Recent content by mboga TZ

  1. mboga TZ

    Je, kuna uhusiano wotote kati ya nyumba unayoishi na kufunguka mambo yako?

    Usinikumbushe machungu ,acha kabisa Niliishia kumiliki tv tu miaka mitatu aisee Cha ajabu nilivyohama tu ile nyumba nashukuru dalali kwa kunipeleka maana ilibadilisha Kira kitu
  2. mboga TZ

    Nataka kuzaa kabla ya kuoa umri unaenda, naombeni ushauri

    Hao waliokuambia wanajuta sio masihara wala uongo juzi tu nimetoka kuambiwa na braza alieoa huku anamtoto mmoja wa nje baadae wakakubaliana na mkewe wamchukue mtoto ,wamekaa nae miaka miwil Moto umeanza mwaka huu mkewe anamtimua mtoto wa bro nyumban na bro yuko mkoa mwingine kikaz na bro...
  3. mboga TZ

    Ni movies zipi ambazo regardless na muda hauwezi kuja kuchoka kuziangalia?

    1.safe house 2.born identify zote 3.prison break 4.colombiana
  4. mboga TZ

    Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

    Noma sana nilivofika 28 nilipagawa ,29 nilipiga mimba na kuoa aisee ni nyakati ngumu kwa me na ke Kama anajitambua
  5. mboga TZ

    Single mother tumeanza kushindwana na kutishiana maisha kisa mwanaye

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  6. mboga TZ

    Ushauri: Rafiki yangu katelekezewa watoto mlangoni

    Wanaume tunajifunga kitanzi wenyewe mchepuko unazalisha ili iweje anastahili yanayompata , kanuni zangu ni za kigaza mchepuko nauchana kabisa Mimi kuzaa na wewe siko tayar ukijidundisha mimba makusud hyo ni yako enzi sijaoa mademu nimewanyesha sana vidonge vya uzaz naenda kununua na nasimamia...
  7. mboga TZ

    Masimango na kejeli kwa wanaoonekana wamechelewa kuoa/ kuolewa na kupata watoto uzeeni au umri ukiwa umekwenda

    Tusipingane na ukweli ,ili tujue mwanaume umekamilika kuoa hakukwepeki familia ni nguzo muhimu sana msichokijua vijana hakuna raha Kama umetoka kazin umerud na kimfuko cha mazaga madogo wanakimbia baba baba cha kumuomba mungu ni akupatie mke sahihi vyote vitajiset alafu Sasa mungu anakuangalia...
  8. mboga TZ

    Kijana kamkimbia mchumba wake alietaka kumuoa baada ya kujua kwao kuna walemavu ni sawa?

    Pole sana kaka ,kitu cha kumuomba mungu ni kutuepushia magonjwa familia zetu kuna siku nimetoka dar ile nafika tu home mbeya usiku wa manane dogo kazidiwa anashindwa hata kupumua aisee siku ile ndo nilichanganyikiwa ndo nilipoujua umuhimu wa gari maana dereva teski wote hawapokei siku wa tatu...
  9. mboga TZ

    Biashara ya kupangisha nyumba na fremu ni utajiri mkubwa watu wengi hawapendi kuwafumbua wenzao

    Umeeleza vyema ila ulipotaja transportation umepotea ,hyo ni biashara kichaaa bora ya real estate
  10. mboga TZ

    Wabongo tuache unafiki wa kumkandia DSTV na Kumpa sifa AZAM wakati huohuo hao AZAM huko majumbani kwetu tunabaki kuwalaumu na kulalamika kwa huduma mb

    Kuna kipind nimelipia DSTV family wakajichanganya wakanipa premium ,aisee premium ina balaa kitu HD kira chanel iko vizur unabak umeduwaa na remote mkononi ukihamisha huku balaa kwingine balaa .
  11. mboga TZ

    Enyi Vijana, chezeni kwenye ajira za serikali lakini ajira za makampuni / biashara binafsi muwe serious sana na kazi, kufukuzwa ni instantly

    Muite umuelekeze asipojirekebisha mwambie utachukua uamuzi mgumu ,tusidanganyane hapa kujiajiri ni kugumu mistake ndogo tu wapinzani wanachukua ugali wako huku unaona
  12. mboga TZ

    Enyi Vijana, chezeni kwenye ajira za serikali lakini ajira za makampuni / biashara binafsi muwe serious sana na kazi, kufukuzwa ni instantly

    Hii ni kanuni ninayo itumia hata Mimi maana nimejiajir kwa hyo mtu akileta ujinga kwenye kaz ni kutimua tu ,maana Mimi napambana kukuza brand ije kenge moja iniharibie nirud kwenye msoto hilo haliwezekani kazi lazima iheshimiwe sio unapewa kaz unaifanya hivyo hovyo wateja wakikimbia ndo unaanza...
  13. mboga TZ

    Top Ten: Makabila ambayo watu wake upstairs pamechangamka

    Ninacholipendea kabira langu ni misimamo, hatuogopi mtu na ukileta ujinga unachanwa live haijalishi ni maskin au tajir asante lamata kwa kutuwakilisha vyema 1.wachaga 2.wahaya 3. Wanyakyusa Hyo ndo top three
  14. mboga TZ

    Physics ni somo gumu sana kuliko masomo yote hapa Tanzania

    Hyo rotation nilikuwa naikubali unakutana na kina angular momentum ,torque ,moment of inertia
  15. mboga TZ

    Physics ni somo gumu sana kuliko masomo yote hapa Tanzania

    Hii kanuni yako haifanyi kaz kwa mtu wa PCB sisi ni wazee wa kumeza we derive formula ila Mimi nikiliona swali najua nitumie formula gan na zote ziko kichwan aisee PCB wanameza had nukta na ukitaka kitabu utahamishiwa
Back
Top Bottom