Recent content by mbu wa dengue

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mtu bado anazipuuzia English medium schools?

    Hiki ndicho kitu nilichomueleza huyu jamaa mtoa mada ila haelewi kwa vile tayari ameshamezeshwa na kuingiziwa hiyo imani kwenye kichwa chake kwamba kule English medium ni ngumu sana kumnasua mtu wa aina hiyo kutoka kwenye huo mtego
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mtu bado anazipuuzia English medium schools?

    Tena kama sasa hivi kuna tools nyingi za kujifunzia ikiwemo AI ukishindwa na hiyo ujue una kichwa kizito
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mtu bado anazipuuzia English medium schools?

    Nafahamu matumizi ya lugha mkuu. Ninachomaanisha mimi lugha si kitu cha kusema ukamie sana au utumie nguvu sana kama jamaa anavyozitukuza hizo English medium,kujua lugha mara nyingi hutegemea ujanja wa mtu au uwepesi wa kichwa chake na nchi aliyopo yaani kwa mfano umeenda English medium...
  4. M

    JamiiForums Tanzania KERO Je hakuna namna ya kuwadhibiti madalali?

    Utazunguka sana hadi upate hilo eneo linalouzwa wale majamaa wana mtandao mpana sana yaani madalali wa kuanzia Kibamba hadi Mbezi beach wanajuana akipata mmoja wote wanaambiana wewe ukitembea utafute huoni kitu hadi hela zako zinaisha kwa matumizi mengine na eneo hujapata
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nchi gani ina unafuu wa maisha katika umoja wa nchi za ulaya? Tanzania sio nchi tena bali ni kituko

    Huko uendako ndio zaidi system yao ni ngumu,kama Bongo panakuchanganya huko uendako ni mara 5 yake
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nchi gani ina unafuu wa maisha katika umoja wa nchi za ulaya? Tanzania sio nchi tena bali ni kituko

    Sasa kama una uwezo wa kulipia 1000$ Ulaya unafuata nini. Ulaya huwa wanakwenda watu ambao Bongo mambo yamefeli hawana dira ndio wanatafuta njia mbadala wewe kama una mishe ya kukuingizia zaidi ya Dola 1000 bongo huna sababu ya kwenda ulaya labda kama unaenda kama tourist hapo sawa
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nchi gani ina unafuu wa maisha katika umoja wa nchi za ulaya? Tanzania sio nchi tena bali ni kituko

    1 bedroom inacheza kati ya 1000-1500 Dollars. Na bado ukishamgharamia hana huruma na wewe ukizingua ishu ndogo tu unapelekwa mahakamani hakuna mambo ya kumaliza kwa kuyajenga
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nchi gani ina unafuu wa maisha katika umoja wa nchi za ulaya? Tanzania sio nchi tena bali ni kituko

    Wanawake wapo ila ni gharama atakwambia umgharamie mahitaji yake kodi ya nyumba tu peke yake ni Dola 2000 kwa mwezi kule hakuna wanawake wa kukupa show kwa elfu 30 utamudu?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Software Developer natafuta fursa ya kazi, projects au washirika wa biashara - nina mifumo 6 niliyoiendeleza

    Kijana kutengeneza Business system inacost kiasi gani? Nicheki pm unipe mchanganuo wake kwa muhtasari
  10. M

    JamiiForums Tanzania KERO Je hakuna namna ya kuwadhibiti madalali?

    Kumpata mmiliki halali itakucost muda badala ya kutumia wiki moja itakugharimu miezi 3 au 6 ili upate na kumbuka hao wamiliki wanakuwa na uhusiano wa kibishara na madalali na hawataki kusalitiana wanawekeana viapo vya kutozungukana ukiwafuata wewe wanaficha
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mtu bado anazipuuzia English medium schools?

    Kwamba ada ya milioni 2 inanishinda ama?Hebu fanya hivi tafuta nauli utembelee hata Uganda tu hapo watoto wanaongea English pure hata kabla hawajaanza shule,mabibi wa mashambani huko wanaongea fluent English ili uondoe ushamba wa kudhani kujua kiingereza ni dili. Nimegundua hapa napoteza muda...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mtu bado anazipuuzia English medium schools?

    Waliopeleka watoto wao English medium huwa nawacheka kwa upeo mdogo wa kutochanganua mambo wamenaswa nakuingizwa kwenye mfumo wa marketing wa English medium na kuaminishwa kuwa ni shule bora wako mmojawapo ni wewe hapo uliyedanganywa kuwa English medium kuna elimu bora. Wewe ulishawahi kuishi na...
  13. M

    JamiiForums Tanzania KERO Je hakuna namna ya kuwadhibiti madalali?

    Kuna kitu hujakielewa bado yaani iko hivi dalali amekupeleka kwenye kiwanja kisha amekupa bei ukileta ulalamishi anakwambia basi kama huwezi nenda sijakulazimisha atakuja anayemudu hapo utakuwa umekikosa kiwanja maana hauna connection na mmiliki wa kiwanja
  14. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna mtu bado anazipuuzia English medium schools?

    Ni weupe ndio wameleta impact gani zaidi ya kuwatishia watu mitaani tu kwa kiingereza uchwala. Nipaniki kwa mambo ya kitoto hivi inanisaidia nini kwa mfano? Halafu kitu usichokijua huwezi kujipima uwezo wako wa lugha bila kukutana na watu husika wanaozungumza lugha hiyo sijui unajua hili?
  15. M

    JamiiForums Tanzania Rais wa MAT: Magari matano ya kuyapisha Barabarani.

    It makes sense
Back
Top Bottom