Recent content by Mbu mkuu

  1. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Niliiona jana nikaiogopa. Leo najaribu.
  2. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    10 odds betpawa CODE: 141285D Inashauriwa kucheza single au combo. Pia kuna game ya al ahly na zamalek. Itaisha na droo. Wale wa arbitration. correct score 0:0 odds 6... Correct score 1:1. Odds 4...
  3. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Sikujua kama nitakutana na omba omba humu. Ukatae ukubali ww ni omba omba unayekuja kwa style yako. Na tukikuendekeza utageuza iwe haki yako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  4. M

    Zijue taratibu za kupima DNA, gharama ya kipimo ni Tsh.100,000/=

    Kumekuwa na minong'ono mitaani kuwa upimaji wenu unaangalia zaidi athari kwa mtoto na sio ukweli wa mtoto. Yaani kama baba ni mmoja basi atapatiwa huyo mtoto atake asitake majibu yatakuja upande wake. Hii imewafanya wengi wenye kauwezo kukimbizia sampo zao Kenya. Kama ni kweli mjitathimini...
  5. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Elewa kuna watu wanaijua biblia kukuzidi na wamepita hapa wakasoma na kuenda zao. Fikisha ujumbe kisha endelea na maisha yako. Habari ya kutujazia maandiko hapa sio mahala pake. Kuwa na adabu. Kama sehemu hutakiwi ondoka. Ukiendelea huu upumbavu utanikwaza zaidi ya sana. Unajaza vitu...
  6. M

    Wakristo duniani washerehea sikukuu ya Pasaka, Papa alaani ‘ukatili’ Nchini Ukraine

    Ashughulikie mapadre mashoga na walawiti (wafiraji) wa watoto wa watu. Hii vita haimhusu.
  7. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Huu uzi ungepumzishwa kwa kipindi hiki cha mfungo. La sivyo mbinguni tutafika kwa taabuuu saaaanaaaaaa....
  8. M

    Mwenye kujua namna ya kupata network unlock code za tecno rc6

    Nahitaji mwenye kujua namna ya kupata network unlock password ya tecno rc6 kwa kutumia imei. Nipo mbali kidogo sina access ya pc.
  9. M

    Nimempiga mtoto wa mdogo wangu, ndugu wananilaumu lakini Mama ananiunga mkono

    Jamaa katumia lugha laini sana. Yaani hapo anastahili kupewa Heko maana yaliyokuwa yanatoka moyoni siri yake.
  10. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Aliwezesha wakala kuumbuka. Bila wife kunishirikisha nisingejua. Na yawezekana angeliwa. So ni ushirikiano wa wife uliofanya wakala asile. Uwe unauliza kwanza. Maza fanta
  11. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Qmmae wakala wa kukatisha tiketi uliyetaka kumla wife kimasihara. Nilikushughulikia mpaka kidogo kibarua kiote nyasi. Mbwa ww.
  12. M

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Baada ya kununua ka baby walker kangu nikakumbuka mbwinu za wadau wa huku uzinifuni state aka kula tunda kimasihara. Nikaona ngoja nizurure tu bila mpango wa maana nikatokea mitaa ya mtongani nikakumbuka nina namba za wadau(friends) wangu wanaishi huko. Nikaona sio kesi nikamcall mmoja akasema...
  13. M

    Video ya Paul Makonda msibani kwa baba yake GSM yazua gumzo jijini Dar

    Hivi post kama hii na mm nikicheka watanifuatilia?[emoji38][emoji38][emoji38]
  14. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mm natembea na hizi 2 odds zake tu. Hayo matreni siyafuatilii sana. Naweka mara moja moja na kwa kweli kwa matreni hawapo vzr sana.
Back
Top Bottom