Kwa wale ambao mmepitia tovuti ya nacte mtakuwa mmeona kuwa kwa mwaka huu wa masomo 2017/2018 sifa za kujiunga zimebadilika sana hasa kwa ngazi ya cheti ukitokea kidato cha nne.
nimebahatika kuongea na mdau mmoja ambae anatengeneza mitaala ya afya akiwa mkuu wa chuo fulani na ameniambiakuwa:
Serikali imeadili sifa ambazo kwa zamani zilikuwa ni sifa za Stashada(Diploma) na kuwa za certificate. Kimsingi ni kuwa SIFA HAZIJABADILIKA. Wanafunzi wamepewa uwanja mpana wa kuamua kuendelea na Diploma au kuishia na certificate pindi watakapokamilisha miaka miwili.
Tuelewane hapa: Mwanafunzi akimaliza miaka miwili ya certificate ataamua AMALIZIE MWAKA MMOJA ILI AWE DIPLOMA HOLDER AU AISHIE HIYO MIWILI AWE CERTIFICATE HOLDER na akitaka diploma atakuja kumalizia mwaka mmoja aliouacha njiani kwa sababu sifa anazo.
KUHUSU VYUO VISIVYO NA SIFA ZA KUTOA DIPLOMA. Chuo kisicho na uwezo wa kutoa Diploma kitalazimika kuhamisha wanafunzi watakaotaka kuendelea na Diploma kwenda kwenye chuo chenye uwezo na mafunzo hayo.
Kwahiyo chuo kinachotoa certificate mfn: uuguzi kitachukua wanafunzi kama kawaida kwa sifa za sasa lakini kitaishia kutoa level ya certificate(miaka 2) LAKINI kwa wanafunzi watakao taka kuendelea itawalazimu kuwahamishia chuo cha diploma ili wakamalizie mwaka wao mmoja uliobaki.
KUHUSU WANAFUNZI WALIOPO VYUONI: hao wanaendelea na masomo kama kawaida (Miaka miwili na hawana sifa za kuendelea na diploma lada kwa mfumo wa sasa(in service) wa miaka miwili mpaka watakapoisha sokoni ndipo mfumo huu utakuwa umejifuta rasmi
Nitarudi baadae kujibu maswali kama yatakuwepo
nimebahatika kuongea na mdau mmoja ambae anatengeneza mitaala ya afya akiwa mkuu wa chuo fulani na ameniambiakuwa:
Serikali imeadili sifa ambazo kwa zamani zilikuwa ni sifa za Stashada(Diploma) na kuwa za certificate. Kimsingi ni kuwa SIFA HAZIJABADILIKA. Wanafunzi wamepewa uwanja mpana wa kuamua kuendelea na Diploma au kuishia na certificate pindi watakapokamilisha miaka miwili.
Tuelewane hapa: Mwanafunzi akimaliza miaka miwili ya certificate ataamua AMALIZIE MWAKA MMOJA ILI AWE DIPLOMA HOLDER AU AISHIE HIYO MIWILI AWE CERTIFICATE HOLDER na akitaka diploma atakuja kumalizia mwaka mmoja aliouacha njiani kwa sababu sifa anazo.
KUHUSU VYUO VISIVYO NA SIFA ZA KUTOA DIPLOMA. Chuo kisicho na uwezo wa kutoa Diploma kitalazimika kuhamisha wanafunzi watakaotaka kuendelea na Diploma kwenda kwenye chuo chenye uwezo na mafunzo hayo.
Kwahiyo chuo kinachotoa certificate mfn: uuguzi kitachukua wanafunzi kama kawaida kwa sifa za sasa lakini kitaishia kutoa level ya certificate(miaka 2) LAKINI kwa wanafunzi watakao taka kuendelea itawalazimu kuwahamishia chuo cha diploma ili wakamalizie mwaka wao mmoja uliobaki.
KUHUSU WANAFUNZI WALIOPO VYUONI: hao wanaendelea na masomo kama kawaida (Miaka miwili na hawana sifa za kuendelea na diploma lada kwa mfumo wa sasa(in service) wa miaka miwili mpaka watakapoisha sokoni ndipo mfumo huu utakuwa umejifuta rasmi
Nitarudi baadae kujibu maswali kama yatakuwepo