Kiukweli naamini si mimi tu, tuliowengi japo si wote tunashindwa tusimamie wapi kulingana na hoja zinazotolewa na pande zote mbili zinazokinzana,, nadhan ule usemi wa "muwamba ngoma huvutia kwake" hapo ndo umetia mizizi, nimejaribu kusoma makala nyingi sana zinasohusu vuguvugu hili ndani ya...
Boti iliyokuwa imebeba takriban watu 500 wenye asili ya kiafrika imezama nchini Italy, na inasemekana boti hiyo imezama kilomita moja tu kabla ya kufika ktk fuo,na imeripotiwa kuwa miili 113 ndiyo iliyopatikan na watu 150 ndiwo wameokolewa ikiwa bado shughuli za uopoaji wa miili mingine...
Tanzania ya leo kila sekta ni wizi mtupu; hizi huduma zinazoanzishwa kila kukicha kwa minajiri ya kumnufaisha mteja, hakuna ukweli wowote, na ndio maana tunasema mwenye nacho atazidi kuongezewa na mlala hoi, hii ndiyo Tanzania ya leo!
Serikal na wananch wa mtwara sasa ni wakati wa kukaa kitako, na si kila mmoja kuonesha nguvu dhidi ya anachokitaka, na ikumbukwe kuwa vurugu za wanamtwara haziwaathiri wanamtwara tu, bali ni nchi nzima kwa ujumla!
Nadhan ulikuwep pindi zali lilivoanza, na ulisikiliza mawazo ya pande zote mbili, na kabla hawajaondoka ulijuwa kila mtu ana swali linalimuumiza kichwani na kwa sababu una amni kabsa walivofka mzozo ukaendelea, binafsi sijui kilichoendelea, ushauri wangu kwako ni huu! Kwa sababu ulitaka kujuwa...
KIA ni uwanja wa kimataifa, km walitoa taarifa ya kufungwa kwa JK NYERERE INT.AIRPORT, walipaswa kutoa na sabab za kufungwa, na kam walijisahau ulipaswa kuuliza! Pole kwa kucheleweshwa! Vuta subira!
Baada ya kusemekana kuwepo makubaliano ya kwa njia ya kusain mkataba baina ya waziri wa elimu na member wengine wa kada ya elimu, hali imeanza kuonesha japo dalili za mafanikio huko mashuleni, hii ni kutokana na walimu kupiga kazi kwa asilimia 100% na zaidi ya ubunifu waloelekezwa huko vyuon...
Yeah! Nimeipenda sana! Tunahitaji mabadiliko na uwajibikaji wa viongozi kupitia demokrasia ya kweli! Be blessed Lema as your name rely on! Baada ya Arusha kasema mtwara, asiishie hapo tu! Maana sehemu nyingi sana kuna uozo! Aje apige perfume!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.