Vurugu Mbeya: Askari mmoja auwawa

Vurugu Mbeya: Askari mmoja auwawa

Siyo siri umeniboa uliposema vurugu nikadhani kweli kuna vurugu imetokea sehemu fulani kumbe ishu ya nondo ! Kuhusu askari kupigwa nondo na kufa mbona ilisha ripotiwa au umesikia leo ?
Imewahi kuripotiwa hapa JF... Ndugu JF ni source nyingine ya habari kama husomi gazeti au husikilizi habari basi unaweza kupata updates JF.
WW boreka tu ni jinsi ulivyo mgumu wa kuishi na watu
 
nunueni helmenti za pikipiki ikifika jioni mnazivaa,poleni sana ndugu zangu.


dah! Wewe funiko kaka. Poleni sana huko mbeya


lakini nasikia mbeya ndo kuna makanisa mengi zaidi hapa tanzania sasa tatizo nini kama mnapewa neno la mungu kulia kona!
 
Mbeya kuna nini? Mbona kila cku matukio ya ajabu ajabu na huko ndiko inasemekana kuna watu wengi sana wanaomjua Mungu.

Ama kweli alipo Mungu na shetani yupo karibu.
 
Imewahi kuripotiwa hapa JF... Ndugu JF ni source nyingine ya habari kama husomi gazeti au husikilizi habari basi unaweza kupata updates JF.
WW boreka tu ni jinsi ulivyo mgumu wa kuishi na watu

Kwenye ukweli lazima ntasema sory 4dat.
 
Jmani huku mby ni balaa nw imeibuka kwamba ukikuta pesa kama elfu kumi ukiokota unageuka ng'ombe na wanakufunga na kukuchinja.

niliandika hii kitu cku moja nikaambiwa ni jokes. Huu nkoa ni balaa! Hawa waganga wa zambia na malawi hawafai
 
nilipokuwa mby nilipitia kumcheki ccta mida ya jion,ilipofika saa mbili nikamuaga kuwa naenda nilikofikia akanambia hata kusingekuwepo chumba cha wageni ni afadhali nilale hata uvunguni kuliko kuniruhusu niondoke mida ile kuonesha msisitizo!
 
nilipokuwa mby nilipitia kumcheki ccta mida ya jion,ilipofika saa mbili nikamuaga kuwa naenda nilikofikia akanambia hata kusingekuwepo chumba cha wageni ni afadhali nilale hata uvunguni kuliko kuniruhusu niondoke mida ile kuonesha msisitizo!

kudaaaadeki, kama shemeji ndo linataka vitu!?
 
Uonevu wa raia na polisi sasa basi! Uvumilivu umefika kikomo.
 
Ndo matokeo ya kuiweka ccm madarakani muda mrefu. imezoea uzembe na wala haina wasiwasi, wanaona kila mtu anatakiwa kujilinda mwenyewe.
 
Uonevu wa raia na polisi sasa basi! Uvumilivu umefika kikomo.
mkuu hili tukio halina uhusiano na uonevu wa polisi kwani hao wapiga nondo wenyewenadhani hawakujua kuwa ni polisi, siku lilipotokea hili tukio watu wengi waliumizwa, na zaidi ni imani za kishirikina kwani hawa jamaa huwa hawahitaji sana mali zaidi ya damu
 
Tanzania ina tofaut gan na nch za kidikteta?mbona mambo yake ni ya kidikteta?wanyonge tunyongen haki yetu tupen
 
Back
Top Bottom