Recent content by mbesri

  1. M

    Baada ya watumishi kuahidiwa kupandishiwa madaraja na mishahara, CHADEMA matumbo joto!

    Ndio amema awapandishia mshaara,laki umesikia akitaja kima cha chini kitakuwa shilingi ngapi?,mbona hajaweka wazi?
  2. M

    Natafuta shule ya sec kidato cha tano

    Natumaini mmeamka salama, kulingana kichwa cha habari hapo juu Naomba kwa yeyote anayejua shule nzuru ada yake iwe milioni moja kuja chini anijulishe, pia kama ana mawasiliano ya shule anipe. Nawatakia asubuhi njema. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Tofauti ya Kiiza Besigye na vyama vingine vya upinzani Afrika

    Kwa itikadi yako CHADEMA inegewaunga NASA bado tu ungewaponda tu kwa maneno . Sent using Jamii Forums mobile app
  4. M

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    Tangu lini kidato cha sita akasoma masomo mchanganyiko wa sayansi na ats Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Je ni kweli form five second selection 2017/18 imetangazwa?

    Inategemeana nafasi za kujazwa Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Je ni kweli form five second selection 2017/18 imetangazwa?

    Ndugu zangu wana Jami foram kuna tetesi kuwa wanafunzi wa kidato cha tano chaguo la pili wameshatamgazwa,yeyote mwenye ukweli anijuze. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Ifahamu Sayari Ambayo kila mtu and Uwezo wa kwenda bila gharama yeyote.

    Ni kweli kabisa, nimeupenda Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
  8. M

    Hawa hapa Waliochaguliwa Kidato cha tano, Wanafunzi 3,000 waliofaulu waachwa

    Sema tu ukweli sina hakika kama division two anaweza kukosa post.
  9. M

    Moses Machali: Umakini wa Rais Magufuli katika kuwateua wapinzani

    Atakua anajibigia debe apate nafasi na yeye.
  10. M

    Naomba maelekezo ya kufika JKT-Mlale

    Ukiwa dar utapanda magari ya songea mjini,itakubidi ulale maake utafika jioni sana,kesho yake utapanda magari ya mlale jkt nauli sh 3000.
  11. M

    Naomba maelekezo ya kufika JKT-Mlale

    Wewe mwenyewe uko wp
  12. M

    Sababu za serikali kubadili sifa za kada za afya

    Wanahitaji ufaulu gani kwa kozi ya cheti kwa mwanafunzi wa form for?
  13. M

    Natongozwa na mpangaji mwenzangu

    Kwanza nakupongeza kwa msimamo wako kama ni kweli unavyosema.Ushauri wangu mweleze mke wako ishu yote toka mwanzo hadi sasa na umwambie mkeo asimfanye jambo lolote walakumwonyesha dalili yoyote, endapo ataendele kukufatilia na kukupigia simu ili ili uende sehemu alipo mwambie unakuja kisha...
  14. M

    Prof. Ndalichako tusaidie wanafunzi tunaosoma kozi ya ualimu chuo cha Kumbukumbu ya Mwl Nyerere

    Ulienda chuoni kwa ufaulu wa division ngapi upate ushauri wangu.
Back
Top Bottom