Biohazard
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 2,197
- 1,471
Imewahi kuripotiwa hapa JF... Ndugu JF ni source nyingine ya habari kama husomi gazeti au husikilizi habari basi unaweza kupata updates JF.Siyo siri umeniboa uliposema vurugu nikadhani kweli kuna vurugu imetokea sehemu fulani kumbe ishu ya nondo ! Kuhusu askari kupigwa nondo na kufa mbona ilisha ripotiwa au umesikia leo ?
WW boreka tu ni jinsi ulivyo mgumu wa kuishi na watu