Nina swali mkuu ,hivi ukilipia gari bei yake na ushuru kwa pamoja kuna shida yoyote?na kipi bora kulipia ushuru bandarin ikishafika au kufanya malipo yote siku ikiwadia ni kuchukua tu gari.
Mtoa mada hujapishana na mimi kabisa,nishagombana na watu wengi sababu ya ubabaishaji kazi ninayofanya inahusisha kuchukua pesa za mabosi na boss ukishachukua pesa yake anataka aone matokea sio brabra tena kuepusha hayo nafanya kazi na watu wazima kidogo alie na familia kidgo angalau
Usinikumbushe machungu ,acha kabisa
Niliishia kumiliki tv tu miaka mitatu aisee
Cha ajabu nilivyohama tu ile nyumba nashukuru dalali kwa kunipeleka maana ilibadilisha Kira kitu
Hao waliokuambia wanajuta sio masihara wala uongo juzi tu nimetoka kuambiwa na braza alieoa huku anamtoto mmoja wa nje baadae wakakubaliana na mkewe wamchukue mtoto ,wamekaa nae miaka miwil Moto umeanza mwaka huu mkewe anamtimua mtoto wa bro nyumban na bro yuko mkoa mwingine kikaz na bro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.