Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Nimepita leo eneo ilipo shule yangu pendwa ya Arusha Secondary, nimekuta grader inatifua kiwanja kilichokuwa cha shule na upande mwingine kuna uzio kabisa na hata material za ujenzi zimeshamwagwa. Mpendwa mbunge wangu Lema, una chochote kuhusiana na hili?