha Biblia.Unabii ukatimia.

Baadhi ya post zangu wakazifuta ili watu wasisome hasa ndugu zangu Waislamu wasipate kuijua kweli na kuamini na kupona na moto wa Jehanamu. Wanataka wawapeleke watu Jehanamu.

Wengine wakashirikiana na watu waliouza nafsi zao kwa shetani kwa ajili ya utajiri ili wapinge mambo ya Mungu. Walipiga kelele
sana,Mungu akaniambia mpe unabii kiongozi wao ambaye ana magroup ya Whsap na baadhi ya mitandoa anayewadanganya watu.Nilitoa huo unabii bado kutimizwa.

Hawakomi. Juzi wamefanya maombi ya kitaifa, agenda yao ya siri ni kunitumia kikosi cha mapepo, maana akina makata, subiani, Sharifu yalishindwa kuja mmoja mmoja.

Hicho kikosi kweli kilikuja. Lakini majibu yake waliyapata. Nikatoa unabii tena,kwamba Mungu amesema hivi hamtakula mwakani .

Sasa niwaambie ndugu zangu.Wamekaa kikao wanataka kumtumia Mchungaji, Baba Askofu wa kanisa fulani ili ahubiri kwa habari ya kwamba huyu ajiitaye mtumishi 7seven mafundisho yake ni ya uongo.

Wamepanga kumpelekea hela kwenye bahasha kubwa ya khaki ili anipondee kisha imani ambayo iko juu ya ndugu zangu Waislamu ipotee, na wao baadaye wapotee katika ziwa la moto.

Ninajiuliza swali.Hawa Waislamu na wasio na dini na baadhi ya Wakristo mnaotaka wapotee mtafaidika nini? Roho zao mnazotaka kuzipoteza zimewakosea nini hawa waja wa Mola?

Kama mimi ni muongo,kwanini wanapowauliza hiki kitu ninachokipigia kelele hamuwajibu katika maadiko badala yake mnataka kunifanya nionekane muongo?

Hapa na mimi ndio ninasema siachi, pamoja ya kwamba nina ndugu zangu wa damu ambao ni Waislamu,hata hawa wengine ni ndugu zangu,sitaacha kuwaambia ukweli kuhusu uongo mliowaaminisha miaka yote hiyo wakati nyinyi ukweli mnaujua.

Itanifaidisha nini nikiwaambia ndugu zangu wa damu Waislamu ukweli wakaokolewa halafu wakawaacha ndugu zao wengine Waislamu wasiokolewe?

Ndugu zangu wa damu ambao ni Waislmu wana ndugu zao wa damu Waislamu katika dini ,ambao wote wamefanyika kuwa ndugu zangu.Siwabagui.

Mbona huku mtaani ninaomba nao na wanafunguliwa katika Jina la Yesu Kristo aliye hai na hawadhuriki, iweje hawa wa mtandaoni hamtaki waombewe na kuokolewa?

SASA NINASEMA HIVI HAMTAKULA 2024.

SOMA.2 WAFALME 7:2
Basi yule akida,ambaye Mfalme,alikuwa akitegemea mkono wake,akamjibu yule mtu wa Mungu, akasema,Tazama,kama BWANA angefanya madirisha mbinguni, Je! Jambo hili lingewezakana?

Akamwambia,Angalia,wewe utaliona kwa macho yako lakini hutakula.

Mnaona hapo watoto wa Mungu hata mimi ninasema waovu wote wanaoitafuta nafsi yangu,roho yangu na watu wote waliomuamini Kristo kupitia hapa,hakika! Mungu nafsi zao na roho zao ninaziomba mikononi mwangu nizione zikiwa zimelala kuzimu baada ya kushindwa kula kuanzia sasa.

BWANA unasema Mfalme Suleimani alikufurahisha baada ya kutokukuomba roho za maadui zake hata ukambiriki na ambavyo hakukuomba. Lakini mimi sivyo niombavyo ,mimi ninazitaka hizi roho zikatiliwe mbali ili Jina lako litukuzwe mbinguni na duniani maana wewe hakuna aliye Mungu mkuu kama Wewe uliye ndani yangu uyashuhudiaye haya.

Wote wenye mwili mpaka waseme hakika kweli huyu ni Mungu,kwanini watu wafanye dhihaka na ukaidi kwasababu ya kutokuwaadhibu? Kanisa lako linatukanwa na waovu, wanalinajisi jina lako,wanawaua nabii zako,wanawaudhi watumishi wako,ila Mungu unawakalia kimya.

Sasa ninakuomba ehee BWANA Mungu mwenye enzi uamke na jicho lako litazame uovu wao,na uwajibu katika matendo yao maovu. Hawa waliotumwa mitandaoni siwaombei uwaue maana hawajui walitendalo, ila ninawaombea wakose amani na hofu iwatawale daima mpaka watambue kwamba walikigusa chanda cha Mungu ambacho ni mimi mtumishi wako.

Lakini wale waovu,waongo, wanafiki na wauwaji walio sema na nafsi yangu kwa mabaya,kwa hila ili wanitende mauti, ninasema hivi malaika aje na upanga wake ulio mkuu mwakani hakuna kula. Hawatakula na wasile kabisa.Usiwape msamaha wamepanga kuikwamisha huduma yako na kuwapoteza watu wako.

2WAFALME 7:17.

Naye Mfalme akamweka yule akida,ambaye alimtegemea mkono wake; awasimamie watu langoni; na watu wakamkanyaga langoni, akafa; kama alivyosema yule mtu wa Mungu, aliyenena hapo mfalme alipomshukia.

18.Ikatukia kama vile yule mtu wa Mungu alivyomwambia mfalme, vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, na kipimo cha unga mzuri kwa shekeli, ndivyo vitakavyokuwa kesho (Mimi ninasema mwaka kesho 2024),panapo saa hii katika lango la Samaria (Mimi ninasema Tanzania).

19.na yule akida akamjibu mtu wa Mungu, akasema,sasa tazama,kama BWANA angefanya madirisha mbinguni, Je! Jambo hili lingewezekana? Akasema, Angalia wewe utaliona kwa macho ,lakini HUTAKULA.

20.Ikampata vivyo hivyo ,kwa kuwa watu wakamkanyaga langoni,akafa.

Na mimi ninasema ninawakanyaga kwa nyayo za Bwana Yesu mnayemtukana kila siku kwamba siyo mwana wa Mungu, awavunje shingo hadi pumzi zenu ziwatoke, na msile. Hakika hamtakula.

Kwanini mnasema uongo kuhusu Yesu? Kwanini wanapowauliza kuhusu Yesu kwamba mbona watu wakiombewa kwa Jina la Yesu wanapona na wakati maombi yenu hayawaponyi?

Mnajibu eti Wakristo wanalo jini moja likuu lenye nguvu ndio maana tunawashindwa.

Enyi wanafiki wapumbavu msiokuwa na akili watumishi wa shetani, inashindikana nini kuwaambia ukweli kwamba huyo ndiye Yesu Kristo mwenye nguvu kuliko majini yetu na mashetani yetu?

Mnapata faida gani kusema uongo.? Sasa kwa kinywa cha BWANA ninasema hivi mwakani hamtakula pamoja na uongo wenu wote huo kwa Jina la Yesu aliye hai. Sasa hivi ni jino kwa jino, upanga kwa upanga wa Mungu.

Mlinichokoza wenyewe. Mgenijibu kwa hoja na siyo kunitumia mapepo. Ngozi kwa Ngozi, mnanitumia mapepo na majini ,nami nayarudisha kwa kuwatumia malaika wa Mungu awakatilie mbali na majini yenu,na mwakani hakuna Kula.

2 WAFALME 19:33

Njia ile ile aliyoijia kwa njia iyo hiyo atarudi zake,wala hataingia ndani ya mji huu ,asema BWANA.

35.Ikawa usiku uo huo malaika wa BWANA alitoka, akakiingia kituo cha Waashuri (Masheikh, Maimamu, na Maustaadh),akawapiga watu mia na themanini na tano elfu.Na watu walipoondoka asubuhi na mapema,kumbe! Hao walikuwa maiti pia.

Mnasema Biblia ina madhaifu na uongo,sasa nimeitumia kwa maombi yangu na mistari yake,kama ni ya uongo,mtakula mwakani. Lakini kama nimetumwa na Mungu nami ni Nabii wake hapa Tanzania kuwapasha habari njema ndugu zangu Waislamu,narudia tena hamtakula kuanzia mwakani ,asema BWANA.

Kwa kuwa Wewe BWANA ni mkuu kuliko miungu yote ya masheikh ,maustaadh na Maimamu wafanyao uongo na udanganyifu kwa watu wako,ambao ni Waislamu tena wafanyao ibada kwa ukamilifu wakidhani wanaongozwa na watumishi wako wa kweli,kumbe wanamuabudu shetani kwa uongo wa hawa wapuuzi na wapumbavu wanaoyategemea majini na mapepo eti ndio walinzi wao,sasa Mungu uwashukie kwa ghadhabu yako ya moto wa Mbinguni, mwakani hakuna kula.

1 NYAKATI 16:25.
Kwa kuwa BWANA ni mkuu mwenye kusifiwa sana; Na wa kuhofiwa kuliko miungu.

26.Maana miungu yote ya watu si kitu; Lakini BWANA ndiye aliyezifanya mbingu.

27.Heshima na adhama ziko mbele zake,Nguvu na furaha zipo mahali pake.

Ikiwa Mungu ndiye uliyezifanya mbingu na nchi kwa mikono yako,mwanadamu kiumbe dhaifu ni kitu gani mbele zako,BWANA?

Ikiwa mimi ni mtumishi wako,umeniita katika wito ulio mkuu,katika kunificha Nyikani zaidi ya miaka 10,umenilinda na waovu,na wanyama mwitu, shetani na miungu yote ya baba zangu imelala chini kwasababu ya mapigo yako,sasa iweje hawa mashetani waliovaa miili ya wanadamu washindwe kupigwa na pigo lifulikalo.?

Ninaweka pingamizi na kuwaondolea kifuniko cha kwenda kwenye maombi ili waombewe rehema kwasababu ya uovu wao, maana hata ukiwasamehe hawataacha kuwaza mabaya juu yangu na juu ya watu wako,ninakuomba kuanzia mwakani hawa wasile. Hakika hamtakula.!!

Ninajua wewe ni Mungu ushikaye maagano yako kuanzia kizazi cha Adamu,Nuhu, Ibrahimu,Isaka,na Yakobo,mtumishi wako mfalme Daudi hata Yesu.Mpaka tukampata Roho Mtakatifu bado ni agano lako kuu.

Sasa hili ni agano langu kuu na wewe juu ya hawa watu waovu walioitafuta roho yangu usiku na mchana wakanitaabisha na kukosa amani,moyo wangu ukaugulia kwa maumivu hata kutaka kupasuka kumbe ni kwasababu nimeisema kweli uliyonituma niiseme jinsi lilivyo pasipo unafiki, lakini wakataka kuizuia na bado wana mpango wa kutaka kuizuia.

Huyo Baba Askofu ninakuomba umfunge kinywa chake asiongee kitu,asipokee hongo yao wanayoiandaa, asiseme laana wala neno ovu juu yangu maana BWANA hutakuwa radhi naye ,kwasababu hayaongei ya Yesu bali tumbo lake,mtu awezaje kumpinga aliye katika upande wako ambao wote wanasimama mbele ya kiti chako cha enzi?

Usimsikilize ili na yeye asije akshindwa kula na kondoo wake wakatawanyika.Je Bwana Yesu mtoto aweza kuomba mkate na ukampa sumu? HAPANA,mimi ninakuomba neno hili ulitende maana wasema wanipenda, wanaoniudhi wakuudhi wewe pia. Kama wanipenda ninakutaka neno moja tu hawa watu wanaojaribu kuwazuilia Waislamu wasikujue na kuokolewa mwakani wasile. Naam! Hakika hamtakula.

1 WAFALME 8:23
Akasema,Ee BWANA, Mungu wa Israel,hakuna Mungu kama Wewe mbinguni juu wala duniani chini;ushikaye maagano na rehema kwa watumishi wako,waendao mbele zako kwa mioyo yao yote.

Ninawawekea hofu kuanzia sasa,wapigane wenyewe kwa wenyewe kila wasikiapo uvumi wowote kuhusu Jina lako kupitia katika madhabahu zako Mungu uliye hai waanguke kwa upanga wa Roho Mtakatifu mpaka kila mmoja atakaposema hakika Wewe ndiye Mungu, miungu yao si kitu.

ISAYA 37:7
Tazama,nitatia roho ndani yake,naye atasikia kivumi,na kurudi hata nchi yake mwenyewe, nami nitamwangusha kwa upanga katika nchi yake mwenyewe.

Wote mnaopinga mpango wa Mungu juu ya watu wake,mtarudi katika nchi yenu ambayo ni Tanzania,upanga wa Mungu utaondoka nanyi na baada ya kutokula mtakufa na kuzikwa hapa hapa katika nchi yenu wenyewe na hata Yesu akirudi hamtafufuliwa maana mmekufa katika uovu wa kutotaka ndugu zangu Waislamu waokolewe na moto wa Jehanamu.

Ngozi kwa Ngozi kwa jinsi mlivyonitumia upanga wa shetani nami ninaurudisha upanga wenu kisha ninatuma upanga wa Yesu uwakatilie mbali ili neno la BWANA lithibitike ndani ya waja wake ili wapate kuamini na kuokolewa.

Ninayabariki maombi haya ,ninayafunika maombi haya kwa moto wa Yesu kila atakayetaka kuomba kinyume kwangu au kwa mtu yeyote mwenye haki wa Mungu,naye awe miongoni mwa watu wasiokula mwakani 2024.Naam! Hawatakula kabisa kwasababu wameliasi neno la Mungu.

Maombi haya ninaomba myatunze kama ushahidi katika simu zenu,katika misikiti yote, makanisa yote, nyumba za Waislamu zote za Waislamu wamchao BWANA katika roho na kweli hata kama huwa wanajihudhurisha misikitini.

Ili yatakapoanza kutokea wasije wakawadanganya eti wanashindwa kupumua kwasababu ya mabadiliko ya tabia ya nchi, wapi ni MUNGU HUYO ANAWASHUGHULIKIA KIMYA KIMYA.HAKIKA MWAKANI 2024 HAMTAKULA. AMEN.

MUNGU AWABARIKI SANA,JIONI NJEMA.
 
AGANO LA KISHETANI LA UTAJIRI,MALI,CHEO,MVUTO(MAFANIKIO) KATIKA MAUTI ZA NAFSI NA ROHO ZA HAO WAUTAFUTAO UTAJIRI:

17.12.2023.

Bwana Yesu apewe sifa sana.Nimerudi tena kwenu kuwapasha habari za ufalme wa Mungu na siri za kuzimu ili mpate kuzijua na kuzishinda hila za shetani.

Ujumbe huu unakuja kwenu hasa watumishi wa Mungu aliye hai ili mpate mbinu au kama mnazo hizi basi mziboreshe kupitia hiki nitakachokisema hapa.

Siyo kwamba mimi ni msemaji wenu,siyo kwamba mimi ninajua kuliko nyinyi,au siyo kwamba mimi ninafundishwa peke yangu,la hasha! Msinifikirie vibaya,mimi ninasema kitu nilichoambiwa nikiseme.

Kwako kinaweza kisiwe na manufaa, ila kwa wengine ni msaada mkubwa sana,hivi kwanini mtumishi wa Mungu huduma yako haikui, kwanini watu wakucheke kwamba huduma yako ni ya kimasikini?

Yaani wachawi wachezee kwenye madhabahu yako na kuinajisi halafu wewe uhubiri watu wasipone ,bado uyakatae haya maarifa.?

Baada ya masomo haya ninakuomba mtumishi wa Mungu tusaidiane kuzivunja hizi madhabahu za miungu,wachawi,waganga wa kienyeji na washirikina wote wapate kubarikiwa na moto wa Mungu.

Yaani tuwabariki kwa moto,tuwabariki kwa upanga wa Mungu, tuwabarikie kwa damu ya Yesu viwachome hadi wateketee mpaka wafuasi wao waseme huu ni ubarikio wa namna gani.

Naam! Nasi tutawaambia huu ni ubarikio wa moto wa Mungu, damu ya Yesu,Jina la Yesu na upanga wa Mungu kuanzia 2024 mpaka Yesu anarudi kutunyakua.

Mizaha sasa imetosha juu ya kanisa la BWANA na kwa watu wa Mungu. Mtumishi wa Mungu bila kuwa na hasira ya kimungu huwezi kutoka kwenye hayo maagano yanayokukwamisha wala hautaweza kutoboza.

Omba kama kichaa, omba kama mwendawazimu, usiweke silaha chini mpaka uone maadui zako wamesalimu amri,huwezi kuvikwa taji kama hujapata ushindi. Ushindi wa kwanza ni hapa hapa duniani. Usimchekee shetani,usimuonee aibu shetani atakuiabisha ukweni kwako.

Ukali wenu nitauona kwenye matokeo ya shuhuda zenu.Mimi nimevipiga vita sana nikiwa nyikani, ninajua hiki ninachokiongea, hakuna miungu wala shetani itakayoweza kusimama mbele yangu na ikashinda, Kwasababu Yesu aliye ndani yangu ni mkuu kuliko wote,lazima nimtukuze mahali popote pale atakaponituma, ila ninaanzia hapa nyumbani kwanza.

MUNGU AWABARIKI SANA:
Mwili wa mwanadamu usiokuwa na uhai huitwa maiti. Ni maiti kwasababu umekutwa na umauti.

Umauti ni roho ya kifo ambayo humvaa mtu na kuondoka na uhai wake.Uhai huu ukiondolewa ndani ya nafsi ya mtu ndipo mtu huwa mfu, nafsi isiyokuwa na uhai wala utambuzi wa aina yotote ile.

Mwili hupelekwa na kuhifadhiwa katika nyumba yake ya milele iitwayo Kaburi.Na hapa ndipo neno la BWANA linapotimizwa kwamba umeumbwa kwa udongo, utarudi tena udongoni.

Hakuna mwanadamu awezaye kukishinda kifo isipokuwa Yesu peke yake na wale waliopata neema mbele za macho ya BWANA.

Hawa ni wale walioandikiwa haki mbele za kiti cha enzi cha Mungu Baba.

Hata shetani na mbinu zake zote hawezi kukishinda wala kukiepuka;kwasababu tangu kipindi kile alivyoasi, alishahukumiwa adhabu ya kifo katika lile ziwa likawalo moto.

Watenda dhambi wote hukumu yao ilishatoka, ambayo ni kifo cha umauti wa milele pamoja na shetani.Labda wale watakaopata neema ya kuisikia Injili ya Yesu,hao ndio watakaourithi Uzima wa Milele.

Waliokufa katika dhambi,wote ni mauti ya milele maana watatupwa katika lile ziwa liwakalo moto usiku na mchana pasipo kuzimika.

Pamoja na kwamba mtu anakufa mwili wake na roho yake kwenda sehemu nyingine.Lakini kuna watu wengine wanaandikiwa VIFO WAKINGALI HAI,WANATEMBEA HUKU ROHO WA UMAUTI AKIWA JUU YAO.

Hapa kinachosubiriwa ni muda ,saa na sababu itakayomsababishia umauti. Vifo vya namna hii haviji pasipo sababu maalumu.

Inaweza kuwa ni sababu ya uchawi, visasi, chuki,wivu,maagano ya kichawi yaliyofanywa huko nyuma na wazazi au mababu za hao watu.n.k.

Wengine ni laana inayotoka ndani ya ukoo wa huyo mtu.Huyu roho akishamvaa mtu hujikuta anaanza kujichukia, kukata tamaa na kukosa matumaini, hukosa raha na uchangamfu, hupenda kujitenga na watu,pia ni mtu wa kuwa na wasiwasi wakati wote.

Akimtazama mtu usoni huwa na aibu aibu huku akiangalia chini,huyu ni roho anakuwa anajua unamuona ila ni ngumu kung'amua katika mwilini, uso wa huyu mtu hukosa nuru na kuwa na mpauko usoni kama rangi ya maiti.

Huwezi kumshinda roho wa mauti isipokuwa kwa njia ya nguvu ya MSALABA WA BWANA YESU.

Yesu alivyosema pale msalabani "IMEKWISHA",Alikuwa anaitoa roho yake ili kwenda kuzimu alipo shetani kumnyang'anya funguo za uzima na mauti na kuisimamisha juu ya watu wake wote dunia nzima.

Yesu alikufa msalabani kwa ajili ya watu wote, watu wasidanganye eti alikufa kwa ajili ya Wakristo tu,siyo kweli yeyote anayeliamini Jina lake ni wake Yeye Kristo.

Pale ilikwisha nguvu,ilikosa uhalali wa kutuua kwasababu hati zote za mashtaka zilipigiliwa pale msalabani. Tulipewa uzima wa Milele mara tu baada ya kufufuka na kwenda(kupaa) juu mbinguni kwa Baba yetu.

Wanadamu wanapotea na kufa vifo ambavyo siyo vyao wala vifo vya haki kwasababu hawana maarifa ya Mungu, na kwa kuwa wamemkataa Yesu na kuamua kumfuata shetani.

Shetani amewadanganya na kuwapotosha macho yao ili wasipate kuona na kuijua kweli,neema na thamani ya nguvu ya msalaba iletayo ukombozi ndani ya mtu,badala yake wameyakumbatia mafundisho manyonge na madhaifu kwa kujipa matumaini kwamba mtu akifa ataombewa na kupata msamaha wa ondoleo la dhambi.

Wanasahau kwamba imeandikwa "bora wafu wafao katika BWANA maana hao watafufuliwa siku ya mwisho".

Maana yake ni watu waliokufa katika Kristo Yesu.

Hakuna siku ya mwisho nyingine, bali ni sasa,hizi ndizo nyakati za mwisho ambazo Bwana Yesu yuaja upesi kuja kulinyakua kanisa lake,ambapo kabla ya ujio wake atawaandaa watakatifu wake ili wapate kumpokea mawinguni.

Hata wale wafu waliokufa katika BWANA ambao maandiko yanawataja, watafufuliwa kwanza ili waungane na walio hai,waliolikiri Jina Langu.Hawa ni wateule Wangu na watakatifu WANGU, niliopendezwa nao.(JESUS SPEAKS HIMSELF THROUGH ME).

Wale waliolikataa Jina langu ,na wale walio vuguvugu;wale waniitao BWANA,BWANA.Lakini hapo hapo wanajihudhurisha kwa miungu ,hao sina haja nao.(Yesu anaongea saa hii).

Nitawakataa, nitawatema, hawataingia RAHANI Mwangu,maana hawa ni wafu wanaoishi. Hawajafa katika BWANA wala hawaishi katika maisha matakatifu. (Roho yake imeongea ndani yangu,kuweni makini watu wa Mungu).

Kumbuka Andiko "waache wafu wazikane. ".Hawa ni wafu maana hawana walijualo, linaloendelea katika UFALME WA MUNGU.

Hawajui saa wala dalili za kuja kwa Mwana wa Adamu.Akili zao na fahamu zao haziwazi yaliyo ya Mungu, bali hujitaabisha na mambo ya dunia na kujihudhurisha kwa shetani.

WANAZIKANA KWA NAMNA GANI?

Roho wa umauti anawasubiria ili aweze kuwavaa na kuwachukua maana hawana kinga wala zuio au kizuizi chochote. Yeye asiye na Yesu ana roho wa umauti anatembea naye,anasubiri apate chanzo na sababu ili amvae na kuondoka naye.

Kuna wengine wameandikiwa umauti au kifo na wazazi wao,ndugu zao, Rafiki zao,na jamaa zao KAMA KAFARA LA UTAJIRI NA MALI.

Shetani hupenda kujifananisha na Mungu. Jinsi Yesu alivyotolewa kafara kama ondoleo la dhambi ya Ulimwengu, ndivyo hivyo hivyo shetani apendavyo kupewa kafara ya damu ya mtu.

Kafara ya damu ya mtu ina thamani kubwa kuliko damu ya mnyama,Kwasababu ina uhusiano na damu ya Yesu.Damu ya Yesu ina uungu mkuu sana,hivyo wote walio na Yesu wana damu kama Yake.

Mtu wa Mungu nisome kwa umakini sana hapa.

Maandiko yanasema,Yesu alisema yeyote atakayeyafanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni,huyu ndiye ndugu yangu,na umbu langu,na mama yangu.Umbu kwa lugha nyingine ni dada.

Kwahiyo watu hawaitwi ndugu pasipo kuwa na vinasaba vya damu.

Unadhani kwanini sisi Watanzania huwa tunaitana kaka na dada? Maana tunachukuliana kama ndg wamoja. Kiroho sisi ni ndg sana,ndio maana utasikia ndg yetu,zetu Watanzania wamepatwa na shida fulani tuwasaidie.

Sasa twende kwa Yesu kwa mtiririko wa hapo juu.

Tumerithi ufalme wa Mungu kupitia imani ya baba yetu Ibrahimu,Yesu ni ukoo wa Yuda mtoto wa Yakobo,Yakobo ni mjukuu wa Ibrahimu.

Yesu anatokea katika shina la Daudi ,ambalo ni ukoo wa Yuda. Hivyo basi Yesu alikuwa na damu ya kibinadamu kamili kwasababu pia alizaliwa na mwanamke kama vile ambavyo watoto wote huzaliwa na mwanamke.

Kwahiyo kitendo cha Yesu kusema sisi tulio wake ni ndugu zake,maana yake katika imani tunakuwa katika ukoo mmoja na Baba yake ndiye Baba yetu pia. Glory to God, hallelujah!!!

Kwahiyo katika ulimwengu wa roho kinaumbika kitu kipya.Maana hata maandiko yanasema sisi tumefanyika viumbe vipya ndani ya Yesu.Tumebadilishwa kutoka ule utu wa kale na kuwa mpya ndani ya Kristo Yesu.

Tunafanyika kuwa watoto wa Mungu kwasababu tumebadilishwa na kuwa na sifa kama za Mungu wetu aliyetuumba. Kwahiyo kila kitu chetu ni kipya.

Damu yetu ni mpya kwasababu imetakaswa upya, imechujwa na kuwa safi na damu halisi.

Kwahiyo hii damu ndio ambayo shetani anaiwinda usiku na mchana ili aweze kuipata na kuichukua. Hii ina nguvu kuliko damu ya viumbe vyote.

Wanyama hawana damu safi,salama,na yenye thamani kama damu ya mtu;mtu aliyeokoka. Hii damu akiinywa shetani inampa nguvu na mafunuo kujua kitu gani kinaendelea katika ulimwengu wa roho wa NURUNI.

Yesu alisema Yeye ni nuru ya Ulimwengu.Kwahiyo katika vinasaba vya damu yake zipo chembe chembe ambazo zimebeba maono na mafunuo yenye taarifa sahihi za siri za mbingu.

Kwa kuwa Yesu anao ndugu zake ambao ni watoto wake,ambao ni watoto wa Mungu, basi hujikuta damu Yake iko sawa sawa na ndugu zake hawa,watu waliomkiri au waliokiri Jina Lake.

Lasivyo asingesema, sisi ni ndugu zake.Na ndugu zake wote ni wana wa Mungu walio ndani ya Yesu.Yesu ni ukoo wa watoto wote waliozaliwa mara ya pili kwa ajili ya Mungu.

Kwahiyo Yesu anawakilisha ukoo wa Mungu kwa watoto wa Mungu, akiwa Yeye ndiye mzaliwa wa kwanza. Ndio maana shetani anapenda kuwashikilia watoto wote waliozaliwa wakiwa wa kwanza,Kwasababu ni malango.

Ni malango kwasababu ni kielelezo cha Yesu Kristo. Kama alivyo Lango la baraka,uzima wa milele na mrithi wa viti vyote vya Enzi vya baba yetu.

Mtoto wa kwanza akiwa ni lango la laana,basi watoto wote watakaofuata watapata laana na mikosi.Labda tu kwa neema ya msalaba na damu iliyomwagika msalabani ipate kuwakomboa na kuwaweka huru.

Mtoto wa kwanza akiwa ni baraka ,halafu yuko upande wa Mungu ;Yaani yuko ndani ya Yesu.Shetani hupenda damu yake maana anajua atapata taarifa zote zilizomo kwake na kujua mpango wa Mungu ili aweze kumuibia na kisha kumakwamisha.

Kuna watoto wanaozaliwa na Nuru ya ulimwengu. Hawa tangu wakiwa tumboni mwa mama zao tayari Mungu alishawapaka mafuta.

Maandiko yanasema kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla hujatoka tumboni, nalikutakasa;nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.

Angalia hapa Kumbe Mungu anawajua watoto wake. Shetani naye akishawajua anaanza utaratibu wa kuwashika. Hawezi kuwashika Wala kuwamiliki pasipokuwa na ridhaa ya wazazi,ndugu au jamaa zake.

Atakachokifanya ni kumshawishi mzazi kupitia kwa wachawi,waganga wa kienyeji, wazee wa mila na waaguzi waonao kwa kutumia mapepo ya utambuzi.

Kwamba wamtoe huyo mtoto madhabahuni kwao;kisha yeye watampatia nyota ya utajiri.

Hata kama ni cheo, au mafanikio mengine, lakini mafanikio yoyote huleta mali na vitu zikiwemo fedha. Hivi vitu vyote au wingi wa vitu mbalimbali, au wingi wa mali ni UTAJIRI.

Kwasababu ya tamaa ya mwanadamu ya kupenda pesa na utajiri hujikuta anamtoa au anawatoa watoto wake ili wawe kafara ya ngekewa yake.

Wapendwao kutolewa kafara huwa ni mabinti. Kwasababu hawa huwa ni rahisi kutoa damu zao kama sadaka kwa njia nyingi tofauti na watoto wa kiume ambao wao damu zao ni mpaka wapate ajali na vifo vyao.

Hawa watoto wa kike damu zao huanza kutoka pale wanapovunja ungo, damu ya ubikra, damu ya hedhi ya kila mwezi, damu ya wakati wa kujifungua, ajali n.k.

Kwahiyo wao wana damu nyingi na njia nyingi ya kutoa damu tofauti na wenzao wa kiume. Shetani anawapenda hawa wa kike kwa kuwa maungo yao ni rahisi kuwaingilia kwa kutumia tendo la ngono.

TENDO LA NGONO ni Agano rahisi kwa kuwa anakuwa anaziunganisha NAFSI za hawa watoto wa kike na mapepo yake,au waume wa kipepo.

Kwahiyo shetani anavyojua hawa watoto wana damu yenye uhusiano na Yesu ndipo hupenda kutumia Agano lenye nguvu na gumu kufunguka ambalo ni Agano la UMAUTI.

Hapa anamuapisha mzazi kwamba aseme binti yake/zake amewatoa moja kwa moja kwa mfalme mungu mkuu wa dunia (shetani) ili awe mume wao milele na milele na asikae akakiuka ndoa hii halali.
Wanaambatanisha kwamba kilichofungwa na Mungu mwanadamu asikifungue/asikitenganishe. (Wanaomba kinyume).

Akitaka kuivunja madhara yampate ikiwemo KIFO, kama jinsi mkataba ulivyoandikwa na cheti cha ndoa kilivyoandikwa ya kwamba binti yangu/zangu fulani na fulani nimewaozesha kwa mungu mkuu ambaye mume wenu atakuwa mume aitwaye PEPO MAUTI AU JINI MAITI.

Kwa kujua thamani ya maji yaliyomwagika msalabani. Wanatumia maji waliyooshea maiti, tena maiti iliyooza,kisha wanamnyesha huyu mtoto au watoto kwamba hii ni nadhiri na yamini kwamba sasa maji haya ya maiti yanakuunganisha na mume wako/wenu pepo maiti.

Hawataishia hapo tu,bali watamuosha au kuwaosha hawa watoto kwa kutumia hayo hayo maji waliyooshea maiti ili wamtakase katika ulimwengu wa giza kwa ajili ya kuolewa na huyo jini maiti.

Mambo yote haya yanafanyika kwa ajili ya kuua utu wa ndani,kuharibu nguvu za asili za ile damu ya Yesu ili anavyozidi kukua na kuongezeka na kupata maarifa asije akawasumbua.

Hapa ndipo KARAMA,VIPAWA,NDOTO NA NYOTA za watoto wa Mungu huanza kupotea, huandamwa na mikosi,nuksi kwa kila anachokifanya huwa hakifanikiwi.

Kwasababu yale maji yaliyooshea maiti iliyooza ndio hutumika kuleta roho za kuzaa mapooza na kumharibia maisha yake yote.

Mungu naye hayuko mbali huanza kumtafuta huyu mtoto/watoto wake.Hapa vita huibuka. Yeye anamtaka, na shetani hataki kumtoa, anadai alikabidhiwa na mzazi au wazazi wake.

Anatoa vifungu vyote vya mikataba,viapo na maagano waliyokubaliana na wazazi wake.

Mungu anaona isiwe taabu anaanza kumpa maarifa ya kutoka kwenye hivyo vifungo.

Njia rahisi, si nyingine bali damu ya Yesu. Kadri anavyozidi kutumia damu ya Yesu ndivyo yale maagano yaliyofanywa yanavyozidi kutoweka.Kwasababu ile damu ya huyu binti inazidi kuwa na nguvu kuzidi maagano yao yaliyofanyika au ambayo yalikuwa yakifanyika kwa kuchinja mnyama wa kafara.

Shetani anasema nilitumia maji ya maiti iliyooza, kwahiyo huyu atatakasika vipi?

Mungu ana maarifa zaidi ya shetani, Mungu anasema tumia maji yaliyomwagika msalabani kujiosha na kujtakasa.

Hapa ndipo nira huanza kukatika na kulegea hadi kuisha. Na zile nafsi za watu wote waliokuwa wamejiunganisha hapo kwenye hilo agano la utajiri ukatika pia.

Hapa itategemea waliapa viapo gani,kama ni viapo vya vifo, basi nafsi zao hukatika na mauti huwafikia Maana wao hawana damu iliyo safi na takatifu kama ya hawa waliokombolewa.

Kwahiyo huwa ni nafsi zao kupotea, sadaka zao ni damu yao.Shetani hapa hana msamaha;lazima uondoke maana anasema ulizipenda mali zangu kwahiyo huna budi kufa.

Vifo vya namna hii huwa havizuiliki maana huwa ni vya ghafla sana kwasababu vinasababishwa na huyo jini mauti au pepo mauti anayekuwa ni mauti katika mwili ila roho yake inafanya kazi kwa usaidizi wa mapepo mengine.

Turudi nyuma kidogo.

Na wanasema jinsi maiti alivyo wa baridi na mwili wa huyu binti uwe wa baridi,maisha yake yawe ya baridi ,asikae akawa na moto kwa kila akifanyacho.

Shetani hatendi kazi nje ya laana. Ni lazima kwanza aue vitu vya kiroho vilivyomo ndani ya mtu halafu apandikize roho nyingine ambazo ziko kinyume na mpango wa Mungu.

Kazi ya shetani na sifa kuu ya shetani ni kuiba, kuua na uongo.Anadanganya kwa kutenda kinyume na matarajio ya mwanadamu kisha anaua mpango wa Mungu ambao uko juu ya huyo mtu.

Mali za shetani hazidumu,utajiri wa shetani una mwisho wake.Lakini utajiri wa Mungu hauna mwisho wala ukomo;maana Yeye ndiye chanzo cha utajiri na mali.Shetani hana mali ispokuwa azipate kwa kuiba vitu walivyonavyo watoto wa Mungu.

KUNA WATU WANAFANYA VIAPO VYA KAFARA ZA NAFSI NA ROHO ZAO KWA AJILI YA MALI,UTAJIRI,MVUTO NA UMAARUFU.

Mtoto wa Mungu Kumbuka kule juu kichwa cha somo kilisemaje.Hapa ndipo tunakuja kwenye kiini cha somo.Kule nilikuwa ninawapitisha kwenye msingi wa haya maagano.

Wanafanya viapo hivi au vya namna hii kwa kujitoa wao kafara ili kwamba siku ikitokea mtu aliyekuwa ametolewa kafara akafunguka na kuyavunja maagano waliyokubaliana;basi wao ndio watumike kama mbadala wake.

Yaani zile nafsi za roho za watu wengine au ndugu,na jamaa zao walizokuwa wamezitoa kama sadaka za kafara kwa shetani,siku zikikombolewa kwa nguvu ya msalaba wa BWANA YESU basi wao hawana budi kutumikia kile kiapo chao cha awali.

Hapa ndipo watu hawa hujikuta wanadaiwa hizo mali,mvuto,utajiri,UMAARUFU, na cheo,na kwa kuwa walishaapa kwamba wao ndio watakuwa mbadala wake,hawawezi tena kupewa nafasi ya kuwatoa wengine.

Huwa wanaapa kwamba siku mtu huyu/hawa wakifunguka katika Kristo, basi mimi sina budi kuwa kafara kama mbadala wake.

Huwa wanajiaminisha na kuwa na ujasiri wa kufanya hivyo kwa vile wanajua vifungo walivyoviweka juu ya huyo mtu,havitawahi kuondolewa kamwe.

Lakini ashukuriwe Mungu aonaye sirini na kutujulisha mambo ya gizani. Jinsi anavyowapenda watu wake hata akaamua kumtoa mwanaye wa pekee ili awe KAFARA kwa ajili ya watu wake.

Naye si mwingine bali ni Yesu Kristo aliye hai.Yeye alivyokufa msalabani ilikuwa ni kafara ya ukombozi kwa wanadamu wote wa ulimwengu, ambao watahitaji msaada wake.

Hii kafara yake ndio inayoua nguvu za wale watu wote waliowatoa kafara ya viapo vya nafsi na roho ndugu zao au watoto wao au jamaa zao.

Kwa kuwa wao walitolewa kafara ya nafsi na roho kwa ajili ya utajiri,mali,na mvuto au cheo na umaarufu, hapa pia ukombozi wake unafanyika kwa njia ya Ukombozi wa kuuzwa nafsi yangu/zetu kwa shetani na baba,mama,kaka,mjomba,dada,bib na babu kwa kutumia kafara ya Yesu pale msalabani.

Hii ni lazima iandane na kanuni waliyoitumia kama ni kiapo, kivunjwe kwa kiapo.Kama ni sadaka ivunjwe kwa sadaka ,kama ni kafara ivunjwe kwa kafara katika ulimwengu wa Nuru,maana yote ya kwao yalifanyika katika ulimwengu wa giza.

TUSOME AYUBU 2:4
Shetani akamjibu BWANA,na kusema ,Ngozi kwa Ngozi,naam, yote aliyonayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.

Kwahiyo shetani anavyokupa mali anategemea au anakupa kiapo cha kujitoa uhai iwapo kama utashindwa kukitunza kiapo chako na makubaliano yenu.

Ndio maana nikasema ni kiapo cha nafsi na roho kama kafara kwa ajili ya utajiri na mali,viapo vyako vinavyokuwa vikubwa, ndivyo na maagano yako yanavyozidi kuwa makubwa zaidi.

Maagano yako yanavyokuwa makubwa zaidi ndivyo na sadaka zako za kafara zinavyozidi kuwa nyingi na kubwa zaidi. Mtu haapi kwa shetani pasipo hakikisho la jambo analotaka kulifanya. Lazima kuwepo na kusudi au lengo.

Watu hawaendi kwenye ibada au maombi pasipo kusudi ndani ya mioyo yao;lazima wawe na dhamira iliyo ndani ya mioyo yao ambayo inawapelekea kwenda ibadani na kutaka maombi.

Dhamira hiyo ndio kusudi.Sasa tunaposema mtu anajitoa nafsi na roho kwa ajili ya utajiri,mali,mvuto,umaarufu, cheo au hata uchawi na uganga mkuu, ndio huo uhai anausema AYUBU.

KWANINI NI UHAI KWA AJILI YA UTAJIRI?
Kwasababu,nafsi inatunza roho,na roho ndio uhai wenyewe.Na mahali nafsi ya mtu ilipo ndipo mali yake ipo hapo.

Kwahiyo hawa watu wanatunza viapo vyao vya mali kwa kuzitoa au kuziweka nafsi na roho zao rehani ili mali zao zisiweze kupotea. Ili pia mtu waliyemuibia asiweze kuzidai.

Na ikitokea akaanza kuzidai basi umauti umkute;maana yeye alitolewa kama kafara kwa ajili ya mali za yule aliyeapa viapo vya nafsi na roho kwa ajili ya mali.

Ikitokea huyu aliyetolewa akawazidi nguvu na kuzichukua mali zake; ndipo ule usemi wa shetani unajidhihirisha,kwamba Ngozi kwa Ngozi na yote uliyonayo utayatoa kwa ajili ya uhai wako.

Lazima ajitoe yeye uhai wake,kwasababu hana mali tena,hana mtu tena wa kumtoa kafara maana si kila mtu unaweza kumtoa kafara, wengine damu zao ni chafu shetani hazihitaji.

Kwahiyo hapa inabidi wewe ndiye ufe kama mbadala wake.Tena mbaya zaidi yule aliyezikomboa yuko ndani ya Kristo;wanakuwa wanaona hakuna uwezekano tena wa kuzipata, maana nguvu zake hawaziwezi.

Shetani anamwambia uliapa kwamba utalizilinda, kwamba huyu uliyemtoa kafara hataweza kukuzidi nguvu,na uliapa hautanipa mwingine maana hakuna aliyekuwa na damu ya utakatifu kama huyu.

Sasa si mali zangu,si sadaka yako ya kafara, vyote vimeondoka, sasa ninauhitaji uhai wako mikononi mwangu,maana uliapa na kusaini HATI YA KIFO.Hivyo huna ujanja tena wa kutoka katika kiapo hiki

Hapa mtu hawezi kuchomoka tena.Hana jinsi tena ya kukwepa. Ndipo hujikuta mtu amekauka hapo hapo pasipo mjadala. Watu wanaapa hivi viapo pasipo kujua madhara yake huko mbeleni.
......................................................................

OMBA NAMI KWA IMANI SALA HII:

Sasa ikiwa wewe ni mtoto wa Mungu uko ndani ya Yesu na unahitaji kujikomboa kutoka huko,ni vizuri na wewe kwenda na sheria,kanuni na utaratibu wao.

Wao wanafanyia gizani,wewe jiombee au fanyia nuruni.

Na wewe sema Ngozi kwa Ngozi katika kuchukua nyota yangu,mali zangu,utajiri wangu,pesa zangu,cheo changu kwa kubatilisha sadaka ya kafara ya mwili wangu kwa sadaka ya kafara ya mwili wa Yesu uliokufa msalabani.

Ngozi kwa Ngozi kuchukua nafsi yangu, roho yangu na uhai wangu kudai mali zangu na vitu vyangu vyote vilivyokuwa vimetolewa kama sadaka ya uhai,kubatilisha viapo vyao vya uhai wangu kwa kutumia uhai wa Yesu Kristo uliotolewa kama kafara ya ulimwengu pale msalabani.

Sema tena,Ngozi kwa Ngozi,kudai mali zangu ambazo ni uhai wangu uliomo katika damu yangu uliotolewa sadaka ya uhai wa damu yangu kwa shetani ,nabatilisha viapo vya hao Watu kwa kutumia sadaka ya kafara ya uhai uliomo katika damu ya Yesu.

Hii itakusaidia kuua kila chembe chembe za mawasiliano ambazo shetani alizipandikiza katika damu yako ili aweze kujua baraka zako zinazoingia ndani yako ambazo Mungu amezirejesha kwako.

Sina muda wa kutosha kufafanua sana ila twende na mtiririko huu.

Sema tena,Ngozi kwa Ngozi kwa ajili ya kubatilisha viapo vya nafsi vilivyoapwa juu yangu ili maji yaliyomo mwilini mwangu yatumike kama maji ya uzima kwa ajili ya shetani; sasa ninayabatilisha kwa kafara ya maji ya Yesu yaliyomwagika msalabani ili yanirejeshee uzima wangu maeneo yote.

Endelea kusema, Ngozi kwa Ngozi, wale wote waliodhani kwamba nitakufa siku ya kuzidai mali zangu kwa wao kujiapisha viapo vya nafsi,sasa sitakufa maana BwanaYesu alikishinda kifo kwa kafara ya msalabani,wao ndio watakufa na kuniachia baraka zangu zote.

Bwana Yesu alikishinda kifo kwa ajili yangu au yetu kwa kujitoa kafara pale msalabani, hivyo hamna mamlaka yoyote kuendelea kutushikilia katika viapo vya kafara za nafsi na roho kwa ajili ya mali na utajiri.

Ngozi kwa Ngozi: Viapo vyote vilivyoapwa kwa ajili yangu au yetu juu ya kuibiwa baraka za ku-renew au kurejesha mikataba ya kila mwisho wa mwaka ,sasa visiapwe tena kwasababu baraka zangu zinalindwa ndani ya kiapo cha damu ya Yesu iliyotolewa kafara pale msalabani.

Ngozi kwa Ngozi kwa wale wote walioapa viapo vya nafsi ili miungu izuilie baraka zetu zisiturudie, sasa miungu yote haina nguvu tena ,kwasababu kimiminika cha damu ya Yesu mara 12 iliyomwagika msalabani ninakimimina juu ya miungu 12 na miungu yote inayozuia baraka zetu iungue hadi iachie baraka zetu zote na ziturudie.

Ngozi kwa Ngozi, vile viapo vyote vilivyofanywa na wazazi ,ndugu ,jamaa na marafiki juu yetu wakaapa kwamba hata kama watakufa ,basi viapo vyao vife katika uhai wa kuendelea kutumika.

Ya kwamba hata siku moja tusikae tukazirejesha baraka zetu kama jinsi ile miili iliyofanya viapo hivyo haiwezi kurejewa na uhai tena.Ngozi kwa Ngozi kama ambavyo Yesu alirejewa na uhai katika mwili wake ,na sisi tunazirejesha baraka zetu ambazo ziko katika miili yote ambayo ni marehemu iliyokufa katika viapo vya nafsi na roho zao.

Ngozi kwa Ngozi. Vile viapo mlivyoviapa kwamba mwezi huu wa 12 hatutauvuka na kuuona mwaka mpya, tayari tumeshavuka kwa kafara ya matone 12 ya damu ya Yesu aliyekafarishwa pale msalabani.Amen.
.............................................................
Mpenzi msomaji mtoto wa Mungu hapo lazima uwe katika roho uombe haya maombi kwa imani ili uweze kutoka katika vifungo hivi vya nguvu za giza na makafara yaliyofanyika juu yako.

Ninawatahadharisha haya maombi siyo ya kitoto wala masihara yeyote aliyekuwa amememfanyia ndugu yake maagano ya namna hii, maombi haya ni upanga wa Mungu, sijui utakataje lakini habari mtaipata.

Kipindi hiki siyo cha mzaha na mimi huduma yangu ni ya kuvunja madhabahu na maagano, kwahiyo sina maombi ya rehema kwa waovu, upanga kwa upanga na jino kwa jino.

Naachiliaa moto wa Yesu kwa kila mchawi na mganga wa kienyeji na yeyote aliye na mpango wa kunitumia roho za mauti zimrudie yeye na wote waliojipanga kuwa kinyume nami.

Nawazingira wote wanisomao kwa nia ya kupata maarifa kutoka kwa Mungu uliye juu uwakinge na roho za visasi kutoka katika madhabahu za miungu yao ambazo kuanzia sasa wanaanza kuzipiga na kuzivunja katika Jina la Yesu Kristo aliye hai.

Mtoto wa Mungu ikiwa una sadaka itoe kwa imani na Mungu atakujibu katika maombi yako. Sindikiza maombi yako kwa njia ya kutoa sadaka.

Ahsante Bwana Yesu kwa ajili ya hizi roho ambazo nimezikomboa kwa mamlaka ya Jina lako,nazikukabidhi uzitunze na kuzilinda isipotee hata roho moja mpaka siku ile unarudi uikute iko kundini na uweze kuinyakua na kwenda nayo juu mbinguni kwa Baba,Amen.

MUNGU AWABARIKI SANA WATOTO WA MUNGU.
Ubarikiwe sana mtumishi imenipasa kurudia somo hili na la mke hapo juu ili kufungua zaidi ubongo na kuelewa zaidi...

Mungu wa mbinguni akubariki pia nimebarikiwa sana na sala yako ya toba unayoweka kwenye maandiko yako mengi chini watu wanaweza kuona ni kawaida au kama utani tu ila kuna nguvu sana katika kumkiri Yesu kuwa mwokozi wa maisha yetu.
 
Namshukuru Mungu amenipa rafiki mpya ambae nikazidi kujifunza jinsi ya kumtumia anaitwa "ROHO MTAKATIFU"

Wengi wetu tumekuwa tukijua tuelekeze maombi kwa Mungu na Yesu Kristo....ila ukisoma biblia vizuri utagundua kuna Ile Roho ambayo inatuunganisha na Mungu na Yesu Kristo nae ndio Roho mtakatifu.

Roho mtakatifu akikaa ndani yetu atatufundisha jinsi ya kumtukuza na, kumsifu na kumuinua Mungu sikuzote.

Ilikuwa kama utani tu nilipewa vitabu viwili vya Benny Hinn "GOOD MORNING HOLLY SPIRIT" na kingine kinaitwa "THE ANOINTING"

Ni vitabu vizuri sana unaweza usiamini siku naanza soma hicho cha "THE ANOINTING" nilishindwa sababu ya upako uliopo moyo wangu ulikuwa unapata kiu ya ajabu isiyo ya kawaida nikashindwa kumaliza page 2...

Unajua tunaomba hatujibiwi hatujui kusali wala kuwasilisha maombi yetu ni Sawa na mwanao aje aseme "Wewe Baba usie na akili naomba daftari maana ni jukumu lako" hautaweza kumpa mtoto hitaji lake lakini mwanao akija kusema

"Pole na kazi Baba, asante kwa zile nauli unazonipa.zinanisaidia sana,pia Baba naomba unisaidie hela ya daftari ili niandike notes nifanye vizuri zaidi"

Utampa huyu mtoto hitaji lake na hiyo ndio kazi ya roho mtakatifu ndani yetu
Mfariji, msaidizi, mshauri, kiongozi, rafiki Yohana 16:7 pia warumi 8:26

kupitia kumjua roho mtakatifu nimekuja kuelewa nyimbo nyingi za dini zinamaana gani kiroho na jinsi Yesu Kristo alivyomtumia roho mtakatifu kuwapa ujumbe waimbaji wake

kuna siku huwa naskiliza wimbo wa HAUFANANISHWI Tu na moyo wangu huwa unajawa na amani ya ajabu sana

Kuna wimbo wa ROSE MUHANDO wa NDIVYO ULIVYO kuna wimbo mwingine wa MAJINA YOTE MAZURI wa Dedo deurnmerci ...pia NENA NAMI wa Marggie Dawn

Hizi nyimbo huwa roho ananifunulia namna ambavyo zinamfurahisha na kumtukuza Mungu Kwa jinsi na namna ya ajabu sana....kuna nyimbo nyingi ila hizi ni zile nilizonazo na kuona nguvu iliyopo.

Roho mtakatifu anafundisha kwa vitendo tu na hkusema Kwa maandiko kwamaana kilakitu kilashida kila ombi basi kinapatikana kwenye biblia yeye ukiomba ujibu Kwa mistari ya biblia.

Pia roho mtakatifu hutumia hatua Saba katika maombi yetu
1: kumkiri Yesu Anza kwa kumkiri Yesu ni nani (wengine huanza Baba wa Mbinguni, mfalme wa wafalme, mwingi wa rehema, utukuzwe wewe ulie kununua vitu vyote) na zingine sifa zote nzuri za Mungu zaburi 98 na 99 zinatoa namna Bora ya kumsifu Mungu.

2: Jambo la pili kufikisha hitaji lako Kwa Mungu

3: kuabudu kumsifu...hapa uoneshe upendo wako kwake... (Ninakupenda Yesu, ninakuinua juu ya vyote, kama sio wewe nisingefika hata sekunde hii, umejawa na rehema Yesu, umejawa na utukufu Messiah)

4: mahusiano binafsi na Mungu.. kumshuhudia ule ukuu wake na Faida za ule uwepo wake maishan mwako.

5: maombezi wa Wengine.....roho mtakatifu atakufunulia wa kumuombea na Jambo la kumuombea.

6: kutoa shukrani mbele za Mungu juu ya mambo yote, mazuri na mabaya kupata na kukosa kwetu.

7: kutoa sifa mbele zake...kumsifu kwa nyimbo au maneno ya sifa kuu

Nilisoma hizi hatua kwenye kitabu cha "Good morning Holly spirit" page 118 ajabu sana roho mtakatifu akijaa na nikianza kunena Kwa lugha huwa napitia stage hizi zote bila kukumbushwa yani najikuta nimegusa steps zote japo sio lazima iwe Kwa mpangilio wote ila nyingi huenda sawa sawa...

Kumkaribisha roho mtakatifu kwenye maombi kuna raha yake na tumtafute awe rafiki yetu kwamaana neno linasema aombae hupewa na atafutae huona na ambishae hufunguliwa
 
tumeishamjua Mungu na Yesu Kristo ndio safi tumjue na Roho mtakatifu kutimiza ule utatu mtakatifu wa Mungu Baba , Mungu mwana na Roho mtakatifu
 
Ubarikiwe sana mtumishi imenipasa kurudia somo hili na la mke hapo juu ili kufungua zaidi ubongo na kuelewa zaidi...

Mungu wa mbinguni akubariki pia nimebarikiwa sana na sala yako ya toba unayoweka kwenye maandiko yako mengi chini watu wanaweza kuona ni kawaida au kama utani tu ila kuna nguvu sana katika kumkiri Yesu kuwa mwokozi wa maisha yetu.
Amen! Atayeamini ndiye atakayepokea. Mambo yote ni katika imani, iwe nuruni au gizani,bado kote huko ni imani.

Na imani bila matendo imekufa.

Mambo yote huanzia rohoni,baadaye huja mwilini. Kwahiyo tuombe pasipo kukoma ili yale mambo ya rohoni yaje mwilini.

Na hapa ndipo tutaona tumeshinda katika Jina la Yesu Kristo aliye hai. Amen.
 
Back
Top Bottom