Recent content by mbombongafu1895

  1. mbombongafu1895

    Salary slip na Mshahara kipi kinatangulia?

    Tayari kaka..mimi boss wangu amerudi hii jioni amenilipa
  2. mbombongafu1895

    Msaada wa Serikali unahitajika kwa haraka sana kwa wanafunzi wa Chuo Kikuu SAUT Mwanza

    Nyumba nijenge kwa gharama zangu then unataka kodi ya hostel iwe km ya nyumba za kule maswekeni..
  3. mbombongafu1895

    Naombeni ushauri nichukue gari aina gani kati ya Runx na Voltz

    Mkuu tafuta starlet bei chee..ni economic wise... Then iliyobaki tia kwenye mikeka ya betting na nyingine kanywe bia na mabahari
  4. mbombongafu1895

    Mshahara wa Septemba 2019 kwa watumishi wa Umma

    Wengine sie ni mahouseboy; nimelipwa mshahara wangu leo[emoji3][emoji3][emoji3]
  5. mbombongafu1895

    Mshahara wa Septemba 2019 kwa watumishi wa Umma

    Tayari umeshaingia...kimbilia ATM machine
  6. mbombongafu1895

    Historia ya neno Msela na Baharia

    Baharia ana boxer 2 tu....hawezi kuwa na boxer nyingi km anableed.
  7. mbombongafu1895

    UTARATIBU WA MANUNUZI KWA SHULE ZA SERIKALI. NAOMBA TUFAHISHANE TARATIBU NA SHERIA ZILIVYO

    Then ukumbuke huyo mzabuni alipwi cash...kuna kodi anakatwa... pia kuna mda anasupply ila anakuja kulipwa hata baada ya miezi 6... Chunguza vizuri hapo ulipo je fedha inayokuja kila mwezi inaweza kufanya kila kitu na kikaenda sawa..
  8. mbombongafu1895

    UTARATIBU WA MANUNUZI KWA SHULE ZA SERIKALI. NAOMBA TUFAHISHANE TARATIBU NA SHERIA ZILIVYO

    Bro hzo bei unazoziona zipo juu ni bei elekezi kutokana na mikataba mbalimbali hasa GPSA.. Huwa kuna viwango vya chini na vya juu vya bei; sasa mara zote wazabuni huwa wanaweka bei ile ya juu kabisa... Unaweza ukaona bei ya kifaa ni sh.elfu 3 ila mzabuni anauza elfu 5
  9. mbombongafu1895

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    wew ni mtu muhimu sana kwenye jamii yako; jitahidi kila unalolifanya liwe sahihi ili watu wajifunze yaliyo mema kutoka kwako
  10. mbombongafu1895

    Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

    Huyo nae si mhusika anayetakiwa kukamatwa... Inasemekana tokea jana alikuwa anagonga gonga ili wamsikie aje aokolewe...
  11. mbombongafu1895

    Swali: Vitu gani ambavyo huvipendi ukiwa Kitandani kwenye tendo?!

    Jamaa alikuwa hajiamini na mgegedo alioufanya..
  12. mbombongafu1895

    Ushauri: Shemeji anamshika makalio dada mbele yangu

    Hapo hilo lishemela lako inabidi aongeze na glass 2 za maziwa mtindi..tangawizi ya kutafuna na kipande cha muhogo...hiyo siku lazima usikie kilio cha dadako akiwa anagegedwa....
  13. mbombongafu1895

    Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

    Aliyekuwa anaandika majina nae amezama...[emoji24] [emoji24]
  14. mbombongafu1895

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Off on zote huwa ni maandishi yanaonekana kwenya switch
  15. mbombongafu1895

    Waliokufa kwa njia za kishirikina hawajafa kikweli kweli, bado wanaishi kama misukule. Hawaonekani kwa macho ya kawaida. Wanamilikiwa na wachawi

    Nlipata kusikia kuwa hao misukule wana uwezo wa kuzaa...Watoto wanaozaa ni deal sana; kabla hajafika siku 40 anachomwa na kukamuliwa mafuta...Mafuta hayo ni deal sana hasa kwa kazi za kishetani
Back
Top Bottom