Recent content by mbugot

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Acha kusumbua watu wakuchangie kwenye harusi yako

    Kuna ambao hawawezi kukuelewa kweli, lakini haka kautamaduni kamekuwa kero kwa kweli. Ni utamaduni unaozidi kushamiri Tanzania, lakini si kwa Waafrika wote, maana najua jamii nyingi tu za kiafrika ambazo hazina utamaduni huu. Mtu anaanda bajeti ya harusi milioni 25 lakini yeye mfukoni ana mil 3...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Karibu tufahamishane kuhusu aina tofauti za bathtub, jiko, karo na vyoo

    Naomba kujua brands nzuri za vyoo vya kukaa zinazodumu kwa muda mrefu na hazina changamoto za flush kuharibika mara kwa mara
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nauza kabati la vyombo na friji dogo

    Salaam kwa wote. Nauza kabati kubwa la vyombo (kama linayoonekana pichani). Bei ni shilingi 350,000/. Kabati limetumika lakini lipo kwenye hali nzuri sana. Pia nauza friji ndogo (kama inavyoonekana pichani). Bei ni sh. 195,000/. Friji limetumika lakini linafanya kazi vizuri sana. Vitu vyote...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kuachana na chuo na kozi nayoisoma na kuanza kutafuta short kozi

    Ni wazo zuri. Maadam umeshajua interest yako ipo wapi, ni vizuri kujikita huko kuliko kupoteza muda na pesa kwenye kitu ambacho unaona hakitakusaidia. Uzuri wa short courses una concentrate kwenye eneo moja kwa muda mfupi. Ukiona umeimudu na una interest zaidi unaweza kuendelea kuchukua kozi...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye uelewa na hivi vitofali vya kuchoma vya kubandika ukutani

    Yapo ya aina mbili. Kuna yale ambayo ni matofali complete unajengea moja kwa moja (matofali ya kuchoma). Na kuna zile kama tiles ambazo unabandika ukutani kama finishing. Cheki na jamaa hawa instagram (Login • Instagram) wanatengeneza hizo za tiles za kubandika ukutani. Namba zao za simu ni 0622...
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tuache ushamba wa kurekodi video tunapokua faragha!

    Mkuu naomba unitumie pm
  7. M

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Niende kwenye ajira Serikalini au nisimimamie biashara za nyumbani?

    Wazazi wako wapo sahihi.Simamia biashara ya familia ikue zaidi na itengeneze ajira kwa wengine na hata kurithisha vizazi vyenu vitakavyokuja. Isiishie tu kwenye hizo pharmacy 2 na maduka 2. Kuna future nzuri zaidi kwenye biashara tena ambayo imeshaanzishwa na ipo "operational " kuliko kukimbilia...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

    Biashara ya cement hususan kama utakuwa unauza kwa bei ya rejareja inatoka zaidi ikiwa inauzwa na vifaa vingine vya ujenzi. Hii ni sababu wateja wengi wa ujenzi huka tayari una duka la hardware, hata kama halina vifaa vingi, unaweza kuanza na hata mifuko 100-200. Ila kwa kiasi hiki kidogo cha...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mabati kwa price list ya kiwandani

    Mabati yenye chenga za miamba(natural stone coated) yanakuwa na ukubwa gani kwa kila kipande ?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Congo (1) vs Serengeti Boys (0): Serengeti Boys yashindwa Kufuzu Fainali za Afrika

    Tumetolewa. Jamaa wametufunga goli dk ya 90.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio waliofanya dunia kufika hapa tulipo

    Mahatma Gandhi, Mama Theresa, Nelson Mandela
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nina uzoefu katika Biashara lakini mtaji wangu haukui, nifanyeje?

    Tenganisha pesa ya biashara na pesa ya matumizi yako binafsi. Faida inayopatikana kwenye biashara itumike kuongeza mtaji wa biashara na kama ukilazimika kuchukua hela ya biashara kwa matumizi nje ya biashara hakikisha unairudisha haraka iwezekanavyo. Kwa hiyo tatizo inaweza kuwa hio. Vile vile...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Tanzia: Mama wa Tupac (Afeni Shakur) afariki dunia

    "Cause when i was low you were there for me AND you never left me alone cause your cared for me." RIP
  14. M

    JamiiForums Tanzania Toyota Alteeza inauzwa

    1999 Toyota Alteeza inauzwa. Gari linatembea na liko kwenye hali nzuri. Limetembea km 98,000. Road license imelipiwa. Gari ipo Dar es salaam. Bei ni shilingi milioni 11 .
Back
Top Bottom