Prof. Ndalichako tusaidie wanafunzi tunaosoma kozi ya ualimu chuo cha Kumbukumbu ya Mwl Nyerere

Alexander McQueen

Senior Member
Aug 30, 2016
183
41
Ndugu wana jamii forum habari za wakati huu poleni na majukumu tafadhari naomba kuwasilisha mimi ni miongoni mwa wanafunzi walioathiriwa na mfumo mzima wa mafunzo ya ualimu elimu ya msingi Mwaka wa masomo 2016/2017 tulichaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu elimu ya msingi katika CHUO CHA KUMBUKUMBI YA MWALIMU NYERERE katika ngazi OORDINARY DIPLOMA NTA LEVEL 6.

Baada ya kusoma mwezi mmoja walaka wa elimu no 5 ukatoka uliokuwa ukiwaongoza wanafunzi wote waliodahiliwa kupitia kupitia NACTE 2016/2017 watakuwa chini ya NECTA yaani watasoma cheti miaka miwili badala ya mitatu (GRADE IIIA IKARUDISHWA ) wenzetu wakabadilishiwa kozi na wakawa Under NECTA swali likabaki MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY.

Wakufunzi wakatuambia sisi hatuna madhara tutasoma diploma chuo kina sifa ya kutoa diploma tukasoma tukamaliza tukafanya UE na matokeo yakatoka baada ya kufungua Semista ya pili mwezi April mkuu wa idara ya elimu CHUO CHA KUMBUKUMBI YA MWALIMU NYERERE MEMORIAL akutuambia kozi iliishabadilishwa tunatakiwa kusoma cheti miaka miwili yaaani GRADE IIIA.

Tukabadilishiwa na masomo tukapelekwa kasi ya ajabu mbaka mkuu wa idara ya elimu akaachishwa cheo na kukabiziwa mwingine lakini leo Tarehe 22 mkuu huyo wa Idara ametuambia kwamba tumerudishwa Diploma tuendelee nayo kisa chuo wamefuatalia NECTA wamesema hawana usajili wao na wakati wenzetu wrnye sifa kama zetu wanamaliza mwaka 2018 may sisi hatujui tupo wapi mbaka sasa tunaomba MH. NDALICHAKO aangalie suala hili kama ni sahihi au laaaah
 
Nina wasiwasi na ufaulu wako wa form upo duni sana ndo maana ukawa kwenye chuo kama hicho na kozi kama hiyo sina cha kukushauri zaidi kubaliana na hali kwa sababu ulichagua mwenyewe kupata daraja ulilolipata form four tafuta vyuo vya saizi yakoo vyenye kutambulika na serikali abundantly
 
Tanzania ni kma mtto mchanga mambo yanayofanyika c ya kufany mtu mzima na akili zake yaani Mara nyuma mara mbele kama tumeshindwa kwann tusifumue mfumo mzma wa elimu tukaanza upya mbna tunajua kurudi nyuma si kushindwa vita bali n mbinu moja wapi ya kuxhind vita
 
Nina wasiwasi na ufaulu wako wa form upo duni sana ndo maana ukawa kwenye chuo kama hicho na kozi kama hiyo sina cha kukushauri zaidi kubaliana na hali kwa sababu ulichagua mwenyewe kupata daraja ulilolipata form four tafuta vyuo vya saizi yakoo vyenye kutambulika na serikali abundantly
Waliochaguliwa wote wana div III Minimum
 
Ndugu wana jamii forum habari za wakati huu poleni na majukumu tafadhari naomba kuwasilisha mimi ni miongoni mwa wanafunzi walioathiriwa na mfumo mzima wa mafunzo ya ualimu elimu ya msingi Mwaka wa masomo 2016/2017 tulichaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu elimu ya msingi katika CHUO CHA KUMBUKUMBI YA MWALIMU NYERERE katika ngazi OORDINARY DIPLOMA NTA LEVEL 6 Baada ya kusoma mwezi mmoja walaka wa elimu no 5 ukatoka uliokuwa ukiwaongoza wanafunzi wote waliodahiliwa kupitia kupitia NACTE 2016/2017 watakuwa chini ya NECTA yaani watasoma cheti miaka miwili badala ya mitatu (GRADE IIIA IKARUDISHWA ) wenzetu wakabadilishiwa kozi na wakawa Under NECTA swali likabaki MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY wakufunzi wakatuambia sisi hatuna madhara tutasoma diploma chuo kina sifa ya kutoa diploma tukasoma tukamaliza tukafanya UE na matokeo yakatoka baada ya kufungua Semista ya pili mwezi April mkuu wa idara ya elimu CHUO CHA KUMBUKUMBI YA MWALIMU NYERERE MEMORIAL akutuambia kozi iliishabadilishwa tunatakiwa kusoma cheti miaka miwili yaaani GRADE IIIA tukabadilishiwa na masomo tukapelekwa kasi ya ajabu mbaka mkuu wa idara ya elimu akaachishwa cheo na kukabiziwa mwingine lakini leo Tarehe 22 mkuu huyo wa Idara ametuambia kwamba tumerudishwa Diploma tuendelee nayo kisa chuo wamefuatalia NECTA wamesema hawana usajili wao na wakati wenzetu wrnye sifa kama zetu wanamaliza mwaka 2018 may sisi hatujui tupo wapi mbaka sasa tunaomba MH. NDALICHAKO aangalie suala hili kama ni sahihi au laaaah
Soma vizur waraka no 5 unasema wote waliodahiliwa chini ya Nacte watamalizia kwa mfumo huo wa NTA ,isipo kuwa wale wanao anza cc watakuwa chini ya NECTA na watasoma cheti,hivyo usiwe na hofu soma na maliza masomo yako ya diploma wewe sio mhanga kama ulivyo sema
 
Soma vizur waraka no 5 unasema wote waliodahiliwa chini ya Nacte watamalizia kwa mfumo huo wa NTA ,isipo kuwa wale wanao anza cc watakuwa chini ya NECTA na watasoma cheti,hivyo usiwe na hofu soma na maliza masomo yako ya diploma wewe sio mhanga kama ulivyo sema
Tatizo tulioanza nao wapo Under necta
 
pole sana mkuu,, kama mna div 3 hampaswi kusumbuliwa kabisa.
 
Ndugu wana jamii forum habari za wakati huu poleni na majukumu tafadhari naomba kuwasilisha mimi ni miongoni mwa wanafunzi walioathiriwa na mfumo mzima wa mafunzo ya ualimu elimu ya msingi Mwaka wa masomo 2016/2017 tulichaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu elimu ya msingi katika CHUO CHA KUMBUKUMBI YA MWALIMU NYERERE katika ngazi OORDINARY DIPLOMA NTA LEVEL 6.

Baada ya kusoma mwezi mmoja walaka wa elimu no 5 ukatoka uliokuwa ukiwaongoza wanafunzi wote waliodahiliwa kupitia kupitia NACTE 2016/2017 watakuwa chini ya NECTA yaani watasoma cheti miaka miwili badala ya mitatu (GRADE IIIA IKARUDISHWA ) wenzetu wakabadilishiwa kozi na wakawa Under NECTA swali likabaki MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY.

Wakufunzi wakatuambia sisi hatuna madhara tutasoma diploma chuo kina sifa ya kutoa diploma tukasoma tukamaliza tukafanya UE na matokeo yakatoka baada ya kufungua Semista ya pili mwezi April mkuu wa idara ya elimu CHUO CHA KUMBUKUMBI YA MWALIMU NYERERE MEMORIAL akutuambia kozi iliishabadilishwa tunatakiwa kusoma cheti miaka miwili yaaani GRADE IIIA.

Tukabadilishiwa na masomo tukapelekwa kasi ya ajabu mbaka mkuu wa idara ya elimu akaachishwa cheo na kukabiziwa mwingine lakini leo Tarehe 22 mkuu huyo wa Idara ametuambia kwamba tumerudishwa Diploma tuendelee nayo kisa chuo wamefuatalia NECTA wamesema hawana usajili wao na wakati wenzetu wrnye sifa kama zetu wanamaliza mwaka 2018 may sisi hatujui tupo wapi mbaka sasa tunaomba MH. NDALICHAKO aangalie suala hili kama ni sahihi au laaaah
Mkuu ada sh ngapi kwa ordinal dipoloma ya walimu kwa mwaka kwa chuo hicho
 
Nina wasiwasi na ufaulu wako wa form upo duni sana ndo maana ukawa kwenye chuo kama hicho na kozi kama hiyo sina cha kukushauri zaidi kubaliana na hali kwa sababu ulichagua mwenyewe kupata daraja ulilolipata form four tafuta vyuo vya saizi yakoo vyenye kutambulika na serikali abundantly
Kama msomi hili ulilotoa sio jibu la swali lake ufauli wake hausiani na swala husika l.
Mimi ni kupe pole ndugu ila mgefanya mpango wa kuonana na waziri husika kwani hilo jambo linaweza kabisa kuwakosesha ajira badae

Rejea DMI ARUSHA CAMPUS NA ILE YA SONGEA
 
Kama msomi hili ulilotoa sio jibu la swali lake ufauli wake hausiani na swala husika l.
Mimi ni kupe pole ndugu ila mgefanya mpango wa kuonana na waziri husika kwani hilo jambo linaweza kabisa kuwakosesha ajira badae

Rejea DMI ARUSHA CAMPUS NA ILE YA SONGEA
Asante kaka
 
Back
Top Bottom