Usinikumbushe machungu ,acha kabisa
Niliishia kumiliki tv tu miaka mitatu aisee
Cha ajabu nilivyohama tu ile nyumba nashukuru dalali kwa kunipeleka maana ilibadilisha Kira kitu
Hao waliokuambia wanajuta sio masihara wala uongo juzi tu nimetoka kuambiwa na braza alieoa huku anamtoto mmoja wa nje baadae wakakubaliana na mkewe wamchukue mtoto ,wamekaa nae miaka miwil Moto umeanza mwaka huu mkewe anamtimua mtoto wa bro nyumban na bro yuko mkoa mwingine kikaz na bro...
Wanaume tunajifunga kitanzi wenyewe mchepuko unazalisha ili iweje anastahili yanayompata , kanuni zangu ni za kigaza mchepuko nauchana kabisa Mimi kuzaa na wewe siko tayar ukijidundisha mimba makusud hyo ni yako enzi sijaoa mademu nimewanyesha sana vidonge vya uzaz naenda kununua na nasimamia...
Tusipingane na ukweli ,ili tujue mwanaume umekamilika kuoa hakukwepeki familia ni nguzo muhimu sana msichokijua vijana hakuna raha Kama umetoka kazin umerud na kimfuko cha mazaga madogo wanakimbia baba baba cha kumuomba mungu ni akupatie mke sahihi vyote vitajiset alafu Sasa mungu anakuangalia...
Pole sana kaka ,kitu cha kumuomba mungu ni kutuepushia magonjwa familia zetu kuna siku nimetoka dar ile nafika tu home mbeya usiku wa manane dogo kazidiwa anashindwa hata kupumua aisee siku ile ndo nilichanganyikiwa ndo nilipoujua umuhimu wa gari maana dereva teski wote hawapokei siku wa tatu...
Kuna kipind nimelipia DSTV family wakajichanganya wakanipa premium ,aisee premium ina balaa kitu HD kira chanel iko vizur unabak umeduwaa na remote mkononi ukihamisha huku balaa kwingine balaa .
Hii ni kanuni ninayo itumia hata Mimi maana nimejiajir kwa hyo mtu akileta ujinga kwenye kaz ni kutimua tu ,maana Mimi napambana kukuza brand ije kenge moja iniharibie nirud kwenye msoto hilo haliwezekani kazi lazima iheshimiwe sio unapewa kaz unaifanya hivyo hovyo wateja wakikimbia ndo unaanza...
Ninacholipendea kabira langu ni misimamo, hatuogopi mtu na ukileta ujinga unachanwa live haijalishi ni maskin au tajir asante lamata kwa kutuwakilisha vyema
1.wachaga
2.wahaya
3. Wanyakyusa
Hyo ndo top three
Hii kanuni yako haifanyi kaz kwa mtu wa PCB sisi ni wazee wa kumeza we derive formula ila Mimi nikiliona swali najua nitumie formula gan na zote ziko kichwan aisee PCB wanameza had nukta na ukitaka kitabu utahamishiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.