Recent content by mbasamwoga

  1. M

    JamiiForums Tanzania tiGO mtavunja ndoa za watu!

    jamani twende nao taratibu mambo ya teknolojia niyakuja tu,, kumbukeni hata benki sometym tunakosa hela kwenye atms kwasababu za kiteknolojia tuu. Tz ni nchi ya dunia ya tatu, hata cia inaibiwa na inavurugwa na wikliks. Poleni wahanga wenzangu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hiki kiwanja kimeuzwa?

    Isije kuwa papaa msofe kahamia arusha
  3. M

    JamiiForums Tanzania tiGO mtavunja ndoa za watu!

    poleni sana wahanga wenzangu mliokuwa mmelizwa na tigo pesa kwa mfumo wa kununua muda wa hewani. Nilipatwa na mkasa huo takribani wiki moja iliyopita kwa kiasi cha zaidi ya tsh. 20,000/. Nililipoti tatizo hilo kwa ofisi za tigo pale mlimani city wale warembo wakanishauri niorodheshe jina langu...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Akamatwa kwa kumwingilia mbuzi

    Nyie sie watoto wa wafugaji ati....................... Mbona kawaida sana
  5. M

    JamiiForums Tanzania ATM and thiefs

    Hii kali, hapa tzie hakuna kitu kama hicho
  6. M

    JamiiForums Tanzania Utapeli tiGOPesa!

    kaka hiyo habari ni kweli tupu, mwanzo nilinunua salio la 6,000 balance yangu ikapungua lakini airtime haikuongezeka, mara ya pili nikanunua 10,000 hadithi ikawa ile ile, ikabidi niende ofisi za tigo pale mlimani city. Nilipofika nikakuta wenye tatizo kama langu wako wengi. Hivyo tukashauriwa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Vitambulisho vya uraia TZ viwe hivi

    habari zenu wana jamvi, sasa hivi serikali iko mbioni kuandaa vitambulisho vya uraia. lkn cha kushangaza hawajasikiliza maoni ya watanzania ili kuona ni kipi hasa wangependa pia kiwepo kwenye ID hizo. kwa uzoefu wangu suala la upotevu linachukua sana nafasi kwa ID za benk, vyuo, NEC yaani kadi...
  8. M

    JamiiForums Tanzania tiGO mnatufukuza wateja wenu bila kujijua

    hii ndio kabisaaa inatia kinyaa. kwakweli wanatuibia sana na wanaendesha shughuli zao kibabe
  9. M

    JamiiForums Tanzania Vurugu Mbeya: Askari mmoja auwawa

    dah! Wewe funiko kaka. Poleni sana huko mbeya lakini nasikia mbeya ndo kuna makanisa mengi zaidi hapa tanzania sasa tatizo nini kama mnapewa neno la mungu kulia kona!
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hivi Kashindye wa CHADEMA anaumwa?

    Kero zoote hizi hapa tz na hasa za hapo igunga kweli unenepe. Anafikiria namna ya kuwatoa kimasomaso wanaigunga atanenepa saa ngapi. Kunenepa ni kuridhika...... Je hapa tzie una nini mpaka uridhike si wezi tu ndo utaona wamevimbiana wao wanadhani wamenenepa. Kashindye yuko poa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Maumbile na tabia ya mtu

    kaka rweye wewe noma, hiyo ni kweli alikua akinielezea pia bibi yangu zamani namna ya kumtambua mwanamke umbile lake la ndani kwa kuangalia umbile lake la nje. Vidole vinavyobanana ujue... Kama vimeachana ujue.....
  12. M

    JamiiForums Tanzania Majambazi yavamia guest 2 na kupora Tsh 24,314,500/=

    enyi polisi sijui hilo nalo mpaka pinda atishie kutumia jeshi ndipo mtaaamka!!!! Amantu ganu muraaaaaa...... Oni..... Basi tu kwa vile
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mr.Sugu yuko wapi?

    Inadaiwa jamaa alipata ufadhili kwenda kuongeza utaalamu nje ya nchi. Ndo sijajua ni nchi gani..... Namkubali sana bwana
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wale watoto wa wafugaji mlitokaje huko maana

    leo nimekumbuka sana maisha niliyopitia wakati wa utoto na ujana wangu, nimetokea kwenye familia ya wakulima na wafugaji, ama kweli yale ndiyo yalikuwa maisha halisi ya mwafrika. Nilichunga ng'ombe nusra nisisome shule, kila asbh tulikuwa tunaenda kuchunga/ kulisha kundi la ng'ombe wapatao 200...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Bosi mnoko kakukuta nawe ni bosi mahali pengine...........!

    Huyu mtambuzi ni mzushi........ Kiukweli kauli mbiu hii ya jf naona kama haitendei haki. Jana tu alisema alifukuzwa chuo, mara vitu vingine kibao keshasema....... Tukamuuliza chuo gani hakusema. Leo anataka kuona itakuwaje kwa ex- boss wake. Kuwa makini tutaziona mada zako usanii kaka...... Ni...
Back
Top Bottom