Hiki ndicho kitu nilichomueleza huyu jamaa mtoa mada ila haelewi kwa vile tayari ameshamezeshwa na kuingiziwa hiyo imani kwenye kichwa chake kwamba kule English medium ni ngumu sana kumnasua mtu wa aina hiyo kutoka kwenye huo mtego
Nafahamu matumizi ya lugha mkuu.
Ninachomaanisha mimi lugha si kitu cha kusema ukamie sana au utumie nguvu sana kama jamaa anavyozitukuza hizo English medium,kujua lugha mara nyingi hutegemea ujanja wa mtu au uwepesi wa kichwa chake na nchi aliyopo yaani kwa mfano umeenda English medium...
Utazunguka sana hadi upate hilo eneo linalouzwa wale majamaa wana mtandao mpana sana yaani madalali wa kuanzia Kibamba hadi Mbezi beach wanajuana akipata mmoja wote wanaambiana wewe ukitembea utafute huoni kitu hadi hela zako zinaisha kwa matumizi mengine na eneo hujapata
Sasa kama una uwezo wa kulipia 1000$ Ulaya unafuata nini.
Ulaya huwa wanakwenda watu ambao Bongo mambo yamefeli hawana dira ndio wanatafuta njia mbadala wewe kama una mishe ya kukuingizia zaidi ya Dola 1000 bongo huna sababu ya kwenda ulaya labda kama unaenda kama tourist hapo sawa
1 bedroom inacheza kati ya 1000-1500 Dollars.
Na bado ukishamgharamia hana huruma na wewe ukizingua ishu ndogo tu unapelekwa mahakamani hakuna mambo ya kumaliza kwa kuyajenga
Wanawake wapo ila ni gharama atakwambia umgharamie mahitaji yake kodi ya nyumba tu peke yake ni Dola 2000 kwa mwezi kule hakuna wanawake wa kukupa show kwa elfu 30 utamudu?
Kumpata mmiliki halali itakucost muda badala ya kutumia wiki moja itakugharimu miezi 3 au 6 ili upate na kumbuka hao wamiliki wanakuwa na uhusiano wa kibishara na madalali na hawataki kusalitiana wanawekeana viapo vya kutozungukana ukiwafuata wewe wanaficha
Kwamba ada ya milioni 2 inanishinda ama?Hebu fanya hivi tafuta nauli utembelee hata Uganda tu hapo watoto wanaongea English pure hata kabla hawajaanza shule,mabibi wa mashambani huko wanaongea fluent English ili uondoe ushamba wa kudhani kujua kiingereza ni dili.
Nimegundua hapa napoteza muda...
Waliopeleka watoto wao English medium huwa nawacheka kwa upeo mdogo wa kutochanganua mambo wamenaswa nakuingizwa kwenye mfumo wa marketing wa English medium na kuaminishwa kuwa ni shule bora wako mmojawapo ni wewe hapo uliyedanganywa kuwa English medium kuna elimu bora.
Wewe ulishawahi kuishi na...
Kuna kitu hujakielewa bado yaani iko hivi dalali amekupeleka kwenye kiwanja kisha amekupa bei ukileta ulalamishi anakwambia basi kama huwezi nenda sijakulazimisha atakuja anayemudu hapo utakuwa umekikosa kiwanja maana hauna connection na mmiliki wa kiwanja
Ni weupe ndio wameleta impact gani zaidi ya kuwatishia watu mitaani tu kwa kiingereza uchwala.
Nipaniki kwa mambo ya kitoto hivi inanisaidia nini kwa mfano?
Halafu kitu usichokijua huwezi kujipima uwezo wako wa lugha bila kukutana na watu husika wanaozungumza lugha hiyo sijui unajua hili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.