Recent content by mbu wa dengue

  1. M

    Bundi kwenye Paa la Nyumba Yangu na hataki kuondoka

    Duh hii ni adhabu. Sasa kuna uhusiano gani kati ya bundi na kuwasha/kuzima taa?
  2. M

    Unataka ufanikiwe?

    Tumia akili gunia nguvu kijiko na akili yako itakuwa bize kutafakari halafu utakuwa na stress hadi ufanikiwe ndicho alichokimaanisha mtoa mada.
  3. M

    Mwigulu na Lukuvi wangekuwa wanaishi majimboni mwao kusingekuwa na foleni ya kufa mtu leo Mikocheni, Mbezi Beach!

    Hakuna swali hata moja ulilojibu kiufasaha zaidi ya kurusha mashambulizi tu(attack). Haya mwenyewe umejiona ni great thinker ila kwa jinsi nilivyokuzumu unaonekana hujui hata maana ya neno fursa. Kwa uwelewa wako ni nini maana ya fursa? Fursa hupatikana wapi? Na nani huwa anawajibika kutengeneza...
  4. M

    Mwigulu na Lukuvi wangekuwa wanaishi majimboni mwao kusingekuwa na foleni ya kufa mtu leo Mikocheni, Mbezi Beach!

    Nadhani unapojibu hoja hautulizi kichwa vizuri ila unakuwa umejiandaa kimashambulizi kuliko kujibu hoja zilizopo mezani. Haya tuendelee,umesema jimboni isimani kuna barabara nzuri kama ni kweli kwa nini wasiende kuishi huko na kuzitumia hizo barabara nzuri badala ya kuja kusongamana kwenye jiji...
  5. M

    Mwigulu na Lukuvi wangekuwa wanaishi majimboni mwao kusingekuwa na foleni ya kufa mtu leo Mikocheni, Mbezi Beach!

    Majibu yako unajibu kwa kukwepesha na kukimbia hoja. Mtoa mada ameongelea kwamba ameshuhudia kufanyika kwa shughuli za msiba wa Lukuvi Dar kumesababisha foleni kisha akatoa wazo kwa nini hawa viongozi wasiishi majimboni kwao wewe unaleta habari za ujenzi wa barabara mara kumetokea ajali hiyo...
  6. M

    Mrejesho mwingine wa mke wangu, alirudi ila baadae aliondoka tena

    Jamaa bado yupo kwenye level zile za kimasai au wasukuma mtafundisha hadi mpasuke vichwa ila bado hatoelewa chochote ni kutwanga maji kwenye kinu.
  7. M

    Mwigulu na Lukuvi wangekuwa wanaishi majimboni mwao kusingekuwa na foleni ya kufa mtu leo Mikocheni, Mbezi Beach!

    Mwenzako amelalamika kuhusu foleni wewe unaongelea habari za umaskini kwani hiyo foleni insmdhuru maskini peke yake? Hoja yake kubwa ni "Kama hao wabunge wana nia ya kweli ya kuleta maendeleo jimboni kwao kwa nini wamepakimbia?
  8. M

    Dini ndiyo 'Software' (KIRUSI) namba moja inayo-Program Waafrika kuwa Masikini wa kutupwa kizazi hadi kizazi

    Sidhani kama dini ni kisingizio sahihi cha waafrika kuwa maskini mimi naona ni ufinyu wetu tu wa akili ndio sababu. Mbona Italy wana dini na wako mbele ya muda kimaendeleo? Mbona Iran wana dini na wako mbele ya muda kimaendeleo? Mbona Saudia wana dini na ni matajiri? Mbona Brunei wana dini na ni...
  9. M

    DOKEZO Polisi njooni mtuondolee vibaka huku Misugusugu Kibaha wananchi wanateseka

    Vibaka wa aina hiyo huwa hawamalizwi kwa kuwangojea polisi waje kuwakamata maana huwa wakikamatwa wanakaa mahabusu baada ya muda fulani huwa wanarudi na kuendelea tena. Vibaka wa aina hiyo huwa huwa wanakomeshwa kwa ushirikiano wa wananchi wenyewe mnakaa vikao vya sirisiri mnaweka doria za...
  10. M

    Laiti ningelijua mapema, nisingelinunua lile shamba

    Mimi nimemuelewa japo malalamiko yake hayana tija sana. Yaani alinunua pori akalihudumia kuwa shamba akiwa na lengo la kuweka mifugo. Wakati anafanya mchakato wa kuanzisha hiyo Project ya mifugo akapewa onyo kwamba maeneo hayo sio kwa ajili ya mifugo,mifugo hairuhusiwi katika maeneo hayo kwa...
  11. M

    Chuki ya Watanzania dhidi ya watu hawa ilianzia wapi?

    Wasiosoma huwa wanakata tamaa wanapoona waliosoma wanafanya mambo ya hovyo ndio maana hawa kidogo tunawapa excuse. Maana ukimuuliza kwa nini umefanya hivi atakujibu kama Professor au Phd holder amefanya hivi mimi ni nani nisifanye?
  12. M

    Chuki ya Watanzania dhidi ya watu hawa ilianzia wapi?

    Sawa tufanye kwetu ni pachafu kwa vile hakuna sheria,sasa unadhani ni kwa nini hizo sheria hazipo? Maana yake viongozi wako hawajui vipaumbele au hawajui umuhimu wa hayo mambo ya usafi wanachukulie ni kitu cha kijinga so tunarudi palepale kuwa wasomi wetu wana matatizo.
  13. M

    Chuki ya Watanzania dhidi ya watu hawa ilianzia wapi?

    Afadhali umenisaidia kumuelimisha. Halafu cha kuongezea wasomi wa nchi zingine wanajua wajibu wao huwa hawangoji hadi wawajibishwe au hadi sheria ichukue mkondo wake ndio ili waact. Ni sawasawa na ule utamaduni wa waafrika kutupa takataka hovyo barabarani na mitaani eti kwa vile sheria...
  14. M

    Chuki ya Watanzania dhidi ya watu hawa ilianzia wapi?

    Nipe mfano wa taasisi tatu ambazo wasomi wake wanafanya kazi kwa uweledi na wameleta impact?maana umesema kwenye kila nchi kuna wazembe na waweledi
  15. M

    Chuki ya Watanzania dhidi ya watu hawa ilianzia wapi?

    Hoja yako umejitahidi kudefend ila umetoka nje ya mada kidogo. Mimi kwenye hoja yangu siongelei mambo ya kuwa na pesa au kuwa maskini. Mimi naongelea wasomi kuwa na uwezo mpana,kureason according to the situation/analysing things in normal life,kufanya vitu vyenye tija na kuleta impact kwa...
Back
Top Bottom