Recent content by mbu wa dengue

  1. M

    JamiiForums Tanzania Maskini anatamani kila mtu awe maskini.

    Nimeona ile video jinsi watu wanavyoshangilia na kupayuka"eti wewe nani,wewe nani usikamatwe". Kwa hiyo hapo maskini ndio wanapata sehemu ya kujifariji kwamba wao waendesha bodaboda na mmiliki wa mabus wapo na kiwango sawa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hii Hoja ya "Kijinga" Ilitolewa na Nani kwenye Kikao?

    Sio kwa Congo misitu yao ni maficho ya Boko Haram watalima saa ngapi
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hii Hoja ya "Kijinga" Ilitolewa na Nani kwenye Kikao?

    Congo na kilimo wapi na wapi. Congo fani yao ni kucheza Ndombolo tu. Tatizo la viongozi wetu exposure ni ndogo pamoja na inferiority complex kudhani kila mtu anayetoka nje ya mipaka ya Tanzania ni Expert/Professional.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hii Hoja ya "Kijinga" Ilitolewa na Nani kwenye Kikao?

    Mwijaku na Baba levo wako smart sana kichwani sema tu huwa wanajichetuaga makusudi kwa maslahi fulani.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kumfunga pingu Mwekezaji wa Mabasi ya Tilisho ni udhalilishaji, Vitisho na Ulevi wa madaraka

    Jamaa amejaa kiburi sana cha madaraka hata lugha yake anayoongea si ya kiustaarabu. Posho-kiposho hii sio lugha anayotakiwa kuongea kiongozi
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ndoa yangu; mguu nje, mguu ndani

    Sasa wewe unatakiwa kumshauri biashara nyingine na kumsapoti ili abadilishe ila sio kumuacha hiyo si sababu ya kuacha mke
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ndoa yangu; mguu nje, mguu ndani

    Sio kweli huyo mwanamke amemchunguza huyu mwanaume na kumuona hana vision. Fikiria mwanamke anajiongeza ili kujiongezea kipato halali mwanaume anakasirika hapo kuna mtu kweli. Wakati wanaume wengine wake zao ni wavivu wanatamani wapate mwanamke mpambanaji kama huyo kwa kifupi huyo mwanamke ndio...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ndoa yangu; mguu nje, mguu ndani

    Una umri gani mkuu?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wana Mbeya, tumkatae Mwabukusi, anatudharau sana

    Hahahaha
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mabasi kulazimishwa warudi Magufuli ni hujuma: lengo SGR ipate wateja na kutafuta mapato stendi kuu

    Bado wana mawazo ya kizamani kwamba mtu mwenye gari ana mahela mengi
  11. M

    JamiiForums Tanzania Walokole Wazindua Brand Mpya za Magari yao ya Umeme kushindana na Elon Musk na BYD

    Leo umechemka meneja msomi
  12. M

    JamiiForums Tanzania Walokole Wazindua Brand Mpya za Magari yao ya Umeme kushindana na Elon Musk na BYD

    Leo umechemka meneja msomi
  13. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Kama huwezi kumudu kununua nguo ukawe mkulima kule shambani hakuna dressing code
  14. M

    JamiiForums Tanzania HOJA Tuliovaa Jeans, T-shirt, raba tumezuiwa kufanya usaili katika ajira ya TRC, hii ni sawa?

    Imagine mtu kama huyo ndio anategemewa aje kuwa afisa kuhudumia wananchi na kichwani ndio yuko hivyo kuna kupata huduma bora hapo?
  15. M

    JamiiForums Tanzania KERO Ameripoti katika Kituo cha Kazi na kuambiwa vitendea kazi ni vichache hivyo hawezi kufanya kazi hapo. Hii ni sawa?

    Huyo anayempa maelekezo hayo ni nani? Cha kwanza mwambie asikubali maelekezo ya mdomo yeye mambo ya vitendea kazi hayamuhusu sio kazi yake yeye kazi yake ni kufanya kazi. Mwambie huyo aliyemuelekeza hivyo aandike kwa maandishi na saini yake kisha aende nayo utumishi kupata maelezo zaidi,kama...
Back
Top Bottom