Bosi mnoko kakukuta nawe ni bosi mahali pengine...........!

Hebu chukulia kwamba mtu aliyekunyanyasa mpaka ukaamua kuacha kazi wakati akiwa Bosi mahali fulani, umekutana naye hivi sasa akiwa anatafuta kazi mahali ambapo wewe ni Bosi na ukiwa na maamuzi ya mwisho. Hebu niambie kama ni wewe ungefanya nini?
Amekunyanyasa vipi? Katika hali ipi?

Kwa wabongo kuwasimamia ili kazi ziendeshwe kwa misingi ya kazi ni unyanyasaji.
Na huyo aliesimamia vzur ndie Boss mwema kwa kampuni au uongozi wake!
 
kuwa proffessional,hakikisha unafuata taratibu zote za kuajiri. muoneshe support ya kila namna and make a difference. be the change that u wanna see in the world. ukiendeleza bifu maana yake cycle itajirudia,na ww utamkuta mahali siku moja. ila akishazoea kazi siku moja mkumbushe kua alikuchallenge kwa mahusiano yenu enzi zile ukajifunza kitu, 'be nice to pple as u go up coz u might nt only meet them,bt also need them as u go down'
 
Huyu mtambuzi ni mzushi........
Kiukweli kauli mbiu hii ya jf naona kama haitendei haki.
Jana tu alisema alifukuzwa chuo, mara vitu vingine kibao keshasema....... Tukamuuliza chuo gani hakusema.

Leo anataka kuona itakuwaje kwa ex- boss wake.
Kuwa makini tutaziona mada zako usanii kaka...... Ni mawazo yangu tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom