Kuna special case hutokea pale mtu alilogwa akiwa mkoani kisha anahamia Dar akiwa mgonjwa tayari ila anakuja kushtukia mbeleni wakati yuko Dar maana Dar watu wanahamia kila siku
Nendq kaishi Sumbawanga vijijini au Gamboshi halafu uwaambie wazee kwamba"uchawi hakuna ni mambo ya kisaikolojia tu" halafu sikilizia matokeo ndani ya mwezi mmoja utapata majibu
Nimesoma story yako yote hata sijaona kosa alilofanya mzee wako.
Kosa lipo kwenye ubongo wako kutafsiri vitu kiutofauti.
Inawezekana tu sababu ikawa ni msoto wa maisha uliopitia ukatafuta root cause kisha ubongo wako ukakupa jibu kwamba sababu ni mzee wako lakini si kweli maana vijana watu wengi...
Yeah Ulaya au China mtu mwenye miaka 42 anaitwa Muwekezaji au Mkurugenzi wakati bongo mtu wa umri huo asubuhi yote hii anaweka makala ya kujisifu amechakata papuchi nyingi.
Anachekesha kama sio ndugu yako.
Uko sahihi.
Watu viherehere kama hawa ndio wanamuharibia Lisu na mwisho wa siku hawanaga impact maana hata kwenye hayo matukio huwa hawaendi wanajifungia ndani na smartphone zao huku wakisakizia watu wengine waende.
Mwisho wa siku anayeteseka ni Lisu na familia yake.
Yeye mwenyewe kwa akili yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.