Recent content by mbu wa dengue

  1. M

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Kuna special case hutokea pale mtu alilogwa akiwa mkoani kisha anahamia Dar akiwa mgonjwa tayari ila anakuja kushtukia mbeleni wakati yuko Dar maana Dar watu wanahamia kila siku
  2. M

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    wagonjwa wanasafiri kutoka sehemu mbalimbali Dar ni makutano tu.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Ni kwq sababu kwa mazingira ya mijini watu wameachana na hayo mambo wako bize kusaka noti ila mikoani bado hayo mambo yanaendelea
  4. M

    JamiiForums Tanzania “Uchuuzi” Biashara zinazowalemaza Watanzania

    Yaani hapo anapambana na maadui wawili. 1.Mafisadi/Wala rushwa 2.Pirates/Maharamia wamepiga copy bidhaa zake wanapiga hela kupitia brand yake
  5. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya Lissu kuachiwa Huru Ijumaa tuelekezwe njia za kupita zitakazohimili Maandamano Makubwa

    Ishu sio kushinda ishu ni kwamba hiyo kesi ina utata ni kama inahusiana na mambo ya kisiasa
  6. M

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Mimi sio mchawi nimekupa ushauri tu ili kuharakisha uchunguzi wako
  7. M

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Nendq kaishi Sumbawanga vijijini au Gamboshi halafu uwaambie wazee kwamba"uchawi hakuna ni mambo ya kisaikolojia tu" halafu sikilizia matokeo ndani ya mwezi mmoja utapata majibu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Nimesoma story yako yote hata sijaona kosa alilofanya mzee wako. Kosa lipo kwenye ubongo wako kutafsiri vitu kiutofauti. Inawezekana tu sababu ikawa ni msoto wa maisha uliopitia ukatafuta root cause kisha ubongo wako ukakupa jibu kwamba sababu ni mzee wako lakini si kweli maana vijana watu wengi...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Miaka 42 sasa ya kuzaliwa na 30 ya uzoefu wa ngono sijawahi mpata mwanamke BIKRA

    Yeah Ulaya au China mtu mwenye miaka 42 anaitwa Muwekezaji au Mkurugenzi wakati bongo mtu wa umri huo asubuhi yote hii anaweka makala ya kujisifu amechakata papuchi nyingi. Anachekesha kama sio ndugu yako.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Genz mna vituko sana. Kwa hiyo unataka kuwapanga wachawi wawe wanakupa lift ya usafiri kwenda Town
  11. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya Lissu kuachiwa Huru Ijumaa tuelekezwe njia za kupita zitakazohimili Maandamano Makubwa

    Uko sahihi. Watu viherehere kama hawa ndio wanamuharibia Lisu na mwisho wa siku hawanaga impact maana hata kwenye hayo matukio huwa hawaendi wanajifungia ndani na smartphone zao huku wakisakizia watu wengine waende. Mwisho wa siku anayeteseka ni Lisu na familia yake. Yeye mwenyewe kwa akili yake...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ni kozi gani ukimuona mtu anasoma chuo unabaki unasikitika?

    Wasipotangaza Halmashauri na TFS utaenda kuomba wapi?
Back
Top Bottom