Recent content by mbarouk mkali

  1. mbarouk mkali

    Msanii Wema Sepetu arejea CCM, aitosa CHADEMA

    Tatizo huyo dada anajisahau na kufikiri kama siasa ni maigizo na watu wa dizaini hii hata siku ya kiama ikifika atakua hajui kama kundi lake ni la ukristo au uislamu maana akienda kwa waislamu wanamkimbiza akirudi kwa wakristo wanamkimbiza akienda kwa wapagani wanamkimbiza anabaki anagwaya tu
  2. mbarouk mkali

    Kumbe asilimia 90 ya wazimbabwe ni wasomi wa level kuanzia degree

    Sasa kama wasomi ni wengi mbona wameburuzwa kwa muda mrefu sana na mugabe usomi wao upo wapi
  3. mbarouk mkali

    Wanawake mnadhambi sana!!!

    Lakini swala la kutuma hizo pic au vidio ni makosa
  4. mbarouk mkali

    Binti utakaeolewa na mimi, jiandae kisaikolojia kwa haya mambo

    Kwa mkakati huo jiandae kupewa limbwata mkuu
  5. mbarouk mkali

    Lowassa azingirwa na polisi nyumbani kwake Monduli ashindwa kwenda kumnadi mgombea

    Ipo siku watanzania tutachoka na kuchukua maamuzi magumu
  6. mbarouk mkali

    Mugabe adaiwa kujiuzulu kwa masharti, ataka yeye na mkewe wapewe ulinzi wa kudumu. Mali zao zisiharibiwe

    Mzee kabana kabana mwisho wa siku ameachia utemi wote ule mugabe Katepeta
  7. mbarouk mkali

    Ni sheria ipi ilifuta fao la kujitoa?

    Tanzania matatizo tu kila kitu
  8. mbarouk mkali

    Ni sheria ipi ilifuta fao la kujitoa?

    Nssf wanatoa nina rafiki yangu amechukua mwezi mmoja uliopita
  9. mbarouk mkali

    Ni sheria ipi ilifuta fao la kujitoa?

    Hawana sababu ya msingi wanatusumbua tu mara njoeni kesho mara wiki ijayo huku siku zinakwenda
  10. mbarouk mkali

    Ni sheria ipi ilifuta fao la kujitoa?

    Ila mkuu mbona Nssf wao wanatoa ??
  11. mbarouk mkali

    Ni sheria ipi ilifuta fao la kujitoa?

    Sheria hii ya kuzuia fao la kujitoa ingekua nzuri sana kama serikali ingekua na uwezo wa kutoa ajira kwa raia wake lakini kutokana na serikali kushindwa kutoa ajira kwa wananchi wake na kutegemea zaidi sekta binafsi ni tatizo kwa ujuli Pili swala hili lina faida kwa serikali kwasababu wakati...
  12. mbarouk mkali

    Nataka Nipoteze Hisia Nifanyeje? (iam Serious)

    Duuhh!! Ni hatari aisee kukosa hisia
  13. mbarouk mkali

    Kama suala ni vyeti feki kwanini majeshini waachwe?

    Ujinga wa kufikiri ndio huo katika karne ya 21mpaka leo watu nafikiria ujinga wa kiasi hiki sasahiv kuna siraha za kisasa ambazo ni lazima uwe na uelewa wa shule ili uweze kwenda na wakati unakua jasiri halafu kichwani hakuna kitu kuna maan gani hapo
  14. mbarouk mkali

    Kama suala ni vyeti feki kwanini majeshini waachwe?

    Mijitu mingine inacomnent ikiwa na itikadi fulani et kutolewa roho vitani hakuhitaji vyeti ila ujasiri tu @pumabavuu huo ni utaahira uliopitiliza watu wenye IQ za kufikiri kwa kuharisha kama bata ndio wanajibu hoja za msingi kama hizi kwa slaili hiyo kama ni ujasili kulikua kuna haja gani watu...
  15. mbarouk mkali

    Nyalandu aanza kujitetea bila kuhojiwa

    Ww ndie mwenye faida?? Kwa hali ilivyo sasahivi ccm Nyalandu alikua ana uhalali wa kujiudhuru na mimi nmpongeza sana kwa hatua aliyochukua Taifa lina viongozi wanafki waliojaa chuki za aina mbalimbali na naweza kumuita mzalendo kwasababu amediriki kuachia ubunge katika hali kama hivyo ilivyo...
Back
Top Bottom