Nimeona ile video jinsi watu wanavyoshangilia na kupayuka"eti wewe nani,wewe nani usikamatwe".
Kwa hiyo hapo maskini ndio wanapata sehemu ya kujifariji kwamba wao waendesha bodaboda na mmiliki wa mabus wapo na kiwango sawa
Congo na kilimo wapi na wapi.
Congo fani yao ni kucheza Ndombolo tu.
Tatizo la viongozi wetu exposure ni ndogo pamoja na inferiority complex kudhani kila mtu anayetoka nje ya mipaka ya Tanzania ni Expert/Professional.
Sio kweli huyo mwanamke amemchunguza huyu mwanaume na kumuona hana vision.
Fikiria mwanamke anajiongeza ili kujiongezea kipato halali mwanaume anakasirika hapo kuna mtu kweli.
Wakati wanaume wengine wake zao ni wavivu wanatamani wapate mwanamke mpambanaji kama huyo kwa kifupi huyo mwanamke ndio...
Huyo anayempa maelekezo hayo ni nani?
Cha kwanza mwambie asikubali maelekezo ya mdomo yeye mambo ya vitendea kazi hayamuhusu sio kazi yake yeye kazi yake ni kufanya kazi.
Mwambie huyo aliyemuelekeza hivyo aandike kwa maandishi na saini yake kisha aende nayo utumishi kupata maelezo zaidi,kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.