Recent content by Mbombo Nunu

  1. Mbombo Nunu

    Nilihama Tigo kwenda Airtel kwa unafuu wa bando kumbe huku ndiyo wezi wakubwa

    Hata Mimi nimemshtukia kwamba KATUMWA na UPANDE WA PILI KUWAHADAA TENA WATEJA WAO WALIOWAKIMBIA ILI WARUDI. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Mbombo Nunu

    Nashindwa kuwaelewa Uhamiaji na utaratibu wao kuhusu upatikanaji wa passport

    Tena inazidi maana watataka na police loss Report,Kadi ya Chama chako cha siasa,password yako ya Insta ,Fb na wanaweza taka mpaka uwalipie gharama ya usafiri na chakula njiani ili ukawaonyeshe mahali ulipopotezea wakajiridhishe kama kweli imepotea,hawajawahi kuwa watu wazuri wale jamaa. Sent...
  3. Mbombo Nunu

    Nashindwa kuwaelewa Uhamiaji na utaratibu wao kuhusu upatikanaji wa passport

    Inawahusu nini wao hata account yangu ya bank ikisoma jero au ndio kutaka wajue ili Nile nao kabla ya safari?,ni njia tu za upigaji. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Mbombo Nunu

    Vitambulisho vya kura ni dezo dezo?

    Kwani kwenye kitambulisho cha Kura unapoenda kujiandikisha unasindikizwa na Jirani pamoja na wazazi wako kwa ajili ya uthibitisho? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Mbombo Nunu

    MJADALA: Kwanini Wanawake wanaongoza kuwa na majini/mapepo kwa kasi kuliko Wanaume?

    Upuuzi mtupu na sababu zote ni za utetezi wa kitakataka Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Mbombo Nunu

    Nimeamua kuvuta bangi ili kutatua matatizo haya

    Ewe mchimba chunvi endelea kuzama chumvini Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Mbombo Nunu

    Laiti kungelikuwa na wapelelezi wa kuthibitisha kuwa fulani ni mchawi angeshakuwa jela

    Kwa wenzetu malawi wapo na serikali yao inawatambua na kuwatumia sana kwenye kesi tata za aina hiyo na ikithibitika fulani ni mchawi Mahakama umhukumu kifungo cha kuanzia miaka 3 jera na kuendelea.
  8. Mbombo Nunu

    Nadharia ya miaka 1,000 duniani ni sawa na siku moja mbinguni si sahihi kabisa

    Na je kwa uelewa wako huo wa K VANT kubwa huyo mtoto wa miaka 3 aliyeiba andazi MUNGU Umhesabia dhambi ya kumstahili hukumu hata akifa Leo? Mnatupotezea muda kwa kujenga hoja mbovu zilizo nje hata ya uhalisia na ukweli wa KIMAANDIKO.
  9. Mbombo Nunu

    Ana shahada na CPA mwaka wa 4 huu hana ajira

    [emoji23][emoji23][emoji23] Anakupenda sana ndio maana ameamua kukusaidia kukuombea ushauri na kukuombea kazi humu,ukirudi home mtoe Out mkapate mbege Lita mbili mbili pale kilabuni kwa Mama Mary.
  10. Mbombo Nunu

    Dharau mbaya

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Daaaaah!,u-much know ukizidi nao ni shida.....si vibaya pia tukiendelea kukumbushana kwenye utofauti wa baadhi ya maneno kiuandishi na Matumizi yake kulingana na sentensi husika. Jitahidi kutochanganya maana na matumizi ya;- "YOUR" na "YOU ARE"
  11. Mbombo Nunu

    Ukweli usiosemwa juu ya dini za Kiafrika

    Tukisema Elimu tunaweza rudi kwenye njia ile ile ya KIMFUMO ambao uasisi wake ni kutoka kwa hao hao Wazungu, LABDA TUSEME TATIZO LIPO KWENYE UFAHAMU UNAOPELEKEA KUJUA (na hasa kuujua UKWELI WENYEWE KUTUHUSU KWA KUHADITHIWA NA MKWELI HALISI NA HATA KIMAANDIKO).
  12. Mbombo Nunu

    Waziri Mkuu ameni-block muda mfupi baada ya kunitumia ujumbe

    Ni "WAZIRI MKUU" kama unavyosoma hawajaandika "OFISI YA WAZIRI MKUU".
  13. Mbombo Nunu

    Waziri Mkuu ameni-block muda mfupi baada ya kunitumia ujumbe

    Kwanini wanapenda kutoa Amri lakini hawapendi Feedbacks?
  14. Mbombo Nunu

    Prof. Assad aula, aingia mkataba na Sweden kukagua miradi yote ambayo Tanzania inashirikiana na Sweden

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  15. Mbombo Nunu

    Prof. Assad aula, aingia mkataba na Sweden kukagua miradi yote ambayo Tanzania inashirikiana na Sweden

    Lakini wasiwasi WANGU ni kwamba sasa hivi ANAWEZA KUITWA NYUMBANI na KUHOJIWA JUU YA HILO.
Back
Top Bottom