Dharau mbaya

Dharau mbaya

Unasoma chuo??..chuo gani?? ..Amazon au??

Mwanachuo kuandika hujui??
Hahahahah Yuko zoom
Halafu anajistukia
Relax kuzaliwa uswekeni si kosa lako
Na yeye kuzaliwa masaki ndo majaliwa yake
Piga kitabu uje uwe kama bashiteee
Makapuku yanajistukiaga sana
 
Nimecheka sana.......
Ujumbe ni dharau ila watu mnamshukia sana kuhusu uandishi, dah!
 
Wakuu kheri ya iddi
kuna mkasa mrefu sana juu ya jamaa flani tumesoma wote chuo hapa jijini dar es salaam huyu jamaa ni masaki plus oysterbay equal wakishua sana dharau nyingi kwa sisi tunaotoka gongo LA mboto inshort huyu jamaa ni mtu mwenye midharau kiwango cha flyover juzi kati kabla hatukufanga chuo kwaajili ya sikukuu c jamaa aliniabisha sana mbele ya wadau (washikaji) kwa maneno ya dharau nini kisa tulikua tumesimama eneo ambalo ame parking gari yake huyu jamaa hapa chuo kuna demu flani hv uwaga wapo karibu mno na jamaa hakuna ajuaye kama anafukuzia au ndio anakamatia mzigo hukicheki demu yupo fresh tu figure daz baba namba 8 basi jamaa baada ya kusepa na gari yake mara gafla akatokea demu ambae yupo na mazoea nae basi na mm kwa utani utani hv wa hapa na pale nikaomba namba za yule demu akanipa kufika mida ya saa moja nipo home nikampigia kiutani utani hivi swagger za kichokozi yule dada si hakaja ghetto gongo LA mboto Jana kula iddi aise hakajumika na familia yangu leo amekuja mida hii yupo na kusepa amegoma anataka kulala hapa hapa nawaza hivi jamaa hakisikia nimemkaza huyu demu si anaweza kujinyonga na dharau zake dah dharau sio fresh aise na jamaa ananionaga wakuja sana hapa dar es salaam
nigga aint the one who said you wanna marry a chagga girl?now i understand why you'd even ask that question in the first place cause u dont know how differentiate a hoe from a woman....in the first thread u say everyone is shocked to see you wanna marry a chagga girl its because shes the hoe to everyone and because your dumb you cant see it....but this scenario the girl you met at the parking lot, u took her number u called her and now she wants some dick...nigga you and the girl your both dumbs, and stop being cheap
 
nigga aint the one who said you wanna marry a chagga girl?now i understand why you'd even ask that question in the first place cause u dont know how differentiate a hoe from a woman....in the first thread u say everyone is shocked to see you wanna marry a chagga girl its because shes the hoe to everyone and because your dumb you cant see it....but this scenario the girl you met at the parking lot, u took her number u called her and now she wants some dick...nigga you and the girl your both dumbs, and stop being cheap
Mmmmmh! Asante mpendwa nimeshiba.
 
So ukimla huyo demu -ndio itakuwa ume mdhalilisha huyo jamaa ??waweza kukuta huyo jamaa anamchukulia huyo demu kuwa demu wakawaida tu.... Ama kweli ujinga mzigo...
 
Hasante kwa mchango mungu hakubaliki sana hasa hanapogawa riziki zake....
 
nigga aint the one who said you wanna marry a chagga girl?now i understand why you'd even ask that question in the first place cause u dont know how differentiate a hoe from a woman....in the first thread u say everyone is shocked to see you wanna marry a chagga girl its because shes the hoe to everyone and because your dumb you cant see it....but this scenario the girl you met at the parking lot, u took her number u called her and now she wants some dick...nigga you and the girl your both dumbs, and stop being cheap
Daaaaah!,u-much know ukizidi nao ni shida.....si vibaya pia tukiendelea kukumbushana kwenye utofauti wa baadhi ya maneno kiuandishi na Matumizi yake kulingana na sentensi husika.

Jitahidi kutochanganya maana na matumizi ya;-

"YOUR" na "YOU ARE"
 
Back
Top Bottom